#COVID19 Amnesty International wanajaribu kuishinikiza Tanzania kununua chanjo ya Covid-19

Asiyetaka muda hiari ukipita akija kutaka atailipia ....wengine tunaisubiri kwa hamu kubwa sana
 
Peleka chato ukazike huo Ukinjenketile Ngwale wako! Hupimi, huna takwimu utawezaje kusema tumenusurika kwa kiasi gani?! Tumbafyuu kabisa!
Kwani Mbowe kajichanja pekeake akasahau nyie wafuasi wake?
 
Kuna vitu huwezi kuvielewa au kuvitolea ufafanuzi ikiwa wewe siyo mhusika/muathiriwa
 
UBORA,USALAMA na UFANISI ni mambo ya muhimu kuzingatiwa kabla ya kutumia dawa yoyote iwe ya kisasa au ya kiasili.
UMUHIMU WA CHANJO....
Daima ni bora kuzuia ugonjwa kuliko kutibu. Chanjo huzuia magonjwa kwa watu waliochanjwa na kuwalinda wale wanaowasiliana na watu ambao hawajachanjwa.
Chanjo husaidia kuzuia magonjwa ya kuambukiza na kuokoa maisha.
Chanjo inafanya kazi kwa kufundisha mfumo wa kinga kutambua na kupambana na vimelea, ama virusi au bakteria. Kwa kufanya hivyo, molekuli fulani kutoka kwa pathogen lazima iletwe ndani ya mwili ili kusababisha majibu ya kinga. Molekuli hizi huitwa antijeni.
Chanjo huzuia magonjwa ambayo yanaweza kuwa hatari, au hata mauti. Chanjo hupunguza sana hatari ya kuambukizwa kwa kufanya kazi na kinga asili ya mwili ili kukuza kinga ya magonjwa.
Chanjo dhidi ya Covid-19 inapunguza sana uwezekano wa kuambukizwa na ikiwa utaambukizwa, hupunguza athari za virusi na hukuzuia kuwa mgonjwa mahututi. Chanjo pia inaweza, ikiwa unaambukizwa, punguza uwezekano wa kupitisha virusi kwa mtu mwingine. Hii ni muhimu haswa linapokuja suala la wale walio katika hatari kubwa ya ugonjwa mkali kutoka kwa Covid-19, ambayo ni watu ambao ni wazee au wanaougua magonjwa sugu.
 
Mnataka wangapi wafe ndiyo msikilize tumepoteza mpaka viongozi wa juu kabisa!!! mnashindia kusema mebeberu tulete chanjo na kupata iwe hiari tatizo liko wapi? wengine tuna wazazi wanataka chanjo.

Hatuwezi kuwanyima watanzania wote chanjo kwa mawazo ya wachache! na haziuzwi madukani au hospitalini! Mimi binafsi nimepigwa chanjo March 5, 2021 sina tatizo lolote mpala leo!
Mimi sijapigwa chanjo yoyote na sina matatizo mpaka leo. Watanzania wengi wako salama! Chanjo itafutwe kama passport - je! Watanzania wangapi wana passport? Kama unataka kusafiri chanja.
 
Kachanje wewe na familia yako, sio kushinikiza taifa zima lichanje,
Mkuu pole tunatambua uwepo wa hizo case...lkn haikuwa kwa ukubwa walioutegemea...Mungu alionekana farasi na mpanda farasi akawatupa baharini walisema tutakufa kama Maji yapitavyo katika MTO haikutokea. Mzee kwa hili alitumia akili kubwa sana Kenya kiko wapi?huko India na chanjo zao Marekani na chanjo zao wao ndio wanakufa Kama hakuwa Mungu aliyetupigania Israel na aseme sasa..Pumzika kwa amani Mzee wangu.
 
Nimekoti vibaya nilikuwa namjibu aliyesema kuna watu walikufa..samahan mkuu
Mkuu pole tunatambua uwepo wa hizo case...lkn haikuwa kwa ukubwa walioutegemea...Mungu alionekana farasi na mpanda farasi akawatupa baharini walisema tutakufa kama Maji yapitavyo katika MTO haikutokea. Mzee kwa hili alitumia akili kubwa sana Kenya kiko wapi?huko India na chanjo zao Marekani na chanjo zao wao ndio wanakufa Kama hakuwa Mungu aliyetupigania Israel na aseme sasa..Pumzika kwa amani Mzee wangu.
 
Mnataka wangapi wafe ndiyo msikilize tumepoteza mpaka viongozi wa juu kabisa!!! mnashindia kusema mebeberu tulete chanjo na kupata iwe hiari tatizo liko wapi? wengine tuna wazazi wanataka chanjo.

