All about Edward Hosea, Mwanyika

Guys, I think the man is right!

Mwanakijiji kumbukeni sana nilipiga sana makelele kuhusu matumizi ya neno RUSHWA na tukalitungia sheria bila kufahamu maana na mapana ya neno hilo. Muswada ulisukumwa haraka haraka ukapitishwa ukiwa umeacha mabo mengi sana muhimu. Nakumbuka hata wewe ktk mada mojawapo uliwahi kusema kuwa sii lazima tunapozungumzia Rushwa basi iwe, lazima mtu kachukua/katoa hongo hali tumesahau kuwa CCM waliukubali muswada huu kwa sababu haukuwagusa wao kama viongozi wanao Hujumu uchumi wakitumia wadhifa wao na Azimio la Zanzibar linalowaruhusu kufanya Biashara.
Sasa wataweza vipi kufanya biashara hizo ikiwa hawana ruksa ya kutumia nafasi zao kupata connection?...How will it work halikutazamwa hili..
As a fact hata Rostam Aziz hana makosa ikiwa Richmond ni kampuni yake na hatuwezi mshtaki kwa sababu anakuwa protected na Azimio la Arusha pili, Richmond ni incorporated yaani entity inayojiendesha kama kampuni na tatu hakupokea wala kutoa rushwa kupata Tender hiyo..

Mkorogo wote wa sheria tumefungashiwa sisi na ndio maana Taasisi hiyo ya Dr. Hosea imeitwa - Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru). Kwa ufinyu wake haiweki hujuma za uchumi wa taifa letu..Deal la Richmond halina ushahidi wowote wa Rushwa lutumika.

Kutumia madaraka yako kupata Tender ya serikali sio kosa wala Rushwa hata kidogo na sheria za Azimio zinawa protect zaidi...

Ni mawazo yangu mnaweza nielemisha zaidi kama nimekosea.
Mkuu Mkandara,

Message yako sawa, lakini umei-twist... naomba usome post yangu hapo juu ndio utaelewa vizuri zaidi
 
Kasheshe,
Kazi ya Uchunguzi aliyopewa Hosea hivi majuzi nadhani ilikuwa chini ya TAKUKURU, kumbuka sii muda mrefu alipowasilisha report yake. Na alisema walichokuwa wakitazama ni kama kuna Rushwa imetumika...hawakuona.
Binafsi nimeisoma report nzima ya Mwakyembe sikuona mahala panapo onyesha RUSHWA imetumika isipokuwa mitulinga na matumizi mabaya ya wadhifa kukamilisha kile kinachokubalika kisheria na Azimio la Zamzibar..
 
Zomba unaweza kushangaa kuona JK anamwacha anaenelea kupeta mkuu .Wacha tuone maana Pinda ni serious na nadhai hataacha kumpa Rais ushauri wa uhakika .Hope Hosea will be ditched

JK hawezi kumuacha huyu, angewaacha maswahiba zake kwanza kina Lowassa, msabaha na karamagi.
 
Yeah, but where is our money?

Pengine hii artical ipo lakini sina uhakika mods wanaweza kuiondoka kama ni hivyo ilitoka few days back.
Adam Lusekelo said:

Daily News; Tuesday,February 12, 2008 @16:02

OKAY, everyone knew that we, I mean the people of Bongo, were being had in this Richmond rip-off. Chairman Harry Mwakyembe and his Parliamentary sniffing Committee had a credible report on the thieving.

Though those involved tried to walk off in a huff after the names were named there are still questions to be answered - where is the bloody money? Just who has been siphoning off the money? You just sign and absorb 154 million a day, come Sunday. Come Idd, come Maulid, came Chrismas and Easter. Every day of year for not delivering power to the national grid!

Who signed the continuation of the deal not to supply power from one year to two while six months into the deal all the dams were full? That is plainly criminal! They surely have been siphoning off and signing for the money without delivering any power.

Who are these monsters? You simply cannot sign off such amounts, unless you are part of the set-up. Former premier Ted Lowassa's resignation should not be seen as the end of the show, but the beginning .

So let's begin from the beginning. Who allowed a fictitious company to be paid millions of dollars? We in the streets find it very hard to get even a few pennies as loans. The banks will tell you to go fetch your grandmother's grandmother if you want a 500,000/- loan!

Definitely, this is a crime by the Tanzanian mafiosi. To do that you have to have a certain confidence, nay the arrogance, to do that. The whole country has been outraged by that heinous crime. You have to have done it before and gotten away with it. Our late founding father Mwalimu Nyerere once said that it's is like eating human flesh - once you eat human flesh you will always eat human flesh.

Once you steal peoples' resources, you will always continue to do that. You have the power, so which 'punk' will dare challenge you? Which is why I support what former premier, Joe Warioba, Chadema's Free Mbowe and Mzee Joe Butiku suggested. That, former premier, Ted Lowassa should have been given a chance, by the Speaker of the Bunge, Sam Six, to fight his corner.

The government should not try to sweep the scandal under the carpet. If I meet the new Premier Mizengo Pinda (Congrats!) I will ask what happened to the robbery? I think this game was played by more than Lowassa, Karamagi and Msabaha. Has the net spread?

If it has, to what extent? We simply want to see those guys who think they simply can sign off our beloved United Republic of Tanzania just like that. We demand justice. We want them to be punished. And just where is our money?


