Ame hack simu ya mumewe sasa anaomba ushauri

Ame hack simu ya mumewe sasa anaomba ushauri

No my point ni kwamba mwanamke akipenda hata akimfumania mumewe hawezi muacha ....ataishia kulia lia ...na kununa nuna wiki moja mbili baas......ukimpiga goli moja anasahau....kabisa
Mweh
 
Amehack simu ya mumewe kwenye msg na calls,mume kasafiri huko akaenda kupata kadem, mke akasafiri takribani 1000km akawashike,good enough kawakamata lakin hajafanya fujo ,zaidi sasa anaomba ushauri amuache au
Dunia inavijimambo
Huwa nasemaga hiviii... Unapofikia kuhach simu, uwe umeshafanya maamuzi kuwa ukiyakuta unatimka... Yaani unatafuta tu ushahidi wa wazi ili utakapoamua usilaumiwe na yeyote, IKIWEMO NAFSI YAKO....

Haya ya kupata ushahidi halafu ndo uanze kutafuta ushauri wa cha kufanya ni ujinga tu... MWAMBIE AMWACHIE MUNGU
 
Wanawake wanapasa kuelewa kwamba mume yeyote mwenye busara akiwa na mchepuko basi hakupendi tena. Mwanaume anaekupenda kwa dhati hawezi kuchepuka. Sasa kuna mawili, eidha haachani na wewe kwa sababu ya watoto, au ameamua kuvumilia kuishi na wewe lakini haimfungi kwenda nje kufuata asichopata kwako.

Sasa ukijua hizo fact, chukua uamuzi. Kukubali kuendelea kuishi na mume asiyekupenda kwa kuwa anakuvumilia na haachani nawe kwa ajili ya watoto ukitumaini labda uhusiano utabadilika baadaye, au ondoka zako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom