Am I a loner,selfish?

Am I a loner,selfish?

unawezaje kukataa hata kwenda kwa bi mkubwa? watu kibao wanakuhitaji wala hujali .yaani wewe unajiwazia wewe tu .sio fair hata kidogo .ila sio tatizo lako mwenyewe wanaume wengi mpo hivo
...duh.,umepona uchizi!
..kwa mara ya kwanza umeongea sense,dadeki!
 
Huyu RRONDO nakosa kumuelewa maana hapo mwanzo huwa na muweka katika kundi la late 40s.
Upo single? (30s) inakuhusu ila sio sheria...
Anyway uamuzi wako ndio furaha yako. No regrets!
Hii hali haihusiani na kuwa single au in relationship. Hata nikiwa in relationship hainibadili,nakuwa hivi hivi napenda kuwa mwenyewe.
 
Sio muda wote...kuna wakati najirusha vizuri tu. btw umeadimika, busara zako tumezikosa muda sasa.
Okay,kama siyo muda wote hilo siyo tatizo mkuu,wewe uko sahihi kabisa kwakuwa binadamu kuna wakati huhitaji kuwa peke yake ili atafakari mambo tofauti tofauti ya maisha yake na kufurahia uwepo wake hapa duniani yeye kama kiumbe wa aina yake maana hakuna kama yeye....

Mkuu,nipo sana tu haya maisha yanatufanya tusiwepo sana hapa...

Kwema lakini mkuu?
 
Okay,kama siyo muda wote hilo siyo tatizo mkuu,wewe uko sahihi kabisa kwakuwa binadamu kuna wakati huhitaji kuwa peke yake ili atafakari mambo tofauti tofauti ya maisha yake na kufurahia uwepo wake hapa duniani yeye kama kiumbe wa aina yake maana hakuna kama yeye....

Mkuu,nipo sana tu haya maisha yanatufanya tusiwepo sana hapa...

Kwema lakini mkuu?
Kwema kaka, Mungu akuongoze kwenye mapambano ya dunia.
 
I like my friends and siblings so much. Nikiwa na chance lazima niwe nao. Bahati mbaya kwa sasa nipo mbali na wanangu ila nikiwa nao karibu wanapata more than 50% of my time.
 
Back
Top Bottom