FURUSHI LA CHANJO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 871
- 1,084
Tunavumilia tu, lakini uvumilivu una mwishoKwamba hujawahi kutoswa. Uliye nae ndo huyo wa kwanza hujawahi kubadilisha?
Tunavumilia tu, lakini uvumilivu una mwishoKwamba hujawahi kutoswa. Uliye nae ndo huyo wa kwanza hujawahi kubadilisha?
Huu mjadala wa wanaume kusomesha wachumba kwenye kikao cha wanaume tulishafikia hitimisho na notes tulipewa. Haya ndio madhara ya kutokuhudhuria vikao.
Kwani lazima awe na wewe? Tangu lini tumeanza kulazimishana mapenziTunavumilia tu, lakini uvumilivu una mwisho
Si ungesema tangu mwanzo!Kwani lazima awe na wewe? Tangu lini tumeanza kulazimishana mapenzi
Watu wanaaongea sana kiingeleza ilhali ni waswahili wakukaa nao makini sanaSms za jamaa hizi hapaView attachment 2406121View attachment 2406123
Kwa hiyo wewe ukiwa na mtu halafu ukaja kuona hakufai unajilazimisha kuwa naye kwasababu tangu mwanzo hukusema?Si ungesema tangu mwanzo!
Niliapa sitawai kuwa serious na mapenzi
Mapenzi ni upuuzi fulani hivi me nikikojoa imeisha hiyo
We Kama unacheat nenda tu kacheat Sina muda ki ujumla!!!
Nitakuwa na mapenzi na mama yangu na pesa tu hapa duniani!!
Basi uniweke wazi kuwa hunitaki, sio unilaghai.Kwa hiyo wewe ukiwa na mtu halafu ukaja kuona hakufai unajilazimisha kuwa naye kwasababu tangu mwanzo hukusema?
Hii inaitwa BOOM BOOM CHAO,Sms za jamaa hizi hapaView attachment 2406121View attachment 2406123
We mzee wa chadema na wewe bado unahangaika na mapenzi?Niliapa sitawai kuwa serious na mapenzi
Mapenzi ni upuuzi fulani hivi me nikikojoa imeisha hiyo
We Kama unacheat nenda tu kacheat Sina muda ki ujumla!!!
Nitakuwa na mapenzi na mama yangu na pesa tu hapa duniani!!
Mtu mpk anaanza kuongea kimalkia ujue hasira zimeshafika penyeweWatu wanaaongea sana kiingeleza ilhali ni waswahili wakukaa nao makini sana
Sio kukulaghai. Acha kumsomesha mchumba au kumfungulia biashara za mamilioni. Msapoti kwa kiasi cha kawaidaBasi uniweke wazi kuwa hunitaki, sio unilaghai.
Sio vizuri.
🤣🤣🤣🤣🤣Watu wanaaongea sana kiingeleza ilhali ni waswahili wakukaa nao makini sana
Ukikuta kijana umombo mwingi, u know za kutosha... ni hatari hafai kuaminika, anakuwa na umayai mwingi emotion kama ashura.. niamini hata ukishika mikono yao huwa lainii kama vichanga🤣🤣🤣🤣🤣
Yaan umesema kwamba? Pesa uchukue ule maisha Chuo umdanganye mhuni kua unampenda kumbe unamuenjoy what do you expect? Utakula chuma za kichwa watu waje kuokoteza ubongo, km huna mpango sema mapema kwamba huna mpango, pesa na maisha mazuri vinawaponza chanzo ni umasikini, boom you die!Sasa haya mambo ya kuuana ya nini jamani? Kwani kumsomesha mtu ndio tiketi ya kuwa naye milele?
Wanaume hebu acheni ukatili jamani!!
That's my boyKijana mmoja ampiga mpenzi wake risasi kumi (10) za kichwa Baada ya kumcheat
Kutokana na watu wanavyodai msichana huyo amemsomeshwa na huyo mchumba wake chuo mpaka kumaliza, alikua akisoma sheria. Baada ya kumaliza akapata mchumba mpya akaamua kumuacha mpenzi wake aliemsomesha chuo mpaka kumaliza.
Mpenzi wake akaamua kuchukua maamuzi ya kumpiga risasi za kichwa hadi kumuua.![]()
Halafu kweli.Ukikuta kijana umombo mwingi, u know za kutosha... ni hatari hafai kuaminika, anakuwa na umayai mwingi emotion kama ashura.. niamini hata ukishika mikono yao huwa lainii kama vichanga
Mwamba ali-overstand kile kikao ndiyo akaja na theory yake hii ya kumaliza mjadala kwa njia ya pachacha,Huu mjadala wa wanaume kusomesha wachumba kwenye kikao cha wanaume tulishafikia hitimisho na notes tulipewa. Haya ndio madhara ya kutokuhudhuria vikao.
Sasa ukimuua ndio zinarudi?Yaan umesema kwamba? Pesa uchukue ule maisha Chuo umdanganye mhuni kua unampenda kumbe unamuenjoy what do you expect? Utakula chuma za kichwa watu waje kuokoteza ubongo, km huna mpango sema mapema kwamba huna mpango, pesa na maisha mazuri vinawaponza chanzo ni umasikini, boom you die!