The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Jihudi za Kukabiliana na Rushwa za Serikali ya awamu ya 6 Zinazidi kuzaa matunda baada ya Tanzania kuzidi kufanya vizuri.
Kwa mujibu wa jaridi la Transparency International linaloangazia masuala ya Rushwa,Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika kudhibiti Rushwa kutoka kuwa ya 19 mwaka 2021 Hadi kuwa ya 14 mwaka 2022.
===
Leo ni maadhimisho ya Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Afrika ambayo yanafanyika mkoani Arusha yakiongozwa na Mheshimiwa Rais Samia.
Tanzania imeendelea kufanya vizuri kupambana na rushwa ambapo imepanda kwa nafasi tano Afrika kutoka 19 mwaka 2021 hadi 14 mwaka 2022.
My Take
Hongera Serikali Kwa uwazi na kujitahidi Kukabiliana na Wala Rushwa ingawa kazi Bado ni kubwa.
Kwa mujibu wa jaridi la Transparency International linaloangazia masuala ya Rushwa,Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika kudhibiti Rushwa kutoka kuwa ya 19 mwaka 2021 Hadi kuwa ya 14 mwaka 2022.
===
Leo ni maadhimisho ya Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Afrika ambayo yanafanyika mkoani Arusha yakiongozwa na Mheshimiwa Rais Samia.
Tanzania imeendelea kufanya vizuri kupambana na rushwa ambapo imepanda kwa nafasi tano Afrika kutoka 19 mwaka 2021 hadi 14 mwaka 2022.
My Take
Hongera Serikali Kwa uwazi na kujitahidi Kukabiliana na Wala Rushwa ingawa kazi Bado ni kubwa.