Amani Karume: Nilishangaa wana-CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, Uchaguzi 2015 Zanzibar nilisikitika, niliwauliza hawa wenzetu si Watanzania?

Unasubiri ujipenyeze ukalale Kule juu Michenzani?
Hapana mkuu....mimi ni mtalii wa ndani....nimekuja kuchangia "visenti vyangu" kwa ndugu zangu Wazanzibari.....nimefikia Uroa mkuu....huu usiku ni uzururaji wa hali ya juu 🤣🤣🤣

Asubuhi itanikutia humuhumu mitaani na nitakwenda kupiga soga pale KISONGO.....

Akhi uko wapi tukapate "gambe" hapo BOT?!!
 
Hapana mkuu....mimi ni mtalii wa ndani....nimekuja kuchangia "visenti vyangu" kwa ndugu zangu Wazanzibari.....nimefikia Uroa mkuu....huu usiku ni uzururaji wa hali ya juu 🤣🤣🤣

Asubuhi itanikutia humuhumu mitaani na nitakwenda kupiga soga pale KISONGO.....

Akhi uko wapi tukapate "gambe" hapo BOT?!!

Mimi niko michenzani jumba namba 7 , nawasubiri wenzako mnaukaje kula huku juu, tuwashughulikie, labda ni limbukeni mnafikiri mko 5 star hotel
 
Mimi niko michenzani jumba namba 7 , nawasubiri wenzako mnaukaje kula huku juu, tuwashughulikie, labda ni limbukeni mnafikiri mko 5 star hotel
Mimi na akina nani mkuu?

Kutushughulikia nini ?!!

Kwani katika yale makazi ya raia hapo Michenzani kuna lipi la ajabu linaloendelea ?!!!
 
M
Hata Shein alishakubali kuachia nchi, tatizo ni yule aliyezikwa Lupaso.
Mfumo wa kuwa
Mkiti taiga at the sa
Kiongozi sina lengo la kubishana na hoja yako.
Hoja yangu ya msingi hapa ni kwanini alikaa kimya kwa miaka 6? Kwa nini aliendelea na nafasi yake ndani ya chama hali ya kuwa anajuwa maalim seif, wazanzibar pamoja na yeye mwenyewe wamedhulumiwa?
Kunyamaza na kushiriki kwa muda wote huo ndio kunaondoa mantiki ya kile anacho kisema sasa hivi.
Tatizo ni kofia kwenye vyama.
1.Amiri jeshi mkuu,
2.Rais,
3.M/kiti wa chama.

Hebu fikiria mpo kwenye kikao unamkosoaje/unamshauri vipi huyo mwenye maguvu hapo juu.
Naamekuambia;
Hashauriki wala Rais huwa hakosei

Mzee Karuma pamoja na yote yaliyotokea akiwa Rais lakini angalau ameonyesha kuwa alikuwa anakubali/kutokukubaliana.
Tusimlaumu sana bali tuchukue hoja zake zitumike kama ushahidi wa dhuluma.
Ushahidi wa pili ni Jecha,Nae ipo siku atafunguka ili mradi aandaliwe JECHA DAY.
Ushahidi wa tatu ni kujivua ubunge uteule wa Pemba miezi juzi hapa.

NB! Tumuombe radhi Lowasa kwa kumtukana sana kuwa ikulu haipokei wagonjwa
 
Hahahaaaa wanasiasa sio mchezo
Anatoa kauli ss hv akijua fika kua haina tija yoyote kwa ss
 
Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume amesema miongoni mwa mambo yaliyowahi kumsikitisha ni kuitishwa kwa uchaguzi wa marudio mwaka 2015, wakati wakiwa kwenye kikao cha kujadili yaliyotokea katika uchaguzi huo akisema yeye alikuwa miongoni mwa wajumbe wa CCM waliokuwa wakifanya majadiliano na Maalim Seif baada ya uchaguzi ili kujua hatma ya Zanzibar.

Uchaguzi huo ulifutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wakati huo Mwenyekiti wake akiwa Jecha Salim Jecha aliyeamua kufuta matokeo yaliyokuwa yakiendelea kutangazwa kisha ukatangazwa uchaguzi wa marudio uliofanyika Machi 20 2016 ambao Maalim Seif aliususia.

"Nilishangaa hata wana CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, niliwauliza kwani hawa wenzetu si Watanzania? Hawataki haki na usawa? Niliwaambia Maalim Seif ni mtu muungwana kuliko hata walivyokuwa wakimuona na kumpa majina mabaya"-Karume.
View attachment 2002278

Wakishamaliza madaraka ndio wanaanza story. Ina maana wakati wake hakuwahi kuwa na changamoto za uchaguzi?
 
Mnaofanya biashara Za ajabu ajabu usiku
Duuuh... 😳😳

Mkuu kilichoujaza moyo wako ndicho unachokinena....

Mimi mgeni tu....mgeni tu Zenji.....few days then nageuka.....

Mkuu wangu kuna msemo kuntu unasema hivi...asiyejiheshimu kamwe hawezi kumheshimu mwingine......

Siempre JMT
 
Duuuh... 😳😳

Mkuu kilichoujaza moyo wako ndicho unachokinena....

Mimi mgeni tu....mgeni tu Zenji.....few days then nageuka.....

Mkuu wangu kuna msemo kuntu unasema hivi...asiyejiheshimu kamwe hawezi kumheshimu mwingine......

Siempre JMT

Huo msemo wako ungaliwajuilisha hawa ndugu zako wanaotufanyia hizi biashara Za usiku wa manane
 
Huo msemo wako ungaliwajuilisha hawa ndugu zako wanaotufanyia hizi biashara Za usiku wa manane
Ndugu zangu "watanganyika"?!!!

Naongea na XENOPHOBIC?!!

Wewe ni miongoni mwa kundi la watu wenye nafsi za kibaguzi ,kujikweza kusiko uhalisia?!!!
 
Haya maneno huwa wanayasema baada ya kustaafu, siwaamini, yale yale ya Mkapa kitaka Katiba Mpya kwenye kitabu chake baada ya kustaafu.

Hata Karume binafsi asingekubali kushindwa na Seif na angetumia njia yoyote kuhakikisha anashinda.
Na hasa wanapokaribia kufa
 
Hivi wale wana-CUF ambao waliuawa kule ZNZ back in 2001, na wengine kukimbilia uhamishoni; ilikuwa ni awamu ya nani?!

Sawa, tutambebesha zigo la misumari Mkapa kwa hoja kwamba ndie alipeleka polisi ZNZ kwenda kuua wana-CUF, na pia Karume bado alikuwa mgeni kwenye kiti lakini miezi michache ambayo alishakuwa madarakani ingemwezesha kugomea ukatili ule!!

Hayo majadiliano yalikuja baada ya CUF kuwa wameshauawa, na baada ya hapo hali ya ZNZ ikasambaratikavibaya mno!!

Zanzibar watu wakawa hawazikani!!

Visima vya maji vikawa vinajazwa vinyesi!!

Hata ulipoitishwa uchaguzi mwingine wa Wabunge, CUF "wakasusia" na Maalim akahamasisha Wafuasi wake wakapige kura za Maruani!!

2005 JK alipoingia madarakani bado hali ilikuwa mbaya Zanzibar!

JK, bila shaka kwa kutumia uzoefu wake wa kidiplomasia, ndipo akaunda Tume ya Maridhiano na kuitishwa Kura ya Maoni!

Kupitia kura za maoni ndipo Mfumo wa Utawala ZNZ ukabadilishwa na kuleta mfumo wa Serikali ya Mseto!! Na ndipo pia muundo wa Tume ya Uchaguzi ZNZ nao ukabadilishwa (ingawaje haujaleta suluhu) ili Wajumbe wake wawe wanatoka kwenye chama tawala na upinzani!

Lakini pamoja na kubadilisha mfumo wa ZEC, bado CCM wameendelea kubananga chaguzi ZNZ!

Kwahiyo tusidanganyane.!!

Hakuna mwana-CCM anayependa upinzani waingie Ikulu unless kama kushinda wanakoweza kuvumilia wengine ni ule ushindi wa ubungeTU lakini linapokuja suala la urais... WOTE, HAWAPO TAYARI KUONA WAPINZANI WANASHINDA!!!
Kwa hiyo ni mnafiki wa kiwango cha uprofesa.
 
Rais alikuwa Shein na ndio alikuwa na mamlaka. Wastaafu hawana nguvu ya kuingilia utawala mwingine
Wanadai Shein alishakubali matokeo na kutaka kumuachia Seif. Weeee JK alihairisha hadi safari na kukimbia Zenji yeye na mkapa na kumkemea Shein aache upuuzi kwao eti ilikuwa upuuz
 
Huo msemo wako ungaliwajuilisha hawa ndugu zako wanaotufanyia hizi biashara Za usiku wa manane
Ndugu zangu "watanganyika"?!!!

Wewe ni miongoni mwa kundi la watu wenye nafsi za kibaguzi ,kujikweza kusiko uhalisia?!!!
Hakuna watu wabaguzi kuliko waafrika weusi. Tunawaona wanayoyafanya hapa Zanzibar Na huko Tanganyika Tunaona wanayofanyiwa Chadema
Umeishi tu Zanzibar na kutembelea tu huku bara kuyaona hayo tu ya ubaguzi wa watu weusi?!!

Tembea uone ubaguzi wa wahindi ,wazungu na waarabu........ama hawa neno XENOPHOBIA haliwahusu bali sisi tu watu weusi ?!!!

Pengi "minorities" wanapata shida......ukiona huko Zanzibar watu wanabaguliwa basi ujue ni hizo tabia za ubaguzi za WALIO WENGI....

Mathalani umefanya ubaguzi wa kuwabugua(XENOPHOBIC) Watanganyika kuwa wanafanya BIASHARA MBAYA NA MBOVU.....kwako wewe biashara hizo hazifanywi na walio wengi(Wazanzibari)...🤣🤣

Chief nimeishi Malindi Kenya.....kilomita 120 kaskazini huko kutoka Mombasa.....kule walio wengi wana TABIA ZA KINAFKI SANA.....FULL UNAFIKI wa kuwasema wengine-wachache "wauzaji"....cha ajabu WAZAWA wanauza kisirisiri tena wakiwa na NGUO ZA HESHIMA KABISA......ukiwa mgeni/mtalii unafuatwa na "pimps" na kukuuliza iwapo unahitaji "wari"...ukiwatip chapaa wanakuletea hotelini wakiwa wamevaa mavazi ya heshima na ya "kujificha"....wari wabichiii....wari wazawa kabisa.......

Tembea hata Lamu....kule Langoni na Mkomani.....japo Lamu ni kwa kificho kifichoo mnooo ......

So don't pretend to be too innocent and stop putting blame and cross fingers on our few sisters of mainland particularly from Dar and Tanga region wanaofanya hizo mambo......

Kullul Haqqu lau kanna murra!
 
Back
Top Bottom