Amechoka kutendwa anahitaji mume

umri wa miaka 23 na kishatendwa mpalka kachoka????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

hajatulia huyu, inaonekana hata shule alishindwa kuendelea kwa sababu ya majamboz...........................................

nitakuja baadaye lakini mie sijaona mchumba aliyetulia hapo!!!!!!!!!!!!!11

nimempa ziro kaisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hivi utajiskiaje ukigundua kuwa umefanya wrong judgement?
 
a u serious mdada? make siku hizi wadada mkisha choka kutembeza bakuli, mnatafuta watu waliotulia wakati nyie hamjatulia!. inauma sana, kila la kheri
 
Nothing else swty natafuta mwingine

yeomiiiiiiiiiiiiii!!!! tuwasuluhishe basi
(sasa mbona unatafuta kwa mgongo wa thresd ya lisa....bila hata kumwomba ruhusa, twin.....)
 
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.

ni PM please....seariously! mi ni mtendwa pia ila wa jinsia ya kiume.
 
Mmh hapa JF wachumba wapo kweli :)

aliyekuwa amebaki kaoa juzi juzi Geoff ,,Fidel anasomea upadiri .
all ze best mdada !


Firstlady mimi Mayenga nipo ngoja niongeze vocha niwasiliane na binti,maana simu ikinikatikia ni aibu.
 
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.
...Lisa you sound a beautiful woman. Lakini hapo mume awe mrefu naona wengine utakuwa unatukwaza...Mi nadhani muhimu uangalie upendo wa dhati kwanza unaweza kupata mume mrefu lakini ukaishia kulala mzungu wa 4....
 
TULIACHANA tWIN C UNAJUA DEBE LA MCHELE LI;IISHA?

mbona ujaniambia jamani najana tu tul.................mh hizi talaka za online be care ila akuna neno yupo aliyetendwa mwenzangu ngoja nichangamkie tenda sema cm apatikani daa icije kula kwangu
 
mbona ujaniambia jamani najana tu tul.................mh hizi talaka za online be care ila akuna neno yupo aliyetendwa mwenzangu ngoja nichangamkie tenda sema cm apatikani daa icije kula kwangu

heee shemeji mnanishangaza
yeye anatafuta na wewe ulikuwa hujui umebutuliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom