Alshabab walifanikiwa kuondoka

Alshabab walifanikiwa kuondoka

Status
Not open for further replies.
Mi nlivosikia tu interpol wametoa tangazo la kumtafuta mjane mweupe wakati kenya walisema wameua magaidi na wengine wamekamatwa nikajua kuna snema ilichezwa kudanganya watu.
 
Muwache aongee na Wananchi hao jamaa wanajiita waislam na wanafanya Ujinga so Kuwaita wajinga ni Haki ya Msemaji kwa Wananchi.... Usimkataze wala Kumfundisha au Umeona sawa hao jamaa kufanya hicho kitendo kilicholaaniwa hadi na Waziri wa mambo ya nje wa Kenya Amina akisema huo Uislam wao ni wa aina yao na yeye hafuati mfumo wao wa hao magaidi... ni wajinga.... usitetee kilicholaaniwa na jamii yote

Mjinga hawezi kupanga na kutekeleza mission yenye mafanikio kiasi kile !
Walinzi na wanausalama wa Kenya wakisaidiwa na rafiki zao, kwa siku nne wameshindwa kupata hata maiti ! leo kamati ya bunge inahoji taasisi zao kwa uzembe na kuonyesha kiwango cha chini kabisa cha weledi !
Imebakia kukamatana uchawi tuu !..........four days for 15 Mujaheeds !?
 
Kilichotokea pale mall ni kama kilichotokea katika movie ya Denzel "INSIDE MAN". Hata CNN jana usiku walisema kuhusu kutoroka kwa baadhi ya hao wasomali. Inavyosemekana wengine walitoroka kwa kujichanganya na wananchi waliokuwa wakiokolewa

Waliangalia movie nini ? Hii inakumbusha wale yule jamaa alioteka gari la pesa ultimate security miaka ya tisini nadhani
 
Hii ishu ya Westgate imejaa mafumbo mengi ambayo hayana majibu muafaka mpaka sasa.
 
Bongo movie wangekuwa faster wangeweza Ku act movie .. Tagemea Hollywood washaandika script .. Yaani siamini Jamaa wameteleza kupitia mtaroni..?

Je ni Nani aliyeangusha / kilipua ule upande wa jengo?

Ni kweli insurance INA cover disaster ya a in a hiyo ...

Ni kweli west gate inamilikiwa na waisrael ?

Sept. Kuna Watu wanadai siku jengo linalipuka Jews wote hawakuwa kazini

....

Tukio limeacha Maswali mengi ...
 
Jee, mnajuwa Insurance ya hilo jumba la maduka ni kiasi gani?

Unakuja sasa kwenye point, kuna conspirancy inaendelea ambayo ina link magaid wa somalia na insurance industry ,nadhan haupo mbali sana na ukweli
 
Hakuna ubishi kuna baadhi ya magaidi wale ambao ni potential walisepa kama kuna ambazo walibaki basi ni recruits tu ambao hata wakikamatwa au kuuwawa hakuna madhara makubwa kwa kundi
 
nawakubali sana...watu wanapothubutu na kuweza..ila ingekuwa njema wasingeua ila kuonyesha wanaweza

wangeonyeshaje wameweza bila kuua kaka. Yaani hapo tayari wameshaandika story ulimwengu huu. Al shabaab ni noma,si kwamba nawafagilia bali kwa matukio wanayoyafanya wakiwa wachache na kuiacha nchi kama Kenya inahaha.
 
Ndio habari inayowaumiza vichwa wana usalama wa Kenya wakisaidiwa na wale wa kutoka Nje ni kwamba baada ya kufanya lile tukio la Westgate jamaa walifanikiwa kuondoka salama salmin kwa kupitia mtaro wa maji taka ambao umeambaa mita kadhaa kutoka lilipo jengo walimofanya tukio la kufuru

Source"tbc habari sa2

Mmeanza tena porojo za osama hajafa
 
Unakuja sasa kwenye point, kuna conspirancy inaendelea ambayo ina link magaid wa somalia na insurance industry ,nadhan haupo mbali sana na ukweli

Acheni porojo.ndo nyie mnaoamin marekan walijilipua.mnaudhi
 
Kinachonisikisha mimi ni kwamba kuna watu walijificha pale kwenye Mall kwa muda kuhofia kwamba mashambulio yanaendelea lakini wana usalama wa Kenya waliishiwa mbinu kabisa na kutokana na woga wao wakalipua west gate yote wakaua majeruhi na waliokuwa wamejificha mule waliobakia.
 
Hii nadhani kila linapotokea tukio. Hata Tupac na Kanumba wapo wanaoamini hawajafa. Ila "uzushi" huu ulianzia hapa, ingawa suala la msingi na la kujiuliza, je waisrael ambao ni wamiliki-wenza wa Jengo hilo hawakujua ramani inayounganisha jengo hilo na mtaro huo?


DAILY POST: SHOCKING: AL SHABAAB may have escaped through an underground tunnel; KDF never killed any TERRORIST.

yaani kwa stori hii ya Kenya Daily Post,basi wenzetu na sisi wote hatupo salama,,,,,
 
kafiri ni wewe unayeabudu mashetani bila kujijua na uombe sana upate neema ya kuijua kweli, watoto walikosa nn hadi kustahili ukatili ule??

una nunua picha dukani kisha unatundika sebuleni, unawaambia wanao 'huyu ni Bwana wetu !'
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom