titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,565
- 9,806
Lemme help ya babygirlNaweza coz am one of them! Ila seriously natamani ningekua tofauti! Nataka mtu atakae nipush out of my comfort zone
Lemme help ya babygirlNaweza coz am one of them! Ila seriously natamani ningekua tofauti! Nataka mtu atakae nipush out of my comfort zone
Wewe huwezimmhh mmhh
Hahaa.niko kwenye bustani fulani hivi tulivu alone,enjoying my own company,a spliff in one hand and a drink in another.remenincing on the good times.man aint life beautiful.Hell no...
Habari za Pasaka. Jana ilikuwa sikukuu hivyo nilipata mialiko. Ajabu nilikataa mialiko yote nikaamua kukaa nyumbani peke yangu siku nzima na sikuboreka hata kidogo kwasababu nishazoea na nilipanga nisitoke.
Mwaliko wa kwanza Bi Mkubwa kanipigia asubuhi,anajua nakaa mwenyewe, kaniomba niende nyumbani nikajumuike nao. Bila kujiuliza nikamjibu leo sitaweza kuja nimetoka nje ya mji wakati nimepanga kushinda nyumbani.
Baadae kanipigia binamu wangu,me, kaniomba aje nae nikamwambia leo sitakuwepo nyumbani. Wa mwisho rafiki yangu mkubwa kanipigia jioni kaniuliza kama nipo tu nyumbani anipitie tukasafishe macho maeneo fulani, huyu nilimjibu tu kuwa nipo ila leo sitoki.
Nimekaa nikajifikiria naweza kuwa mbinafsi au loner fulani bila kujijua? Maanake napenda sana kukaa mwenyewe nyumbani au naweza kwenda sehemu ya starehe peke yangu. Na kuna marafiki wananishangaa nawezaje kukaa mwenyewe siku nzima!
Sio mara zote, ila kwa kifupi im more comfortable alone at home.Mkuu uko hivi mara kwa mara au ni mara chache tu? Mie hilo la kualikwa kwa Bi Mkubwa ndiyo limenishangaza lakini mengine hayo kama hayatokei mara kwa mara sioni cha kushangaza hasa kama ulikuwa na shughuli zako binafsi nyumbani, lakini kama hali hii inatokea mara nyingi jaribu kubadilika ila usibadilike kwa kuwa na watu ambao hufurahii company yao kwa sababu moja au nyingine.
OWA sheikh wangu,dada zetu wanahitaji kusitiriwa na vijana smart kama weweSio mara zote, ila kwa kifupi im more comfortable alone at home.
Mwenyezi atufanyie wepesi inshaalagInshallah muda ukifika....
Hahahah ni sawa na maaskofu kuanzisha group wasap la mambo ya ndoa,a social getharing for the anti socials.

Mkuu , wewe unaweza kuwa na mahusiano ya mbali ?Naweza ila response yako imenifanya nihisi ur not happy na huo uhusiano...im just saying naweza kuwa wrong.
Tell us, how do you handle it or how will you handle it ?Bila matatizo yoyote.
Bila hata reliable communication ?Two words. Honest,trust.
Kwa hio provided that kuna HONEST NA TRUST , hakuna tena haja ya communication ?Dunia ya leo hamna reliable communication?
Dunia ya leo hamna reliable communication?
Habari za Pasaka. Jana ilikuwa sikukuu hivyo nilipata mialiko. Ajabu nilikataa mialiko yote nikaamua kukaa nyumbani peke yangu siku nzima na sikuboreka hata kidogo kwasababu nishazoea na nilipanga nisitoke.
Mwaliko wa kwanza Bi Mkubwa kanipigia asubuhi,anajua nakaa mwenyewe, kaniomba niende nyumbani nikajumuike nao. Bila kujiuliza nikamjibu leo sitaweza kuja nimetoka nje ya mji wakati nimepanga kushinda nyumbani.
Baadae kanipigia binamu wangu,me, kaniomba aje nae nikamwambia leo sitakuwepo nyumbani. Wa mwisho rafiki yangu mkubwa kanipigia jioni kaniuliza kama nipo tu nyumbani anipitie tukasafishe macho maeneo fulani, huyu nilimjibu tu kuwa nipo ila leo sitoki.
Nimekaa nikajifikiria naweza kuwa mbinafsi au loner fulani bila kujijua? Maanake napenda sana kukaa mwenyewe nyumbani au naweza kwenda sehemu ya starehe peke yangu. Na kuna marafiki wananishangaa nawezaje kukaa mwenyewe siku nzima!