Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,233
Mtungie shairi
Umeonaee! Hadi raha
Mtungie shairi
thetheth!! msanii hapa mmoja mmoja ndo mpango acha kwanza tumalishe hii shughuli ya wawili hawa then ifuate yako!jamani watu wengine wana bahati,kwani huyu excellent ni nani na alimfanya nini huyu mdada mpaka kampenda au wanafahamiana tofauti nahumu jf?jamani na mie afunguke mtu basi,umri wangu ni miaka 29 jamani kama yupo awe wazi huenda nafasi hii ilikuwa inamsubiri yeye
walisema excellent ndio bujibuji....... Simalizii
how well do u know him?..manake mambo ya social network..ukikuta ni kijana mdogo wa fomu wani itakuaje?
Excellent toto hilo limejileta.
Kivumah mbona maharusi wako, wana huzuni hivyo jamani? Wamelazimishwa kuoana au?..lol![]()
...I May Now Pronounce Exellent & .......... as ................
Nimeipenda hii![]()
...I May Now Pronounce Exellent & .......... as ................
this is what we were all waiting for! wishing you all the best buddy!Mlengwa amejibu... Kazi kwako Mdada...
![]()
...I May Now Pronounce Exellent & .......... as ................
Mwanamke atampendaje mwenzake?SIJAWAI HONA .
thetheth!! msanii hapa mmoja mmoja ndo mpango acha kwanza tumalishe hii shughuli ya wawili hawa then ifuate yako!
Kivumah mbona maharusi wako, wana huzuni hivyo jamani? Wamelazimishwa kuoana au?..lol