#COVID19 Amnesty International wanajaribu kuishinikiza Tanzania kununua chanjo ya Covid-19

Hakuna hata mtu mmoja aliye chanjwa amekufa kwenye Dunia hii mpaka leo. Hapa US wamechanja zaidi ya watu milioni 150 hakuna hata mmoja kafa au kulazwa. Kuna chanjo moja tu ya kampuni ya J& J ambayo wanawake sita waliumwa kati ya milioni 7 waliochanjwa lakini wot wazima . India wamechanja wachache sana mnaona yanayotokea kule
Norway walikufa watu 23 baada ya kuwa wamechanjwa! Uchunguzi uliofanywa umebainisha unatokana na chanjo ya corona. Na hiyo chanjo wameachana nayo. Nchi zingine nyingi zimeiacha. Hiyo chanjo ndiyo inayosambazwa kwa wingi.
 
Je, ipi ni busara ,kufunga mlango wa nyumba yako kabla majambazi hayajakuingilia ndani au baada ya majambazi kukingilia?

Tumia akili kuchunga Afya yako!
Kipimo cha CORONA chenyewe ni fake na mpaka sasa kesi imefunguliwa na Marekani na Germany kuwa kipimo ni fake sasa na dawa zitolewazo pia hazina uhakika maana waliochanjwa wanaganda damu , please watuache tuishi vyovyote kabisa
 
Muda huu wanajifanya wanatupenda sana! Kama wana nia njema watusaidie kumalizia reli ya standard gauge na mradi wa umeme wa Stiglers George!
Hi Hivi mnakumbuka jinsi walivyoupiga vita mradi wa umeme wa Stiglers Gorge? Haya mapenzi ya Ghafla yametoka wapi?
Wasitupangie!
Kama Kidatu, Mtera, nk vimefeli nini stiglers itafanya tofauti.
 
Norway walikufa watu 23 baada ya kuwa wamechanjwa! Uchunguzi uliofanywa umebainisha unatokana na chanjo ya corona. Na hiyo chanjo wameachana nayo. Nchi zingine nyingi zimeiacha. Hiyo chanjo ndiyo inayosambazwa kwa wingi.
Kampuni zipo nyingi labda taja kampuni ipi ya chanjo
 
Kusema ukweli corona inafanyiwa biashara! Fikiria gharama za kupima watanzania wote na kuwachanja watanzania wote! Hapo ni kuiweka nchi rehani! Hilo deni ni la vizazi na vizazi !
 
Ukitembelea tovuti ya Amnesty International ukurasa wa Tanzania utakuta wamebandika andiko wakitaka kamati iliyoundwa ya corona itumike kuhakikisha kuwa Watanzania wanachanjwa chanjo ya corona.

Kinachonishangaza ni kuwa mataifa ya nje yanaongeza sana shinikizo kwa mama kuhusu corona. Wanaingia na gia ya kumsifu na kumponda Hayati Magufuli kuhusu alivyoshughulika na corona. Wanamtaka afuate sayansi na kuachana na kuamini hadithi wao wanaita "myths"!!!

Hawa inabidi tuwaambie wazi kuwa kumtanguliza Mungu siyo kuamini hadithi!! Tanzania haikudharau sayansi Bali ilimtanguliza Mungu mbele ya sayansi!! Chonde chonde huu utaratibu usivurugwe!! Mungu amejibu maombi yetu kwa sababu tulimheshimu kwa wazi na dunia yote ikasikia!! Akaamua kutuponya kwa rehema zake na kwa kulitetea Jina lake mbele ya mataifa!

Si kwamba watanzania ndio tumekuwa wema sana mbele za Mungu! Tukibatilisha hii heshima tuliyompa na kuamua kutanguliza mawazo ya mabeberu wanaotanguliza "sayansi" na kumweka Mungu pembeni, tutakutana na yanayowakuta waliofuata mwelekeo huo!! India ni Taifa LA kwanza duniani kwa kuzalizasha chanjo kwa wingi zaidi lakini hilo halijawasaidia!! Marekani wana chanjo za ziada kwa mamilioni, lakini ndilo linaloongoza kwa kufa na corona!

Tanzania tuko salama hadi sasa mpaka wanashangaa!! Wao wameamua kuabudu sayansi sisi tumeamua kumtanguliza na kumwamini Mungu kuwa atatuokoa ma korona.

Mabeberu wamekuwa wakimsimgizia marehemu Magufuli kuwa alikataa uwepo wa corona. Siyo kweli! Alitambua uwepo wa corona lakini alitumia mbinu tofauti ya kukabiliana nayo. Yeye alikataa kuiga mbinu za mabeberu na akaamua kumtamguliza Mungu kwa kuitisha maombi! Dunia nzima japo wanakataa kukiri lakini wameshuhudia Tanzania tumekuwa salama dhidi ya corona ukilinganisha na mataifa mengine ikiwa ni yale yanayotaka kuiba utukufu wa Mungu kwa kushinikiza tufuate mbinu zao ili waseme ndizo zilizotuokoa vinginevyo tungeisha!

Naomba niwakumbushe: walisema Tanzania tumekataa lockdown tutaokota miili barabarani!! Hilo halijatokea! Mataifa mengi wimbi la pili na la tatu la corona limekuwa la hatari zaidi na wengi wamekufa na mpaka sasa wanakufa! Sisi Tanzania wimbi la pili halikuwa na nguvu Kabisa ndio maana hata shule hatukufunga! Wakati wa maombolezo ya Rais Magufuli watanzania kwa mamilioni walijitokeza kumuaga kwa mamilioni na kusongamana bila barakoa!!

Wakasema baada ya wiki mbili tutaanza kuokota miili barabarani maana tutakuwa tumeambukizana sana!! Haikutokea!! Watuache! Wasitupangie wala wasimshinikize mama kwa habari ya chanjo ya corona!!

Yamewashinda kwao wasiwe wataalamu wa kutusaidia sisi.

RAI yangu: Kama wanataka kutusaidia basi watupe pesa za kumalizia SGR na Stigler's George! Nawasilisha!!
Mkuu

Ulitakiwa kunukuu taarifa kamili au kiungo cha anuani mtandao kuwasilisha ujumbe lakini pia kuepuka kwamba umetunga mwenyewe na kuwazushia.

The East African Newpaper-18th April 2021 wrote,

".....
President Suluhu must act now to save lives from this deadly virus. She must look hard at past failures and chart a way forward that rests on accepting science and debunking myths
In February and March 2021 religious leaders including Fr. Charles Kitima, the General Secretary of TEC, through Council of Bishops of the Catholic Church in Tanzania, reported a surge in the number of deaths, and that priests, nuns and nurses had died from “breathing difficulties.” Despite this, there was no change in the government’s response to a pandemic that has so far killed over 2.8 million people worldwide and infected more than 128 million.

Even following President Suluhu’s inauguration, the use of facemasks, social distancing, and other prevention measures have remained largely absent throughout Tanzania. Demonstrating a continued disregard for COVID-19 preventive measures, government officials, including the president herself, still appear in crowded public spaces without facemasks.

Despite this, the president’s announcement of the national COVID-19 taskforce is a highly welcome step in the right direction. However, to ensure that it is not merely an exercise in public and international relations, the taskforce must take decisive action in a number of areas.

Firstly, it must ensure that international human rights standards are at the centre of all responses to COVID-19, in order to best protect public health and support all people in Tanzania, including those who are most at risk from the disease as well as those who are likely to face barriers in protecting themselves from the virus including for socio-economic reasons.

Under international law, Tanzania’s government is obligated to ensure everyone has the right to enjoy the best attainable standard of physical and mental health, and the right to enjoy the benefits of scientific progress. This is explicitly expressed in a number of international human rights instruments including the International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights and by the African Charter on Human and People’s Rights to all of which Tanzania is a signatory. The right to health is also supported by Article 30(2)(b) of the Constitution of the United Republic of Tanzania.

Access to health-related information is also a crucial part of the right to health. Providing “education and access to information concerning the main health problems in the community, including methods of preventing and controlling them” is considered an “obligation of comparable priority” to the core obligations of the right to health. Information accessibility is a key dimension of the accessibility of health care, and includes the right to “seek, receive and impart information and ideas concerning health issues”.

The taskforce must therefore also recommend that repressive laws that were used to restrict various forms of communication, including media coverage of the government’s handling of the COVID-19 pandemic are repealed. In one particularly brazen example at the start of April, several media companies were each fined five million Tanzania shillings (approximately 2,150 US dollars) and ordered to apologize for “transmission of false and misleading information” on the country’s approach to managing COVID-19.The state should instead facilitate universal access to information, preventive care, medication, treatment, and vaccines.

The formation of the taskforce is also an opportunity for the Tanzanian authorities to embrace vaccination as part of their COVID-19 strategy, and ensure transparency, participation, accountability, equality, and non-discrimination in access to vaccines.

President Suluhu must act now to save lives from this deadly virus. She must look hard at past failures and chart a way forward that rests on accepting science and debunking myths, improving access to health care to those in need, and starting vaccinations to reduce new infections. She must give greater priority to the right to health by ensuring her government treats COVID-19 as the serious emergency it is ."

Mwisho wa kunukuu.

Kisha waachie wenye akili kwenye jukwaa waparurane hatimaye watafikia mwafaka tu, maana damu ni nzito kuliko maji.

Taarifa iliyopo hapo juu inalazimisha sio kushauri na kuelimisha manufaa kwahiyo kabla ya kukubali au kukataa jiulize ni kwanini LAZIMA?
 
..kama ni hivyo, kwanini tunafundisha madaktari na wauguzi, na kujenga mahospitali na zahanati?
Pole! Hakuna aliyekataa hospitali! Tunachokataa ni hii chanjo iliyotengenezwa kwa mwendo kasi bila utafiti wa muda mrefu kuhusu usalama wake. Msijitoe ufahamu!
 
Mkuu

Ulitakiwa kunukuu taarifa kamili au kiungo cha anuani mtandao kuwasilisha ujumbe lakini pia kuepuka kwamba umetunga mwenyewe na kuwazushia.

The East African Newpaper-18th April 2021 wrote,

".....

In February and March 2021 religious leaders including Fr. Charles Kitima, the General Secretary of TEC, through Council of Bishops of the Catholic Church in Tanzania, reported a surge in the number of deaths, and that priests, nuns and nurses had died from “breathing difficulties.” Despite this, there was no change in the government’s response to a pandemic that has so far killed over 2.8 million people worldwide and infected more than 128 million.

Even following President Suluhu’s inauguration, the use of facemasks, social distancing, and other prevention measures have remained largely absent throughout Tanzania. Demonstrating a continued disregard for COVID-19 preventive measures, government officials, including the president herself, still appear in crowded public spaces without facemasks.

Despite this, the president’s announcement of the national COVID-19 taskforce is a highly welcome step in the right direction. However, to ensure that it is not merely an exercise in public and international relations, the taskforce must take decisive action in a number of areas.

Firstly, it must ensure that international human rights standards are at the centre of all responses to COVID-19, in order to best protect public health and support all people in Tanzania, including those who are most at risk from the disease as well as those who are likely to face barriers in protecting themselves from the virus including for socio-economic reasons.

Under international law, Tanzania’s government is obligated to ensure everyone has the right to enjoy the best attainable standard of physical and mental health, and the right to enjoy the benefits of scientific progress. This is explicitly expressed in a number of international human rights instruments including the International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights and by the African Charter on Human and People’s Rights to all of which Tanzania is a signatory. The right to health is also supported by Article 30(2)(b) of the Constitution of the United Republic of Tanzania.

Access to health-related information is also a crucial part of the right to health. Providing “education and access to information concerning the main health problems in the community, including methods of preventing and controlling them” is considered an “obligation of comparable priority” to the core obligations of the right to health. Information accessibility is a key dimension of the accessibility of health care, and includes the right to “seek, receive and impart information and ideas concerning health issues”.

