Amani Karume: Nilishangaa wana-CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, Uchaguzi 2015 Zanzibar nilisikitika, niliwauliza hawa wenzetu si Watanzania?

nakubaliana na huyu mzee kwani yeye na maalim seif ndio walikaa na kuubaliana kuitishwa kura yamaoni kubadilisha katiba ya Zanzibar kua hii inayotumika leo ,pamoja navikao vilivyokua vimeitishwa dodoma kumuonya huyu mzee aliwachomolea ccm

Nitampa heshima hadikofo chake karume mdogo
 
Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume amesema miongoni mwa mambo yaliyowahi kumsikitisha ni kuitishwa kwa uchaguzi wa marudio mwaka 2015, wakati wakiwa kwenye kikao cha kujadili yaliyotokea katika uchaguzi huo akisema yeye alikuwa miongoni mwa wajumbe wa CCM waliokuwa wakifanya majadiliano na Maalim Seif baada ya uchaguzi ili kujua hatma ya Zanzibar.

Uchaguzi huo ulifutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wakati huo Mwenyekiti wake akiwa Jecha Salim Jecha aliyeamua kufuta matokeo yaliyokuwa yakiendelea kutangazwa kisha ukatangazwa uchaguzi wa marudio uliofanyika Machi 20 2016 ambao Maalim Seif aliususia.

"Nilishangaa hata wana CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, niliwauliza kwani hawa wenzetu si Watanzania? Hawataki haki na usawa? Niliwaambia Maalim Seif ni mtu muungwana kuliko hata walivyokuwa wakimuona na kumpa majina mabaya"-Karume.
View attachment 2002278
Huyu mzee awe makini sana, CCM wenzake watammaliza muda sio mrefu kama walivyommaliza Mzee Ben
 
Asikudangaje mtu Zanzibar serikali ya umoja wa kitaifa inawezekana tu pale mtoto wa mwarabu mpemba akishika Kama Raisi akishika Mswahili ngozi nyeusi waarabu wapemba hawataki serikali ya umoja wa kuanzia kitaifa kuanzia kipindi Cha Karume baba yake huyo karume mwehu wapemba waliomuua , iwe kipindi Cha Mwinyi ,Raisi Idris Wakil, iwe kipindi Cha Salmin Amour ,Au kipindu Cha Dr Sheiin

Huyu Makamu wa kwanza wa Raisi mfano wa Zanzibar wa Sasa Ni mla pilau tu misiba na pilau kwa waarabu wapemba na akina Duni Haji waswahili wenzie .Hana lolote

Zanzibar waarabu wapemba hawataki hata siku moja ishikwe na Mswahili mweusi Mia kwa Mia hata awe mpemba kama Shein nk hata wakushika Wala ubwabwa kwa wapemba kwenye misiba yao wawe CCM au upinzani wawe Duni Haji au huyo Makamu wa Kwanza wa Raisi atahesabika mtwana tu na hopeless hata awe upinzani

Wapemba waarabu Zanzibar Ni wakabila kupindukia akiwemo huyo Aliyekuwa Raisi Karume wa CCM mtoto wa Karume aliyeongea hayo
Hoja ni kuwa Ccm haitaki uchaguzi huru na haki. Hivyo huna sababu za kuwaringia wapinzani kuwa huwa mnawashinda .
 
Seif Ni mwarabu mpemba alikuwa mbaguzi kama Nini serikali zote za umoja wa kitaifa alikubali Kama Raisi aliyepo madarakani ana vinasaba vya kipemba kiarabu kwa kuzaliwa .Period.Fuatilia historu ya Zanzibar ngozi nyeusi wenye wazazi wote wasio na vinasaba vya wapemba waarabu waneoneqa sana na wapemba waarabu kuanzia Mwasisi Sheihe Karume ,Abood Jumbe pamoja na kujikomba kwa akina Maalim Seif , mzee Mwinyi, Salmin Amoor ,mzee Idris na Dr Sheiin walionusurika Ni tu Wenye vinasaba vya wapemba waarabu Raisi Abeid Aman Karume huyo mlaumu CCM na Dk Hussein Mwinyi Raisi wa Sasa tu

Wapemba waarabu nyoko sana

Wewe yaani unamjua maalim kuliko sisi tulokaa Na wazee Wake Na ndugu zake
Hata Hao watoto wake ukiwaona hauihitaji kuambiwa

Yaani Time ni jina la kiarabu? Ukatoliki kazi

Chuki ni ugonjwa hatari sana
 
Maalim Seif hatunae tena sasa anamueleza nani au alimaanisha nn hasa Kwa kukaa kimya muda wote huo??
alijaribu kuleta serikali ya umoja wa kitaifa alithubutu na alifanikiwa ingawa baadaye waharibifu wakairudisha tena zanzibar nyuma kabisa kisiasa
 
Asikudangaje mtu Zanzibar serikali ya umoja wa kitaifa inawezekana tu pale mtoto wa mwarabu mpemba akishika Kama Raisi akishika Mswahili ngozi nyeusi waarabu wapemba hawataki serikali ya umoja wa kuanzia kitaifa kuanzia kipindi Cha Karume baba yake huyo karume mwehu wapemba waliomuua , iwe kipindi Cha Mwinyi ,Raisi Idris Wakil, iwe kipindi Cha Salmin Amour ,Au kipindu Cha Dr Sheiin

Huyu Makamu wa kwanza wa Raisi mfano wa Zanzibar wa Sasa Ni mla pilau tu misiba na pilau kwa waarabu wapemba na akina Duni Haji waswahili wenzie .Hana lolote

Zanzibar waarabu wapemba hawataki hata siku moja ishikwe na Mswahili mweusi Mia kwa Mia hata awe mpemba kama Shein nk hata wakushika Wala ubwabwa kwa wapemba kwenye misiba yao wawe CCM au upinzani wawe Duni Haji au huyo Makamu wa Kwanza wa Raisi atahesabika mtwana tu na hopeless hata awe upinzani

Wapemba waarabu Zanzibar Ni wakabila kupindukia akiwemo huyo Aliyekuwa Raisi Karume wa CCM mtoto wa Karume aliyeongea hayo

IMG-20211107-WA0025.jpg
 
Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume amesema miongoni mwa mambo yaliyowahi kumsikitisha ni kuitishwa kwa uchaguzi wa marudio mwaka 2015, wakati wakiwa kwenye kikao cha kujadili yaliyotokea katika uchaguzi huo akisema yeye alikuwa miongoni mwa wajumbe wa CCM waliokuwa wakifanya majadiliano na Maalim Seif baada ya uchaguzi ili kujua hatma ya Zanzibar.

Uchaguzi huo ulifutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wakati huo Mwenyekiti wake akiwa Jecha Salim Jecha aliyeamua kufuta matokeo yaliyokuwa yakiendelea kutangazwa kisha ukatangazwa uchaguzi wa marudio uliofanyika Machi 20 2016 ambao Maalim Seif aliususia.

"Nilishangaa hata wana CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, niliwauliza kwani hawa wenzetu si Watanzania? Hawataki haki na usawa? Niliwaambia Maalim Seif ni mtu muungwana kuliko hata walivyokuwa wakimuona na kumpa majina mabaya"-Karume.
View attachment 2002278
Mnafiki kiwango cha juu sana
 
Mbona mwaka 2000 CCM ililazimisha yeye Amani Karume awe Rais wa Zanzibar na akakubali?
Hiyo ni hali aliyokuwa anaitaka miaka mingi,awe Rais angalau apate nafasi ya kuikwamua Zanzibar,na alijaribu kufanya mambo mengi bila kuyashirikisha haya maccm bara. Lakini mambo mengi pia aliyoyawazia kuikwamua Zanzibar alikwamishwa na miccm bara
 
UNAYALINDAJE MAPINDUZI MATUKUFU KWA MASKHARA?!!


Iko hivi.......

Si kila MAPINDUZI hufanywa na WANANCHI WALIO WENGI.....

Si kila MAPINDUZI ni matukufu(kinyume na haya ya Zanzibar)......

Mathalani nchini SUDAN OMAR AL BASHIR alifanya mapinduzi....kwa kuwa hayakuwa MATUKUFU hakuweza kuyasimamia....mwishowe mwaka 2019 AKAPINDULIWA NA WANANCHI KWA UMOJA WAO....

Haya ya 2019 ndiyo matukufu kama ya ndugu zetu Zanzibar......

Kinachoendelea sasa ni kuwa Wasudani wanamshangaa Jenerali Abdel Fattah El Burhan kwa KUYAFANYA NI MAPINDUZI YAKE BINAFSI ILIHALI YEYE NAYE NI MATOKEO YA MAPINDUZI MATUKUFU.....

Jenerali El Burhan alishuhudia mwafaka wa kuundwa kwa serikali Kati ya Wananchi-Jeshi(Transitional Military Council) na Wananchi- Raia(FCC)....

Ikiwa imebaki mwezi mmoja tu ili kuwe na UKOMO WA UONGOZI WAKE ,Jenerali El Burhan anaipindua serikali(mapinduzi haramu yaliyo ndani ya mapinduzi matukufu)🤣🤣🤣

Lipi ni funzo KWETU ?!!!!!

Funzo kwetu ni kuendelea KUYALINDA MAPINDUZI MATUKUFU YA MWAKA 1964 NA KUVIKATAA VIASHIRIA VYOVYOTE VYA KUYABAGAZA NA KUJA KUTOKEA MAPINDUZI(haramu) ndani ya MWENDELEZO WA MAISHA YA MAPINDUZI MATUKUFU👍👊💪

Siempre JMT
Siempre CCM
Siempre Serikali Mbili za JMT
Mapinduzi ya 1964 Daima👊💪
 
Maalim alishinda uchaguzi Z'bar. Sema tu dhuluma ikashika hatamu. Ameshakufa ndo anasifiwa kila mona.
 
UNAYALINDAJE MAPINDUZI MATUKUFU KWA MASKHARA?!!


Iko hivi.......

Si kila MAPINDUZI hufanywa na WANANCHI WALIO WENGI.....

Si kila MAPINDUZI ni matukufu(kinyume na haya ya Zanzibar)......

Mathalani nchini SUDAN OMAR AL BASHIR alifanya mapinduzi....kwa kuwa hayakuwa MATUKUFU hakuweza kuyasimamia....mwishowe mwaka 2019 AKAPINDULIWA NA WANANCHI KWA UMOJA WAO....

Haya ya 2019 ndiyo matukufu kama ya ndugu zetu Zanzibar......

Kinachoendelea sasa ni kuwa Wasudani wanamshangaa Jenerali Abdel Fattah El Burhan kwa KUYAFANYA NI MAPINDUZI YAKE BINAFSI ILIHALI YEYE NAYE NI MATOKEO YA MAPINDUZI MATUKUFU.....

Jenerali El Burhan alishuhudia mwafaka wa kuundwa kwa serikali Kati ya Wananchi-Jeshi(Transitional Military Council) na Wananchi- Raia(FCC)....

Ikiwa imebaki mwezi mmoja tu ili kuwe na UKOMO WA UONGOZI WAKE ,Jenerali El Burhan anaipindua serikali(mapinduzi haramu yaliyo ndani ya mapinduzi matukufu)🤣🤣🤣

Lipi ni funzo KWETU ?!!!!!

Funzo kwetu ni kuendelea KUYALINDA MAPINDUZI MATUKUFU YA MWAKA 1964 NA KUVIKATAA VIASHIRIA VYOVYOTE VYA KUYABAGAZA NA KUJA KUTOKEA MAPINDUZI(haramu) ndani ya MWENDELEZO WA MAISHA YA MAPINDUZI MATUKUFU👍👊💪

Siempre JMT
Siempre CCM
Siempre Serikali Mbili za JMT
Mapinduzi ya 1964 Daima👊💪
Kakojowe ukalale
 
Hivi wale wana-CUF ambao waliuawa kule ZNZ back in 2001, na wengine kukimbilia uhamishoni; ilikuwa ni awamu ya nani?!

Sawa, tutambebesha zigo la misumari Mkapa kwa hoja kwamba ndie alipeleka polisi ZNZ kwenda kuua wana-CUF, na pia Karume bado alikuwa mgeni kwenye kiti lakini miezi michache ambayo alishakuwa madarakani ingemwezesha kugomea ukatili ule!!

Hayo majadiliano yalikuja baada ya CUF kuwa wameshauawa, na baada ya hapo hali ya ZNZ ikasambaratikavibaya mno!!

Zanzibar watu wakawa hawazikani!!

Visima vya maji vikawa vinajazwa vinyesi!!

Hata ulipoitishwa uchaguzi mwingine wa Wabunge, CUF "wakasusia" na Maalim akahamasisha Wafuasi wake wakapige kura za Maruani!!

2005 JK alipoingia madarakani bado hali ilikuwa mbaya Zanzibar!

JK, bila shaka kwa kutumia uzoefu wake wa kidiplomasia, ndipo akaunda Tume ya Maridhiano na kuitishwa Kura ya Maoni!

Kupitia kura za maoni ndipo Mfumo wa Utawala ZNZ ukabadilishwa na kuleta mfumo wa Serikali ya Mseto!! Na ndipo pia muundo wa Tume ya Uchaguzi ZNZ nao ukabadilishwa (ingawaje haujaleta suluhu) ili Wajumbe wake wawe wanatoka kwenye chama tawala na upinzani!

Lakini pamoja na kubadilisha mfumo wa ZEC, bado CCM wameendelea kubananga chaguzi ZNZ!

Kwahiyo tusidanganyane.!!

Hakuna mwana-CCM anayependa upinzani waingie Ikulu unless kama kushinda wanakoweza kuvumilia wengine ni ule ushindi wa ubungeTU lakini linapokuja suala la urais... WOTE, HAWAPO TAYARI KUONA WAPINZANI WANASHINDA!!!
Raisalikuwa Commando.
 
46 Reactions
Reply
Back
Top Bottom