Ni mkazi mmoja wa mkoa wa Pwani, kama alivyonaswa na kamera ya mpiga picha wa magazeti ya Serikali, akinywa maji baada ya kuzidiwa na kiu, maji ambayo....! (sidhani kama ninahitaji kuandika lolote maana ni mengi yatokanayo na picha hiyo, kuanzia usalama wa afya hadi nani alaumiwe kwa kushindwa kuhimiza upatikanaji wa huduma ya lazima kwa binadamu - maji safi - katika eneo hili)
source: Amelazimika kunywa maji haya! - Wavuti