Tanzania yapanda viwango vya Udhibiti Rushwa Afrika, yawa ya 14 kutoka 19

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Nov 8, 2022
7,382
8,437
Jihudi za Kukabiliana na Rushwa za Serikali ya awamu ya 6 Zinazidi kuzaa matunda baada ya Tanzania kuzidi kufanya vizuri.

Kwa mujibu wa jaridi la Transparency International linaloangazia masuala ya Rushwa,Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika kudhibiti Rushwa kutoka kuwa ya 19 mwaka 2021 Hadi kuwa ya 14 mwaka 2022.
===

Leo ni maadhimisho ya Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Afrika ambayo yanafanyika mkoani Arusha yakiongozwa na Mheshimiwa Rais Samia.

Tanzania imeendelea kufanya vizuri kupambana na rushwa ambapo imepanda kwa nafasi tano Afrika kutoka 19 mwaka 2021 hadi 14 mwaka 2022.


My Take
Hongera Serikali Kwa uwazi na kujitahidi Kukabiliana na Wala Rushwa ingawa kazi Bado ni kubwa.
 
Awamu ya 6 rushwa iko mpaka bungeni, wabunge wanagaiwa mitungi ya gesi kila mtu anaona, na Spika anatetea, wabunge hao hao wanapelekwa uarabuni wanahongwa na mwarabu ili wazitoe bandari zetu zote milele kwa mwarabu...

Ajabu unasema awamu ya sita ipongezwe kwa jitihada za kupambana na rushwa, utakuwa mgeni umekuja Tanganyika jana usiku!.
 
Awamu ya 6 rushwa iko mpaka bungeni, wabunge wanagaiwa mitungi ya gesi kila mtu anaona, na Spika anatetea, wabunge hao hao wanapelekwa uarabuni wanahongwa na mwarabu ili wazitoe bandari zetu zote milele kwa mwarabu...

Ajabu unasema awamu ya sita ipongezwe kwa jitihada za kupambana na rushwa, utakuwa mgeni umekuja Tanganyika jana usiku!.
Kama kawaida machadomo ni kupinga Kila kitu utadhani hizo taarifa ni Serikali Ina complie 😆😆
 
Sema kama kilichoandikwa hapo juu ni uongo, lakini sio kutaka sifa za kijinga pasipostahili, hili sio taifa la mazuzu.

Naona umepigwa ban kule, ukaibukia huku
Nchi inapigwa hatua kwenye mapambano ya Rushwa nyie kama kawaida yenu mnapinga vitu vilivyo wazi, haieleweki kuwa chadomo ni ugonjwa wa akili au inakuaje 😂😂
 
Jihudi za Kukabiliana na Rushwa za Serikali ya awamu ya 6 Zinazidi kuzaa matunda baada ya Tanzania kuzidi kufanya vizuri.

Kwa mujibu wa jaridi la Transparency International linaloangazia masuala ya Rushwa,Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika kudhibiti Rushwa kutoka kuwa ya 19 mwaka 2021 Hadi kuwa ya 14 mwaka 2022.
===

Leo ni maadhimisho ya Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Afrika ambayo yanafanyika mkoani Arusha yakiongozwa na Mheshimiwa Rais Samia.

Tanzania imeendelea kufanya vizuri kupambana na rushwa ambapo imepanda kwa nafasi tano Afrika kutoka 19 mwaka 2021 hadi 14 mwaka 2022.


My Take
Hongera Serikali Kwa uwazi na kujitahidi Kukabiliana na Wala Rushwa ingawa kazi Bado ni kubwa.
Ripot ya CAG imezingatiwa au wanakurupuka tuu.
Yaani sasa hivi ofisi za umma wanafanya kazi kwa spidi ya trekta. Hakuna mwenye hofu tena ya kuwajibishwa kwa makosa ya kiofisi.
 
Ripot ya CAG imezingatiwa au wanakurupuka tuu.
Yaani sasa hivi ofisi za umma wanafanya kazi kwa spidi ya trekta. Hakuna mwenye hofu tena ya kuwajibishwa kwa makosa ya kiofisi.
 
Back
Top Bottom