The taskforce must therefore also recommend that repressive laws that were used to restrict various forms of communication, including media coverage of the government’s handling of the COVID-19 pandemic are repealed. In one particularly brazen example at the start of April, several media companies were each fined five million Tanzania shillings (approximately 2,150 US dollars) and ordered to apologize for “transmission of false and misleading information” on the country’s approach to managing COVID-19.The state should instead facilitate universal access to information, preventive care, medication, treatment, and vaccines.

The formation of the taskforce is also an opportunity for the Tanzanian authorities to embrace vaccination as part of their COVID-19 strategy, and ensure transparency, participation, accountability, equality, and non-discrimination in access to vaccines.

President Suluhu must act now to save lives from this deadly virus. She must look hard at past failures and chart a way forward that rests on accepting science and debunking myths, improving access to health care to those in need, and starting vaccinations to reduce new infections. She must give greater priority to the right to health by ensuring her government treats COVID-19 as the serious emergency it is ."

Mwisho wa kunukuu.

Kisha waachie wenye akili kwenye jukwaa waparurane hatimaye watafikia mwafaka tu, maana damu ni nzito kuliko maji.

Taarifa iliyopo hapo juu inalazimisha sio kushauri na kuelimisha manufaa kwahiyo kabla ya kukubali au kukataa jiulize ni kwanini LAZIMA?
Asante sana! Tena wanamlazimisha Rais wetu kuwa LAZIMA atende sasa! Tuheshimiane! Msimtishe rais wetu! Watanzania kwa umoja wetu tumlinde na kumtia moyo rais wetu dhidi ya vitisho vya mabeberu
 
Hilo ni la mabeberu! Hivi ni kweli haujui kuwa hii chanjo inayosambazwa huku kwetu imezuiwa kutumika kwenye nchi nyingi tu au umeamua kujitoa ufahamu?
 
Kipimo cha CORONA chenyewe ni fake na mpaka sasa kesi imefunguliwa na Marekani na Germany kuwa kipimo ni fake sasa na dawa zitolewazo pia hazina uhakika maana waliochanjwa wanaganda damu , please watuache tuishi vyovyote kabisa
It is your choice! Isiwe lazima. Msijekulalamika kuwa mnabaguliwa mkikataliwa kwenda nchi za wenzenu.!
 
Mnataka wangapi wafe ndiyo msikilize tumepoteza mpaka viongozi wa juu kabisa!!! mnashindia kusema mebeberu tulete chanjo na kupata iwe hiari tatizo liko wapi? wengine tuna wazazi wanataka chanjo.

Hatuwezi kuwanyima watanzania wote chanjo kwa mawazo ya wachache! na haziuzwi madukani au hospitalini! Mimi binafsi nimepigwa chanjo March 5, 2021 sina tatizo lolote mpala leo!
Ukichanjwa wewe inatosha. Usitusemee wengine.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Muda huu wanajifanya wanatupenda sana! Kama wana nia njema watusaidie kumalizia reli ya standard gauge na mradi wa umeme wa Stiglers George!

Mnaomba msaada wa nini kumalizia SGR na Stiegler's Gorge wakati Jiwe alikuwa anajisifu kuwa vitajengwa na fedha za ndani na zilikuwepo? Inawezekana alificha nyumbani kwake nendeni mkasearch mnaweza kuta alifukia mabilloni ya shilling!! AFRICAN PRESIDENTS WITHOUT EXCEPTION ARE KNOWN FOR STEALING FROM THEIR PEOPLE!
 
Ukitembelea tovuti ya Amnesty International ukurasa wa Tanzania utakuta wamebandika andiko wakitaka kamati iliyoundwa ya corona itumike kuhakikisha kuwa Watanzania wanachanjwa chanjo ya corona.

Kinachonishangaza ni kuwa mataifa ya nje yanaongeza sana shinikizo kwa mama kuhusu corona. Wanaingia na gia ya kumsifu na kumponda Hayati Magufuli kuhusu alivyoshughulika na corona. Wanamtaka afuate sayansi na kuachana na kuamini hadithi wao wanaita "myths"!!!

