Am I a loner,selfish?

Am I a loner,selfish?

Hata mimi nilifanya kama wewe..yaani pekeangu na Jamii Forum..kuhusu uchoyo hapana kwa sababu miamala niliitoa sana kwa ndugu na marafiki ili wafurahie sikukuu.Kwa ujumla napenda sana utulivu wa fikra.
Uchoyo anatania tu....mimi kama sio JF naangalia TV.
 
nimepitia comments nikashangaa saana hili swali halipo

Wana nguvu ya ushawishi saana. Kiasi kwamba ungekuwa naye asilimia nyingi ungemtoa. Ila sio kutoka.
Bahati mbaya huwa sio rahisi kushawishiwa au kuyumbishwa. Na angekuwepo angekuwa na muda wake na muda wangu wa kukaa alone uko pale pale. Anaweza kuona simjali kwasababu hio.
 
Bahati mbaya huwa sio rahisi kushawishiwa au kuyumbishwa. Na angekuwepo angekuwa na muda wake na muda wangu wa kukaa alone uko pale pale. Anaweza kuona simjali kwasababu hio.

 
Habari za Pasaka. Jana ilikuwa sikukuu hivyo nilipata mialiko. Ajabu nilikataa mialiko yote nikaamua kukaa nyumbani peke yangu siku nzima na sikuboreka hata kidogo kwasababu nishazoea na nilipanga nisitoke.

Mwaliko wa kwanza Bi Mkubwa kanipigia asubuhi,anajua nakaa mwenyewe, kaniomba niende nyumbani nikajumuike nao. Bila kujiuliza nikamjibu leo sitaweza kuja nimetoka nje ya mji wakati nimepanga kushinda nyumbani.

Baadae kanipigia binamu wangu,me, kaniomba aje nae nikamwambia leo sitakuwepo nyumbani. Wa mwisho rafiki yangu mkubwa kanipigia jioni kaniuliza kama nipo tu nyumbani anipitie tukasafishe macho maeneo fulani, huyu nilimjibu tu kuwa nipo ila leo sitoki.

Nimekaa nikajifikiria naweza kuwa mbinafsi au loner fulani bila kujijua? Maanake napenda sana kukaa mwenyewe nyumbani au naweza kwenda sehemu ya starehe peke yangu. Na kuna marafiki wananishangaa nawezaje kukaa mwenyewe siku nzima!
Upo single ?
 
Kumbe tupo wengi!!!

me huwa naamua kujifungia tena chumbani.

Sipendi kusikia makelele ya tv wala radio.

Kuna siku huwa sipendi kupokea cm kabisa.

Lazima cm iwe ina bando muda mwingi nitakuwa Jf na kusinzia, nikiwa nimeamua kupumzika inaweza kuchukua hata siku tatu.

Kama kitu kilikuwa kinanisumbua basi siku nitakayoamka hapo nakuwa nimeshapata solution
 
Kumbe tupo wengi!!!

me huwa naamua kujifungia tena chumbani.

Sipendi kusikia makelele ya tv wala radio.

Kuna siku huwa sipendi kupokea cm kabisa.

Lazima cm iwe ina bando muda mwingi nitakuwa Jf na kusinzia, nikiwa nimeamua kupumzika inaweza kuchukua hata siku tatu.

Kama kitu kilikuwa kinanisumbua basi siku nitakayoamka hapo nakuwa nimeshapata solution
Sasa kwa mfano ukipata mpenzi kama mimi inakuwaje??
 
Ndio poa kunakuwa hakuna muda wa kugandana kama ruba.

Na kuachana itakuwa rahisi sana . Maana lazima na wewe hauna muda wa kubembeleza mtu , me kubembeleza mtu siwezi aisee
Uko single? 🙂🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom