Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Usiwe muoga hao ni wajinga waache tu kwani hata kuua Hutumia udini wao kwanza kabla ya kuua sasa dini na jambo wanalolitenda huwezi litofautisha kamwe.... hata ukiwauliza wao hawajitenganishi ila wale wasio na misimamo mikali huwakana na kuwakataa na kuwaita si waislam na uislam hautaki hivyo.... Hata Muislam hawezi mswahilina hawezi kukataa kama Magaidi ni wajinga. Kuwaita wajinga neno wajinga haliwezi leta mtafaruku wowote wala matabaka kwa sababu lina ukweli ndani yake......
Ukisema Wapumbavu wakristo hilo lipo tofauti jamaa kazungumzia Ujinga nadhani neno hilo linatofautiana... Au na wewe unamatatizo kwenye Medula yako... Uoga hata mbinguni hautofika.
........hata Mndela aliitwa Gaidi na Makaburu pamoja na Wamarekani !
Hivyo inaategemea ni nani ana mwita nani !............................kafiri anamwita Muislaam gaidi, ili aendelee na udhalimu wake !