Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 5,669
- 2,346
Unasubiri ujipenyeze ukalale Kule juu Michenzani?Akhui ndio "nimeamka" muda huu....naelekea FORO kula urojo halafu nikaumalizie usiku pale BOT CLUB........
Unasubiri ujipenyeze ukalale Kule juu Michenzani?Akhui ndio "nimeamka" muda huu....naelekea FORO kula urojo halafu nikaumalizie usiku pale BOT CLUB........
Hapana mkuu....mimi ni mtalii wa ndani....nimekuja kuchangia "visenti vyangu" kwa ndugu zangu Wazanzibari.....nimefikia Uroa mkuu....huu usiku ni uzururaji wa hali ya juu 🤣🤣🤣Unasubiri ujipenyeze ukalale Kule juu Michenzani?
Hapana mkuu....mimi ni mtalii wa ndani....nimekuja kuchangia "visenti vyangu" kwa ndugu zangu Wazanzibari.....nimefikia Uroa mkuu....huu usiku ni uzururaji wa hali ya juu 🤣🤣🤣
Asubuhi itanikutia humuhumu mitaani na nitakwenda kupiga soga pale KISONGO.....
Akhi uko wapi tukapate "gambe" hapo BOT?!!
Mimi na akina nani mkuu?Mimi niko michenzani jumba namba 7 , nawasubiri wenzako mnaukaje kula huku juu, tuwashughulikie, labda ni limbukeni mnafikiri mko 5 star hotel
Mfumo wa kuwaHata Shein alishakubali kuachia nchi, tatizo ni yule aliyezikwa Lupaso.
Tatizo ni kofia kwenye vyama.Kiongozi sina lengo la kubishana na hoja yako.
Hoja yangu ya msingi hapa ni kwanini alikaa kimya kwa miaka 6? Kwa nini aliendelea na nafasi yake ndani ya chama hali ya kuwa anajuwa maalim seif, wazanzibar pamoja na yeye mwenyewe wamedhulumiwa?
Kunyamaza na kushiriki kwa muda wote huo ndio kunaondoa mantiki ya kile anacho kisema sasa hivi.
Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume amesema miongoni mwa mambo yaliyowahi kumsikitisha ni kuitishwa kwa uchaguzi wa marudio mwaka 2015, wakati wakiwa kwenye kikao cha kujadili yaliyotokea katika uchaguzi huo akisema yeye alikuwa miongoni mwa wajumbe wa CCM waliokuwa wakifanya majadiliano na Maalim Seif baada ya uchaguzi ili kujua hatma ya Zanzibar.
Uchaguzi huo ulifutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wakati huo Mwenyekiti wake akiwa Jecha Salim Jecha aliyeamua kufuta matokeo yaliyokuwa yakiendelea kutangazwa kisha ukatangazwa uchaguzi wa marudio uliofanyika Machi 20 2016 ambao Maalim Seif aliususia.
"Nilishangaa hata wana CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, niliwauliza kwani hawa wenzetu si Watanzania? Hawataki haki na usawa? Niliwaambia Maalim Seif ni mtu muungwana kuliko hata walivyokuwa wakimuona na kumpa majina mabaya"-Karume.
View attachment 2002278
Mnaofanya biashara Za ajabu ajabu usikuMimi na akina nani mkuu?
Kutushughulikia nini ?!!
Kwani katika yale makazi ya raia hapo Michenzani kuna lipi la ajabu linaloendelea ?!!!
Duuuh... 😳😳Mnaofanya biashara Za ajabu ajabu usiku
Duuuh... 😳😳
Mkuu kilichoujaza moyo wako ndicho unachokinena....
Mimi mgeni tu....mgeni tu Zenji.....few days then nageuka.....
Mkuu wangu kuna msemo kuntu unasema hivi...asiyejiheshimu kamwe hawezi kumheshimu mwingine......
