Naomba huduma keshona mimi nikiwa in need naruhusiwa kukucheki mteja wangu???
Yaani nakuelewa saana!Mimi mwenyewe hivyo hivyo, kuna kipindi nataka niwe peke yangu tu, na simu sometimes sitakagi kupokea unless iwe kwa watu muhimu sana.
Sio kila mmoja anaweza kua katika uhusiano na introverts!!!nimepitia comments nikashangaa saana hili swali halipo
Wana nguvu ya ushawishi saana. Kiasi kwamba ungekuwa naye asilimia nyingi ungemtoa. Ila sio kutoka.
Kwako vipi!Sio kila mmoja anaweza kua katika uhusiano na introverts!!!
nipo doubleUko single? 🙂🙂🙂🙂

Sociopath jeOk at least thats not a bad thing.

Naweza coz am one of them! Ila seriously natamani ningekua tofauti! Nataka mtu atakae nipush out of my comfort zoneWewe huwezi?
Hahahah ni sawa na maaskofu kuanzisha group wasap la mambo ya ndoa,a social getharing for the anti socials.Duh! tuanzishe jukwaa letu special JF nilikuwa nafikiri niko peke yangu
Wewe mtoto tabia gani hizo
Hivyo hivyo nikipata chance namtembelea pia nayeye akipata anakuja maisha yanasongaaUna manage vip kuwa ktka long distance relationship ?

Yeah nadhani nitapewa kadi nyekundu muda si mrefuI can imagine jamaa unavyomkera sometimes.