Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,052
Wapo wengine ving'ang'anizi hata ajibiwe vipi yupo kama Luka wa jua kali, wapo wengine anakataliwa mwanamke anaolewa lakini yeye anafuatiliaga tuUnayosema ni sawa. Lakini kwa nini aendelee kula mali zake huku hana hisia nae. Si aende huko kwenye hisia zake zinamwelekeza!
