warrant ya kumsaka white widow imetoka anatafutwa na kwa udi na uvumba
ikumbukwe ndio alikuwa leader wa wale majamaa
BBC kama uliangalia jumamosi kuna Mzungu alikuwa anasema alimuona mwarabu akiua watu then akabadilisha nguo na kutoka kama mateka
hao ni watu ambao waliowaona ni wangapi wametoka kama mateka bila ya kuonekana?
serikali imesema kuwa magaidi waliouawa ni 8 ila mashahidi wanakwambia ni zaidi ya watu 15 waliovamia wengine walikuwa kwenye parking juu wengine chini wengine ndani ya nakurmatt
propaganda zipo katika mambo kama haya lakini tunatupia logic katika kupambanua mambo kama haya mwisho kabisa mkuu
kuhusu kwa post ambayo uliyoitoa
porojo baada ya Mauaji, wale wajahedeen waliuwawa wote, hakuna mjinga wa kiislamu aliyetoka kule
ungeweza kuandika mjinga wa al shabab kulikuwa hakuna haja ya kuweka neno "Kiislamu" sio ustaarabu, sio burasa na wala sio uungwana
sawa wameua lakini hatuna mamlaka ya kuhukumu ila kama dini yako unayoiamini inakuruhusu kuhukumu badala ya kumuachia Muumba wako kuhukumu pia ni juu yako
ila ningekuwa wewe ningefumba macho then kwa dini yako nikamuomba mungu wangu msamaha
unaweza fanya hivyo hautapungukiwa na chochote ila utapata baraka tu