Am happily married but feeling so lonely inside

Am happily married but feeling so lonely inside

Unajua tunaeza kukuchukulia kiutani lakin kiuhalisia una point!! By the way nini kimekufanya uwaze ivo...amechit??? Ana mawasiliano na ex wake??? Put it straight..
Nlivokuwa mjamzito alisema km mtoto wa kike atamwita jina fulani,kumbe ndo lilikua jina la ex wake
 
Pole kwa yanayokusibu naona umejaribu kwa miezi sasa kila ulilofikiria, kama yupo nawe muda wote na huyo ex hayupo mji uliopo huko uarabuni sijui wapi ulisema...basi jitahidi kumuweka moyoni na kula bata nae...ila umeshaeleza mengi nyuma...Mungu akuongoze. Wengine wangechepuka, kweli unavumilia labda ile ya mvumilivu... Itakujia kwako.
 
Nlivokuwa mjamzito alisema km mtoto wa kike atamwita jina fulani,kumbe ndo lilikua jina la ex wake

Pole nakumbuka ulisemaga haya, mie ningeakikisha kwanza natunzika vizuri sana na pesa yake nipendeze, nile vizuri, tulee wanetu vizuri na zangu niweke benki. Maana mume sio ndugu ya mkewe. Chuma chuma tu ujipe raha...

Jngekuwa umeenda njia ya kuchepuka hapo wewe unajifanya haumtegemei Mr. Ili nawe usichumwe haswaa na wanaopenda kudowea vya waume wa watu...
 
Pole kwa yanayokusibu naona umejaribu kwa miezi sasa kila ulilofikiria, kama yupo nawe muda wote na huyo ex hayupo mji uliopo huko uarabuni sijui wapi ulisema...basi jitahidi kumuweka moyoni na kula bata nae...ila umeshaeleza mengi nyuma...Mungu akuongoze. Wengine wangechepuka, kweli unavumilia labda ile ya mvumilivu... Itakujia kwako.

Asante sana kwa kukumbuka nampenda sana and am hurting wallah
 
Sijui wallah najisikia huzuni sana wakati wote hapokuwa hajaonyesha dalili yyte ya kutokunopenda lakini tokea nijue kuhusu his love story nimekuwa mpweke sana
ulitaka kujua ili iweje?mambo mengine ulijitakia mwenyewe..we acha kufikirua his past story.
 
Really!asante sana pia nlitamani unijuze kama uliwahi kupenda tena kwa moyo wako wote bila kumuwaza ur ex kabisa pls
Yes am in love now and am so happy with my life infact now ht maendeleo nayaona,those days ilikua purukushani tu za mapenzi,kila siku unawaza how to impress her but now am free,nna mtu anani support,ana ni care,sina stress & am happy kwa kweli...mfano mzuri mwingine its diamond na wema n now diamond na zari...angalia anavyo shine now days
 
Kwakuwa mnapendana zungumza nae kuhusu hilo kwa unyenyekevu asikereke, jaribu kuitengeneza saikolojia yake kwa umakini na ubunifu wa hali ya juu
 
Hala jf!natumai wazima wote ,ningependa mnisaidie na hisia zangu ambazo mimi mwenyewe sizielewi.ni ivi nimeolewa na nina miaka miwili na nusu kwenye ndoa na mtoto mmoja.sema la kweli I really really love my husband and he loves me too we have been in love for 2yrs before marriage ,sasa ikatokea nkaskia kuhusu his past love story ambayo inanifanya nihisi bado anamuwaza ex wake,am crying all the time feeling so lonely feeeling am with wrong person and listening to sad love songs and cry because i heard that he wanted to kill himself sababu ya ex wake but akajitahid kumove on,pls pls nisaidieni i love him but am unsure of his feelings or he is still with his ex pain.

You can't be happily married but yet feel lonely.
 
Hala jf!natumai wazima wote ,ningependa mnisaidie na hisia zangu ambazo mimi mwenyewe sizielewi.ni ivi nimeolewa na nina miaka miwili na nusu kwenye ndoa na mtoto mmoja.sema la kweli I really really love my husband and he loves me too we have been in love for 2yrs before marriage ,sasa ikatokea nkaskia kuhusu his past love story ambayo inanifanya nihisi bado anamuwaza ex wake,am crying all the time feeling so lonely feeeling am with wrong person and listening to sad love songs and cry because i heard that he wanted to kill himself sababu ya ex wake but akajitahid kumove on,pls pls nisaidieni i love him but am unsure of his feelings or he is still with his ex pain.
download kitabu kinaitwa awaiting woman it will help you my sister..... unajibebesha mzigo wa bure huna mambo ya kufanya eeh yani we ulie tu.. get occupied kuna mambo mengi ya kufanya kuliko kufikiria past ya mmeo
 
Punguza presha mke wa mtu.
Kama kuna kitu nimejifunza kwenye maisha yangu ni kua feelings za love ni kitu ambacho kinabadilika wakati wowote ule, unaweza mpenda mtu sana kuliko unavyofikiri ila chochote kikatokea ikauma muda ukapita feelings zikabadilika kabisa moja kwa moja.

Wangapi tulikua na first love ikaja second ila leo hii wote hao ni history. We unam~condemn jamaa kwa kua alipenda sana zamani? Hehehe, kwani nani hajawahi penda akaja oa kwingine akapenda zaidi? We kula bata na mume wako achana na mawazo ya ajabu hayo utaishi bila amani bure kumbe jamaa katulia. Usimuhisi mtu unless kakupa sababu, hii uliyokuja nayo wewe sio sababu ni visingizio tu.

Maybe you should learn to trust your husband a little bit more, after all he is your husband not just another boyfriend, trust should be there coz mshavuka stage ya kuchezacheza, you married the guy you must have had your reasons.
 
Hala jf!natumai wazima wote ,ningependa mnisaidie na hisia zangu ambazo mimi mwenyewe sizielewi.ni ivi nimeolewa na nina miaka miwili na nusu kwenye ndoa na mtoto mmoja.sema la kweli I really really love my husband and he loves me too we have been in love for 2yrs before marriage ,sasa ikatokea nkaskia kuhusu his past love story ambayo inanifanya nihisi bado anamuwaza ex wake,am crying all the time feeling so lonely feeeling am with wrong person and listening to sad love songs and cry because i heard that he wanted to kill himself sababu ya ex wake but akajitahid kumove on,pls pls nisaidieni i love him but am unsure of his feelings or he is still with his ex pain.
Kwahiyo you are not happily married.... wacha kujidanganya, halafu wacha kuishi kwa hisia kwann uweze kuwa jamaa anamuwaza X wake?! Au ulipora km lulu alivyompora hamisa?!
 
Kwan hukuwahi kuwa na mtu au ndo yale ya kukomalia wenzenu wakat na ww washapita kama 10 hiv
 
Nahisi not loved sababu his love story imeniathiri sana hadi nahisi labda ameeowa sababu tu wakati umefika but his heart is not with me
Sasa kama moyo wake upo kwa X utafanyaje? Ukilia ndio utaurudisha? 80% ya watu wameoa au kuolewa na watu ambai mioyo yao iko kwa watu wengine. Ndio ukweli wa maisha. Kuliko kulia kwa kitu ambacho huna control nacho (moyo wake) kwanini usikazanie tale uliyo na control nayo (moyo wako, watoto wako, kazi zako,etc). Hakunyanyasi, hacheat unachoumia ni nini? Be good atajifunza kukupenda with time.
 
Back
Top Bottom