exceptional lady
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 332
- 248
Kama the guy haoneshi kunadilika,na anakupenda kama kawaida,na heshima ipo,so why unawaza negative?mi nilidhan ameonesha some changes..lol usipanik keep on loving ur hubby
kuishi kwa kufata quotes...zina gharimu sana,you come with your own principle people to quote your experienceI mean they say there is no love except for the first love
Mmy emitional tupa kuleee kuwa logical wweee ndio mkeee wake sasa shida nn x ni x it wont b nextAm feeeling hurt coz i wonder if am in his heart and he over with his ex coz they no love except for the fisrt love
And what if you are feelings are right, is there anything you can change?Nahisi not loved sababu his love story imeniathiri sana hadi nahisi labda ameeowa sababu tu wakati umefika but his heart is not with me
Kweli mkuu umriiii badooo angetakiwa anafanya UE akimbizane na sapu but ukiona nyani kazeeka...... ndiye aliyekwepa mishale mingibado mdogo sana,ndoa zinataka uwe na miaka 28 plus ndio utaweza kwenda sambamba na mawimbi yake yasiyochoka kuja tena na tena....endelea tu kukomaa taratibutaratibu!!!kwa ufupi...hakuna shida yoyote katika ndoa yako zaid ya wewe kuongozwa na hisia zako za hofu....sasa angalia hizo hisia zako zitamuharibu mwenzio,usidhani ha note hizo nyimbo zako unazosikiliza siku hizi....akibadilika ujue wewe ndio umembadilisha na kumuharibu
Wewe huna ma X, au alikuoa ukiwa bikira?Kama the guy haoneshi kunadilika,na anakupenda kama kawaida,na heshima ipo,so why unawaza negative?mi nilidhan ameonesha some changes..lol usipanik keep on loving ur hubby
Hebu andika kwa kiswahili nikuelewe. sorry sijaelewa kabisaAm feeeling hurt coz i wonder if am in his heart and he over with his ex coz they no love except for the fisrt love
Mkuu Mimi sio mtaalamu ila huyu Dada ana insecurity Na low self esteem mbaya sana hivi vitu sikia kwa mwingineInawezekana una ugonjwa wa Depression. Embu jaribu kugoogle huu ugonjwa uone kama dalili zake zinafanana na vile unajisikia...
Hala JF,
Natumai wazima wote, ningependa mnisaidie na hisia zangu ambazo mimi mwenyewe sizielewi ni hivi nimeolewa na nina miaka miwili na nusu kwenye ndoa na mtoto mmoja, sema la kweli I really really love my husband and he loves me too we have been in love for 2yrs before marriage.
Sasa ikatokea nikasikia kuhusu his past love story ambayo inanifanya nihisi bado anamuwaza ex wake, Iam crying all the time feeling so lonely feeeling Iam with wrong person and listening to sad love songs and cry because i heard that he wanted to kill himself sababu ya ex wake but akajitahidi kumove on. Please nisaidieni i love him but am unsure of his feelings or he is still with his ex pain.
Kweli si kila mwanamke anafaa kuwa mke...Pole nakumbuka ulisemaga haya, mie ningeakikisha kwanza natunzika vizuri sana na pesa yake nipendeze, nile vizuri, tulee wanetu vizuri na zangu niweke benki. Maana mume sio ndugu ya mkewe. Chuma chuma tu ujipe raha...
Jngekuwa umeenda njia ya kuchepuka hapo wewe unajifanya haumtegemei Mr. Ili nawe usichumwe haswaa na wanaopenda kudowea vya waume wa watu...
Hapo kwenye jina hapo.... je alivyozaliwa alimpa hilo jina??
Nlivokuwa mjamzito alisema km mtoto wa kike atamwita jina fulani,kumbe ndo lilikua jina la ex wake
hahahaha ..hahahaha ...hahahaha!!Am feeeling hurt coz i wonder if am in his heart and he over with his ex coz they no love except for the fisrt love
Umesharudi tz?He is my first true love
hahaaaaaaww hapo kuna kiulakin kwa mbaliNlivokuwa mjamzito alisema km mtoto wa kike atamwita jina fulani,kumbe ndo lilikua jina la ex wake
Tittle yako inasema yu happily married...then ukaja kutuambia...you love yo hubby and he loves you too and you have a kid...ukasema tena you have been on love for two yrs....Sasa unahisi you not loved kisa tu umesikia past love story yake...unachoshikilia bango ni kwamba we only love once..Nahisi not loved sababu his love story imeniathiri sana hadi nahisi labda ameeowa sababu tu wakati umefika but his heart is not with me