Siempre JMT
Ndugu zangu "watanganyika"?!!!Huo msemo wako ungaliwajuilisha hawa ndugu zako wanaotufanyia hizi biashara Za usiku wa manane
Na hasa wanapokaribia kufaHaya maneno huwa wanayasema baada ya kustaafu, siwaamini, yale yale ya Mkapa kitaka Katiba Mpya kwenye kitabu chake baada ya kustaafu.
Hata Karume binafsi asingekubali kushindwa na Seif na angetumia njia yoyote kuhakikisha anashinda.
Kwa hiyo ni mnafiki wa kiwango cha uprofesa.Hivi wale wana-CUF ambao waliuawa kule ZNZ back in 2001, na wengine kukimbilia uhamishoni; ilikuwa ni awamu ya nani?!
Sawa, tutambebesha zigo la misumari Mkapa kwa hoja kwamba ndie alipeleka polisi ZNZ kwenda kuua wana-CUF, na pia Karume bado alikuwa mgeni kwenye kiti lakini miezi michache ambayo alishakuwa madarakani ingemwezesha kugomea ukatili ule!!
Hayo majadiliano yalikuja baada ya CUF kuwa wameshauawa, na baada ya hapo hali ya ZNZ ikasambaratikavibaya mno!!
Zanzibar watu wakawa hawazikani!!
Visima vya maji vikawa vinajazwa vinyesi!!
Hata ulipoitishwa uchaguzi mwingine wa Wabunge, CUF "wakasusia" na Maalim akahamasisha Wafuasi wake wakapige kura za Maruani!!
2005 JK alipoingia madarakani bado hali ilikuwa mbaya Zanzibar!
JK, bila shaka kwa kutumia uzoefu wake wa kidiplomasia, ndipo akaunda Tume ya Maridhiano na kuitishwa Kura ya Maoni!
Kupitia kura za maoni ndipo Mfumo wa Utawala ZNZ ukabadilishwa na kuleta mfumo wa Serikali ya Mseto!! Na ndipo pia muundo wa Tume ya Uchaguzi ZNZ nao ukabadilishwa (ingawaje haujaleta suluhu) ili Wajumbe wake wawe wanatoka kwenye chama tawala na upinzani!
Lakini pamoja na kubadilisha mfumo wa ZEC, bado CCM wameendelea kubananga chaguzi ZNZ!
Kwahiyo tusidanganyane.!!
Hakuna mwana-CCM anayependa upinzani waingie Ikulu unless kama kushinda wanakoweza kuvumilia wengine ni ule ushindi wa ubungeTU lakini linapokuja suala la urais... WOTE, HAWAPO TAYARI KUONA WAPINZANI WANASHINDA!!!
Hakuna watu wabaguzi kuliko waafrika weusi. Tunawaona wanayoyafanya hapa Zanzibar Na huko Tanganyika Tunaona wanayofanyiwa ChademaNdugu zangu "watanganyika"?!!!
Naongea na XENOPHOBIC?!!
Wewe ni miongoni mwa kundi la watu wenye nafsi za kibaguzi ,kujikweza kusiko uhalisia?!!!
Sababu za CCM kuogopa upinzani kushinda uchaguzi Zanzibar ni hizi hapa
Wanadai Shein alishakubali matokeo na kutaka kumuachia Seif. Weeee JK alihairisha hadi safari na kukimbia Zenji yeye na mkapa na kumkemea Shein aache upuuzi kwao eti ilikuwa upuuzRais alikuwa Shein na ndio alikuwa na mamlaka. Wastaafu hawana nguvu ya kuingilia utawala mwingine
Ndugu zangu "watanganyika"?!!!Huo msemo wako ungaliwajuilisha hawa ndugu zako wanaotufanyia hizi biashara Za usiku wa manane
Umeishi tu Zanzibar na kutembelea tu huku bara kuyaona hayo tu ya ubaguzi wa watu weusi?!!Hakuna watu wabaguzi kuliko waafrika weusi. Tunawaona wanayoyafanya hapa Zanzibar Na huko Tanganyika Tunaona wanayofanyiwa Chadema
Pitia kumbukumbu zako vizuri...Raisalikuwa Commando.