Hawa inabidi tuwaambie wazi kuwa kumtanguliza Mungu siyo kuamini hadithi!! Tanzania haikudharau sayansi Bali ilimtanguliza Mungu mbele ya sayansi!! Chonde chonde huu utaratibu usivurugwe!! Mungu amejibu maombi yetu kwa sababu tulimheshimu kwa wazi na dunia yote ikasikia!! Akaamua kutuponya kwa rehema zake na kwa kulitetea Jina lake mbele ya mataifa!

Si kwamba watanzania ndio tumekuwa wema sana mbele za Mungu! Tukibatilisha hii heshima tuliyompa na kuamua kutanguliza mawazo ya mabeberu wanaotanguliza "sayansi" na kumweka Mungu pembeni, tutakutana na yanayowakuta waliofuata mwelekeo huo!! India ni Taifa LA kwanza duniani kwa kuzalizasha chanjo kwa wingi zaidi lakini hilo halijawasaidia!! Marekani wana chanjo za ziada kwa mamilioni, lakini ndilo linaloongoza kwa kufa na corona!

Tanzania tuko salama hadi sasa mpaka wanashangaa!! Wao wameamua kuabudu sayansi sisi tumeamua kumtanguliza na kumwamini Mungu kuwa atatuokoa ma korona.

Mabeberu wamekuwa wakimsimgizia marehemu Magufuli kuwa alikataa uwepo wa corona. Siyo kweli! Alitambua uwepo wa corona lakini alitumia mbinu tofauti ya kukabiliana nayo. Yeye alikataa kuiga mbinu za mabeberu na akaamua kumtamguliza Mungu kwa kuitisha maombi! Dunia nzima japo wanakataa kukiri lakini wameshuhudia Tanzania tumekuwa salama dhidi ya corona ukilinganisha na mataifa mengine ikiwa ni yale yanayotaka kuiba utukufu wa Mungu kwa kushinikiza tufuate mbinu zao ili waseme ndizo zilizotuokoa vinginevyo tungeisha!

Naomba niwakumbushe: walisema Tanzania tumekataa lockdown tutaokota miili barabarani!! Hilo halijatokea! Mataifa mengi wimbi la pili na la tatu la corona limekuwa la hatari zaidi na wengi wamekufa na mpaka sasa wanakufa! Sisi Tanzania wimbi la pili halikuwa na nguvu Kabisa ndio maana hata shule hatukufunga! Wakati wa maombolezo ya Rais Magufuli watanzania kwa mamilioni walijitokeza kumuaga kwa mamilioni na kusongamana bila barakoa!!

Wakasema baada ya wiki mbili tutaanza kuokota miili barabarani maana tutakuwa tumeambukizana sana!! Haikutokea!! Watuache! Wasitupangie wala wasimshinikize mama kwa habari ya chanjo ya corona!!

Yamewashinda kwao wasiwe wataalamu wa kutusaidia sisi.

RAI yangu: Kama wanataka kutusaidia basi watupe pesa za kumalizia SGR na Stigler's George! Nawasilisha!!
Mungu yupo that's mpaka mda huu anatuonesha ukuu wake, ila hatutakiwi angamia KWA kukosa mahalifa,maana ni dhambi wakati katupa akili ya kupambanua jema na baya, na katuumba KWA mfano wake, chanjo ije tu atakae awe na uwezo wa kuipata, tanzania mpaka mda huu tunazo chanjo za kutosha ambazo zimetusadia na zinaendelea tusaidia, sio nyungu, kwamba Dactar bingwa na waziri wake wanakaa kupiga propaganda ya tangawizi na n.k, haijawahi tokea bali KWA utawala wa mwendazake tu, mpaka inajengwa nyungu hapo Muhimbili kweli, kwanza KWA kuwajibika
Waziri wa afya hatakiwi kua hapo
Katibu mkuu afya wizara fukuza
Wale Mabingwa wa Benjamin hosp wa mapambio ya tangawizi nyanganya lesen,
Jaffo, Msukuma, na wengine waliotufanya tz kichwa cha wenda wazimu fukuza kwenye chama
Kazi za kitengo tiba mbadala ndo watahalam wetu walianza kua watetezi kweli
Yale maradhi matau mwl aliosema tz Bado ,taifa bado Lina watu wa hajabu sana
 
Back
Top Bottom