Ame hack simu ya mumewe sasa anaomba ushauri

Ame hack simu ya mumewe sasa anaomba ushauri

Fanya mambo ya maana kuliko hilo kwani hakuna faida unayopata isipokuwa aibu tupu !
 
Masankuloni haaaaah haaaah
Huyo mtu aliyefanya hivyo ni wa ushirombo IPI? Igulwa/katente?maganzo? Masakuloni? Bulangwa? au mtaa gani? tuanzie kwanza hapo.
 
Hack mtu ambaye unauwezo wa kuachana naye... Unahack halafu ukifumania huna la kufanya... Alichokitafuta kashakipata, atulie dawa imuingie
Asipate taabu,arudi nyumbani anitafute nitoke naye,hatakuwa na maumivu ya moyo kwani nitatumia akili na maarifa yangu yote iku kumweka sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom