kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,367
- 12,656
nakubaliana na huyu mzee kwani yeye na maalim seif ndio walikaa na kuubaliana kuitishwa kura yamaoni kubadilisha katiba ya Zanzibar kua hii inayotumika leo ,pamoja navikao vilivyokua vimeitishwa dodoma kumuonya huyu mzee aliwachomolea ccm
Nitampa heshima hadikofo chake karume mdogo
Nitampa heshima hadikofo chake karume mdogo