Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,003
- 5,824
View attachment 2002168
Rais huyo Mstaafu wa Zanzibar amedai kwamba miongoni mwa mambo ambayo yamemsononesha na ambayo hatokuja kuyasahau kamwe ni hili la Jecha Salum Jecha kufuta matokeo halali ya uchaguzi wa 2015 , huku wao wakiwa kwenye vikao na Maalim Seif vya kujadili hatima ya Zanzibar .
Amewashangaa wanaccm kuogopa kuongozwa na Wapinzani .
Ccm haijawahi shinda uchaguzi bara na visiwani ni nguvu
dala ndiyo inayofanya wabaki madarakani;