excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
Ila wakenya wameniudhi sana kitendo cha kushindwa kupata angalau mwili wa gaidi aliyekufa!
sasa si walisema kwamba wameua magaidi wawili? ina maana baada ya kuwaua, miili ilielekwa wapi?
Ila wakenya wameniudhi sana kitendo cha kushindwa kupata angalau mwili wa gaidi aliyekufa!
If they were killed and identified, ask Ole Lenku to show you their corpses! He propagate that some hostages were rescued but the parable was to show at least one of those who were rescued. Take them as mere empty words!Sirikali si imesema imewaua magaidi
Sasa kama waliondoka siku hyo hyo ina maana wakenya walikuwa wanapambana wenyewe kwa wenyewe
sasa si walisema kwamba wameua magaidi wawili? ina maana baada ya kuwaua, miili ilielekwa wapi?
Jiulize kati ya Magaidi na Kdf ni nani aliyeliporomosha jengo?
Ila wakenya wameniudhi sana kitendo cha kushindwa kupata angalau mwili wa gaidi aliyekufa!
Sirikali si imesema imewaua magaidi
Slim boy PK na babu M7 walikuwa wapi kumsaidia kijana wao UK,?laana ya kujidai kumtenga JK inawaangukiaIla wakenya wameniudhi sana kitendo cha kushindwa kupata angalau mwili wa gaidi aliyekufa!
sasa si walisema kwamba wameua magaidi wawili? ina maana baada ya kuwaua, miili ilielekwa wapi?
we ndio kilaza maana unafuata taarifa za vijiweni, lakini taarifa kutoka serikali ya Kenya, zinasema hakuna mjinga yeyote wa kiislamu aliyetoka baada ya majeshi ya kenya kuzingira westgate! tunapinga ugaidi kwa nguvu zote!
porojo baada ya Mauaji, wale wajahedeen waliuwawa wote, hakuna mjinga wa kiislamu aliyetoka kule!
Aiseeh! Mi kitu kinaniudhi kdf baada ya kufika kismayu wamekunja 4 kama wenzao updf walivyofanya baada ya kufika mogadishu. Sijui wanafanya magendo gani! Badala ya kuwavurumisha hao magaidi wa al shabaab na kuwamaliza wanawaachia kutunisha misuli. Ona sasa ushenzi waliofanyiwa na hao wazimu.
warrant ya kumsaka white widow imetoka anatafutwa na kwa udi na uvumba
ikumbukwe ndio alikuwa leader wa wale majamaa
BBC kama uliangalia jumamosi kuna Mzungu alikuwa anasema alimuona mwarabu akiua watu then akabadilisha nguo na kutoka kama mateka
hao ni watu ambao waliowaona ni wangapi wametoka kama mateka bila ya kuonekana?
serikali imesema kuwa magaidi waliouawa ni 8 ila mashahidi wanakwambia ni zaidi ya watu 15 waliovamia wengine walikuwa kwenye parking juu wengine chini wengine ndani ya nakurmatt
propaganda zipo katika mambo kama haya lakini tunatupia logic katika kupambanua mambo kama haya mwisho kabisa mkuu
kuhusu kwa post ambayo uliyoitoa
porojo baada ya Mauaji, wale wajahedeen waliuwawa wote, hakuna mjinga wa kiislamu aliyetoka kule
ungeweza kuandika mjinga wa al shabab kulikuwa hakuna haja ya kuweka neno "Kiislamu" sio ustaarabu, sio burasa na wala sio uungwana
sawa wameua lakini hatuna mamlaka ya kuhukumu ila kama dini yako unayoiamini inakuruhusu kuhukumu badala ya kumuachia Muumba wako kuhukumu pia ni juu yako
ila ningekuwa wewe ningefumba macho then kwa dini yako nikamuomba mungu wangu msamaha
unaweza fanya hivyo hautapungukiwa na chochote ila utapata baraka tu
warrant ya kumsaka white widow imetoka anatafutwa na kwa udi na uvumba
ikumbukwe ndio alikuwa leader wa wale majamaa
BBC kama uliangalia jumamosi kuna Mzungu alikuwa anasema alimuona mwarabu akiua watu then akabadilisha nguo na kutoka kama mateka
hao ni watu ambao waliowaona ni wangapi wametoka kama mateka bila ya kuonekana?
serikali imesema kuwa magaidi waliouawa ni 8 ila mashahidi wanakwambia ni zaidi ya watu 15 waliovamia wengine walikuwa kwenye parking juu wengine chini wengine ndani ya nakurmatt
propaganda zipo katika mambo kama haya lakini tunatupia logic katika kupambanua mambo kama haya mwisho kabisa mkuu
kuhusu kwa post ambayo uliyoitoa
porojo baada ya Mauaji, wale wajahedeen waliuwawa wote, hakuna mjinga wa kiislamu aliyetoka kule
ungeweza kuandika mjinga wa al shabab kulikuwa hakuna haja ya kuweka neno "Kiislamu" sio ustaarabu, sio burasa na wala sio uungwana
sawa wameua lakini hatuna mamlaka ya kuhukumu ila kama dini yako unayoiamini inakuruhusu kuhukumu badala ya kumuachia Muumba wako kuhukumu pia ni juu yako
ila ningekuwa wewe ningefumba macho then kwa dini yako nikamuomba mungu wangu msamaha
unaweza fanya hivyo hautapungukiwa na chochote ila utapata baraka tu
soon tutapata CD ZA KENYA EVENT