Hatuwezi kuwanyima watanzania wote chanjo kwa mawazo ya wachache! na haziuzwi madukani au hospitalini! Mimi binafsi nimepigwa chanjo March 5, 2021 sina tatizo lolote mpala leo!
Sawa ugonjwa upo. So what!!!. Ni suala binafsi. Mbona Gono lipo na hatujawahi kulazimishwa chanjo?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Je, ipi ni busara, kufunga mlango wa nyumba yako kabla majambazi hayajakuingilia ndani au baada ya majambazi kukingilia?

Tumia akili kuchunga Afya yako!
Nani amekuambia ukifunga mlango jamazi haingii, hao waliofunga mlango kama mfanowako unavyosema vipi, jambazi haingii.

Unapigia debe kitu usicho kijua.
 
Kwani ukichanjwa wewe lazima na wengine wachanjwe?

Ni vema ukaelewa kuwa wewe umechanjwa kwa hiari yako. Umetumia hela yako, na hii ni kwa kuwa una hela, na hilo Serikali haijazuia.

Issue inayokuja ni kwenye chanjo ya msaada ambayo watu watalazimishwa kuchanja. Hapo ndipo tatizo linapokuja.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mnataka wangapi wafe ndiyo msikilize tumepoteza mpaka viongozi wa juu kabisa!!! mnashindia kusema mebeberu tulete chanjo na kupata iwe hiari tatizo liko wapi? wengine tuna wazazi wanataka chanjo.

Hatuwezi kuwanyima watanzania wote chanjo kwa mawazo ya wachache! na haziuzwi madukani au hospitalini! Mimi binafsi nimepigwa chanjo March 5, 2021 sina tatizo lolote mpala leo!
Uliifuata nchi gani mkuu
 
Hatusemi kuwa hakuna aliyeathirika, bali tunasema Mungu ametuponya na kama Taifa lake vizuri mara elfu nyingi ukilinganisha na mataifa mengine! Hilo halina ubishi!
Hakuna ugonjwa mbaya kama kutengwa na mataifa. Ogopa sana hili
 
Wengi wanaosapoti chanjo ni CHADEMA ili mama ionekane tu hafuati kile Magufuli alifanya hata kama kina manufaa, haohao ndo wakati Magufuli kazifunga shule walitaka lockdown,hilo likashindikana.
pamoja na madhara ya hizi chanjo na ukweli kuwa hazisaidii lolote maana kama zinasaidia vifo vinaongezeka,lockdown zaidi ya mwaka,mask wanavaa za nini?
mama uwe makini na wanafiki wasiolitakia mema taifa.
ukikubali tu chanjo watakuambia uanze kutangaza visa vya corrona,na kwa sababu vipimo vingine vinasoma mtu ana corrona hata kama hana,wagonjwa wataonekana wameongezeka na kutaka lockdown.kumbuka papai na mafenesi yalionekana yana corrona.
Mungu kaamua kuiponya nchi tuendelee hivyohivyo.
 
Mkuu

ukimficha kwa kutumia anuani mtandao utawakosesha wengine kuelewa kilichoelezwa

Kwa ufupi na nanukuu muhtasari wake

"...A scientist with a PhD in chemistry, President Magufuli abandoned Covid-19 testing after his own trials allegedly showed fruit juice and engine oil testing positive for the virus. Yet despite being widely ridiculed at the time, many are asking whether the late Tanzanian president was right, with European courts declaring tests unreliable – while the inventor of the Covid-19 PCR test is facing a multi-million-dollar law suit for ‘misleading’ world governments...." By Sonia Elijah.
 
Mkuu

ukimficha kwa kutumia anuani mtandao utawakosesha wengine kuelewa kilichoelezwa

Kwa ufupi na nanukuu muhtasari wake

"...A scientist with a PhD in chemistry, President Magufuli abandoned Covid-19 testing after his own trials allegedly showed fruit juice and engine oil testing positive for the virus. Yet despite being widely ridiculed at the time, many are asking whether the late Tanzanian president was right, with European courts declaring tests unreliable – while the inventor of the Covid-19 PCR test is facing a multi-million-dollar law suit for ‘misleading’ world governments...." By Sonia Elijah.
Kwa lugha ya Kitanzania-tafsiri sio rasmi
".. .Mwanasayansi mwenye shahada ya uzamivu (PhD) katika kemia, Rais Magufuli yeye pamoja na jopo lake walifanya upimaji wa vinasaba tofauti kutoka kwenye vitu mbalimbali kubaini uambukizaji wa Covid-19, baada ya majaribio yake mwenyewe kudaiwa kuonyesha juisi ya matunda na upimaji wa mafuta ya injini kutoa matokeo chanya kwa virusi vya UVIKO. Hata hivyo licha ya kukejeliwa sana wakati huo, wengi wanauliza kama hayati rais wa Tanzania alikuwa sahihi, huku mahakama za Ulaya zikitangaza vipimo hivyo kutoaminika – wakati mvumbuzi wa kipimo cha PCR kuhusu upimaji wa Covid-19 kwa sasa anakabiliwa na kesi ya kisheria ya dola milioni nyingi kwa 'kuzipotosha serikali za dunia..."
 
Ukitembelea tovuti ya Amnesty International ukurasa wa Tanzania utakuta wamebandika andiko wakitaka kamati iliyoundwa ya corona itumike kuhakikisha kuwa Watanzania wanachanjwa chanjo ya corona.

Kinachonishangaza ni kuwa mataifa ya nje yanaongeza sana shinikizo kwa mama kuhusu corona. Wanaingia na gia ya kumsifu na kumponda Hayati Magufuli kuhusu alivyoshughulika na corona. Wanamtaka afuate sayansi na kuachana na kuamini hadithi wao wanaita "myths"!!!

Hawa inabidi tuwaambie wazi kuwa kumtanguliza Mungu siyo kuamini hadithi!! Tanzania haikudharau sayansi Bali ilimtanguliza Mungu mbele ya sayansi!! Chonde chonde huu utaratibu usivurugwe!! Mungu amejibu maombi yetu kwa sababu tulimheshimu kwa wazi na dunia yote ikasikia!! Akaamua kutuponya kwa rehema zake na kwa kulitetea Jina lake mbele ya mataifa!

Si kwamba watanzania ndio tumekuwa wema sana mbele za Mungu! Tukibatilisha hii heshima tuliyompa na kuamua kutanguliza mawazo ya mabeberu wanaotanguliza "sayansi" na kumweka Mungu pembeni, tutakutana na yanayowakuta waliofuata mwelekeo huo!! India ni Taifa LA kwanza duniani kwa kuzalizasha chanjo kwa wingi zaidi lakini hilo halijawasaidia!! Marekani wana chanjo za ziada kwa mamilioni, lakini ndilo linaloongoza kwa kufa na corona!

Tanzania tuko salama hadi sasa mpaka wanashangaa!! Wao wameamua kuabudu sayansi sisi tumeamua kumtanguliza na kumwamini Mungu kuwa atatuokoa ma korona.

Mabeberu wamekuwa wakimsimgizia marehemu Magufuli kuwa alikataa uwepo wa corona. Siyo kweli! Alitambua uwepo wa corona lakini alitumia mbinu tofauti ya kukabiliana nayo. Yeye alikataa kuiga mbinu za mabeberu na akaamua kumtamguliza Mungu kwa kuitisha maombi! Dunia nzima japo wanakataa kukiri lakini wameshuhudia Tanzania tumekuwa salama dhidi ya corona ukilinganisha na mataifa mengine ikiwa ni yale yanayotaka kuiba utukufu wa Mungu kwa kushinikiza tufuate mbinu zao ili waseme ndizo zilizotuokoa vinginevyo tungeisha!

Naomba niwakumbushe: walisema Tanzania tumekataa lockdown tutaokota miili barabarani!! Hilo halijatokea! Mataifa mengi wimbi la pili na la tatu la corona limekuwa la hatari zaidi na wengi wamekufa na mpaka sasa wanakufa! Sisi Tanzania wimbi la pili halikuwa na nguvu Kabisa ndio maana hata shule hatukufunga! Wakati wa maombolezo ya Rais Magufuli watanzania kwa mamilioni walijitokeza kumuaga kwa mamilioni na kusongamana bila barakoa!!

Wakasema baada ya wiki mbili tutaanza kuokota miili barabarani maana tutakuwa tumeambukizana sana!! Haikutokea!! Watuache! Wasitupangie wala wasimshinikize mama kwa habari ya chanjo ya corona!!

Yamewashinda kwao wasiwe wataalamu wa kutusaidia sisi.

RAI yangu: Kama wanataka kutusaidia basi watupe pesa za kumalizia SGR na Stigler's George! Nawasilisha!!
Wewe utakuwa mtu mjinga mno kwa kuamini ule ushenzi wa Magufuli eti Tanzania haina corona kwa sababu tu aliamuru visa vya corona visitangazwe!
 
