Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,819
Simu zote hazipatikani.
Tumeuziwa mbuzi kwenye mfuko wa rambo.
Tumeuziwa mbuzi kwenye mfuko wa rambo.
Usijali mamy atapata tu mbn wako wengi?Bujibuji,Masaki,Drphone,Gkundi,Ngoswe
mmeachana na shemeji na wewe twin??
Hivi utajiskiaje ukigundua kuwa umefanya wrong judgement?umri wa miaka 23 na kishatendwa mpalka kachoka????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hajatulia huyu, inaonekana hata shule alishindwa kuendelea kwa sababu ya majamboz...........................................
nitakuja baadaye lakini mie sijaona mchumba aliyetulia hapo!!!!!!!!!!!!!11
nimempa ziro kaisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
TULIACHANA tWIN C UNAJUA DEBE LA MCHELE LI;IISHA?
hicho tu ama you had smthing else????
Nothing else swty natafuta mwingine
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.
ni PM please....seariously! mi ni mtendwa pia ila wa jinsia ya kiume.
watatendana kwa haki..................yani hapo patamu sipati picha watendwa wanapokutana
Mmh hapa JF wachumba wapo kweli
aliyekuwa amebaki kaoa juzi juzi Geoff ,,Fidel anasomea upadiri .
all ze best mdada !
...Lisa you sound a beautiful woman. Lakini hapo mume awe mrefu naona wengine utakuwa unatukwaza...Mi nadhani muhimu uangalie upendo wa dhati kwanza unaweza kupata mume mrefu lakini ukaishia kulala mzungu wa 4....Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.
TULIACHANA tWIN C UNAJUA DEBE LA MCHELE LI;IISHA?
mimi nitakufaa sana, nimejaribu kukupigia naona hupokei
mbona ujaniambia jamani najana tu tul.................mh hizi talaka za online be care ila akuna neno yupo aliyetendwa mwenzangu ngoja nichangamkie tenda sema cm apatikani daa icije kula kwangu
Firstlady mimi Mayenga nipo ngoja niongeze vocha niwasiliane na binti,maana simu ikinikatikia ni aibu.