It is your choice! Isiwe lazima. Msijekulalamika kuwa mnabaguliwa mkikataliwa kwenda nchi za wenzenu.!
Hilo linajulikana na sharti litokee kupitia maandiko matakatifu Ufunuo (Revelation) 13:18 huo ni mchakato wa mpinga Kristo au Masih Dajjal

Mfumo kwamba mtu hataruhusiwa kusafiri kwa sababu hajachwa chanjo ya korona ni upenyo walioubuni watekelezaji ila msimamizi bado hajapatikana bado na atapitia kwenye bunge la Ulaya ndio maana mpaka sasa kiti namba 666 hakina mwakilishi tangu wazindue bunge hilo. Bunge la Ulaya lina jumla ya viti 679, lakini kiti namba hiyo 666 pekee ndio hakijapata mtu anayestahili kukikalia na harakati za magonjwa ya kutengeza, migogoro ya kisiasa kwa kisingizio cha demokrasia na haki za binadamu ndio uchochoro unaotumika kufanikisha maandalizi ya kumpata kiongozi ambaye atakuwa anatenda maajabu ("....Kisha nikaona farasi wekendu wenye vichwa saba na pembe kumi....")

Kwa sasa vitu vyote ambavyo utavikuta vinathaminiwa na dunia ya kwanza yaani Ulaya na Marekani huwa vina nambari ya msimbo (Barcode) kuonesha kwamba wenye dhamana ya maandalizi hayo wamevihakiki na kuviidhinisha kwa matumizi kwa kuwa ni sehemu yao. Nambari ya msimbo inawakilisha kwamba tayari watu wote wamefichwa utawala wao kupitia usanii na sayansi
Vitu vifuatavyo vinawakilisha namba 666 yaani lazima upokee maagizo na kutekeleza ili kuwa na uhalali wa ushiriki wa jambo wanalolishiriki pia
1. Herufi hizi tatu w.w.w (world wide web) Kigiriki w=6 hivyo w sita zinawakilisha 666 ( χξϛ) which implies χ represents 600, ξ represents 60 and ϛ represents 6
Digamma, waw, or wau (uppercase: Ϝ, lowercase: ϝ, numeral: ϛ) is an archaic letter of the Greek alphabet. It originally stood for the sound /w/ but it has remained in use principally as a Greek numeral for 6.
(αʹ. βʹ. γʹ. δʹ. εʹ. ϛʹ. ζʹ. ηʹ. θʹ.)
2. Neno Heineken linawakilisha 666
1619718636478.png

3. Sarafu ya Euro 1 inawakilisha namba 666 ikiwa na nyota sita juu, nyota sita chini na mistari sita ikiziunganisha nyota za juu na chini
1619718608102.png

4. Nambari ya msimbo inayoonekana kwenye bidhaa zote zenye TBS zinawakilisha namba 666
1619718584982.png


In mathematics the number 666 deduce significant amazing technicality architect of the universe, just check out hereunder
666 is the sum of the first 36 natural numbers ({\displaystyle \sum _{i=1}^{36}i}
{\displaystyle \sum _{i=1}^{36}i}
, i.e. 1 + 2 + 3 + ... + 34 + 35 + 36 = 666), and thus it is a triangular number. Because 36 is also triangular, 666 is a doubly triangular number. Also, 36 = 15 + 21; 15 and 21 are also triangular numbers, and 152 + 212 = 225 + 441 = 666.

In base 10, 666 is a repdigit (and therefore a palindromic number) and a Smith number. A prime reciprocal magic square based on 1/149 in base 10 has a magic total of 666.

The prime factorization of 666 is 2 • 32 • 37. Also, 666 is the sum of the squares of the first seven primes: {\displaystyle 2^{2}+3^{2}+5^{2}+7^{2}+11^{2}+13^{2}+17^{2}}
{\displaystyle 2^{2}+3^{2}+5^{2}+7^{2}+11^{2}+13^{2}+17^{2}}


The number of integers which are relatively prime to 666 is 6•6•6 and the number of twin primes less than {\displaystyle 6^{6}}
6^6
+ 666 is 666.[4]

Therefore, the number as it describes of itselft is triangular representing three pillars of state governments ie executive, legistative and judiciary to accomplish its effective and meaningful functions that array the mission to the planned destination


The Roman numeral for 666, DCLXVI, has exactly one occurrence of all symbols whose value is less than 1000 in decreasing order (D = 500, C = 100, L = 50, X = 10, V = 5, I = 1).

Kwa ujumla namba hiyo inatoa mstakbari wa nini binadamu afanye, kwanini na kwa kiwango gani kutambulika na dunia popote, yahayo ni magumu zaidi kuyaona, kuyasikia, kuyakubali, kuyatekeleza na kuyaamini pasipo ridhaa kunusuru uhai wa muda.
 
Back
Top Bottom