Waliotolewa kwa mizengwe ni lazima wafikishwe mahakamani ili haki itendeke, sio kwa wezi wa kuku tu.
 
Kasheshe,
Kazi ya Uchunguzi aliyopewa Hosea hivi majuzi nadhani ilikuwa chini ya TAKUKURU, kumbuka sii muda mrefu alipowasilisha report yake.
I can understand, inchanganya kidogo lakini ukweli ni kwamba ile ripoti ilifanyika kipindi cha PCB na sio PCCB!

Ndio maana Hosea haoni kosa lake!!! Kumbuka sheria ilifanyiwa marekebisho 2007 na kuzaa PCCB na kutangazwa kifo cha PCB.

Kwa vyovyote vile kwa nchi kama ya kwetu kama mswada ulikuwa ukijadiliwa April sitegemei kwamba ulishakuwa sheria kabla ya August 1, 2007.

Na kama kamati ya Bunge inasema PCB/PCCB walichunguza kwa miezi sita... ni lazima iwe wazi kwamba wakikuwa wakitumia PCB....
 
Kasheshe,
Mkuu nadhani unachanganya hapa... Kumbuka hata Gire alipokwenda kumwona rais Ikulu ilikuwa mwaka mwanzoni mwa 2007 na nakumbuka ahadi za Karamagi ilikuwa hawa jamaa wa Richmond wameongezewa muda hadi February mara March mwaka jana vilevile...kwa hiyo Gire aliitwa baada ya kushindwa kuwakilisha within time limit ya mwisho aliyopewa. Kumbuka pia JK alitupoza akisema generator za Umeme zitawasili karibuni tuwe na subra.

Mwaka 2006 hapakuwepo na uchunguzi wowote ule unaohusiana na Richmond kwani hata Waziri mkuu alipotembelea huku ilikuwa ni swala la ahadi na mara mvua za sayansi..

Kama unakumbuka zengwe serikalini lilianza baada ya mvua kunyesha na mabwawa kujaa hali hawa jamaa wamebadilsiha mwakilishi kuwa Dowans, wakati hapa JF tulikwenda nalo sambamba toka tulipotajiwa jina la Richmond which was 2006 na JK mwaka hu alikuwa akitoa ahadi ya kurudia kutazama upya mikataba ya Madini... Madini was a deal.
Hivyo basi TAKUKURU ndio walio husika na Uchunguzi huu wa Richomnd believe me ninayo kumbukumbu hiyo!.. isipokuwa swali kubwa hapa ni kuwa Je, kuna RUSHWA ilitumika?... hilo ni Chatch 22... mkuu.........sheria haiwezi kwenda na tunavyopenda sisi ila hufuata vitabu vya sheria. Kujipatia tender kwa kutumia madaraka ni haramu lakini sio rushwa hata kidogo, ila nadhani baraza la tume ya maadili ndilo linatakiwa kuchukua jukumu hilo la hujuma za uchumi wetu....
Kwa mapana yake Uhujumu uchumi upo nje ya sheria za Rushwa, lakini nadhani rushwa ndiyoinaweza kuwa ktk Uhujumu uchumi.
 
Naona huyu Hosea anampima rais aone atafanyaje, watoto wa mjini wanasema "kutesti zali!"
 
Hosea anamtatizo ya Ubongo nafikiri. Hauwezi ukaongea maneno kama hayo, I doubt on his capacity to serve the nation in that post.He has shown that he is unfit for the post.

HE MUST GO AND LET US RUN THE AGENCY, TECHNOLOGICALLY.Thanks for your comment.
 
Damn it.....!!!

Guys regardless of PCB or PCCB.........these Hosea statements are crap!!

I don't believe im reading this from Hosea!!!!.......hata naji-feel guilty kutumia title yake ya Dr. katika hoja yake aliyoitoa.............This time you are ANOTHER WEAKEST LINK.........and therefore you MUST GO!! period.

Ni kwa sababu zifuatazo

1. kwa kushindwa ku-honour your position as a senior Officer in the Government ambayo ni more than uchunguzi tu......ni katika kutetea maslahi ya Taifa under Oath ya kuilinda Katiba ay nchi hii.

2.Umefeli katika maswali BASIC ya uchunguzi kuhusu Richmond....ambapo Tume teule ilitumia na hata ku-implicate taasisi yako

3.Umefeli katika Uchunguzi ktk Procurement...ambayo siku zote Richmond amekuwa rated incapable!!!.......do you remember Letter of Credit??????...........jamani!!!

....huwezi Kupambana na RUSHWA kama hutaweza kutimiza wajibu wa Uchunguzi in the first place na maswali yake ambayo ni very BASIC

...........hakuna cha bangusilo wala nini................im pretty much sure kuwa Hosea knew what he was doing......na yeye kufikir kuwa takuja kujitetea kwa kusema eti hakuona rushwa............

Bob
Rushwa huchunguzwa, na kwenye uchunguzi ni lazima utafute wahusika.....Richmond is non existent for this matter....which was very simple fact for Hosea and his team to establish......prior to his conclusions....................suala hapa ni kwamba amefeli ktk uchunguzi.........then he cleared the culprits.........and you know what impression did people had for Richmond then.......eti ni clean deal !!!!!.....just beacuse of Hosea's statements

......................no Bob...i have been in fore front kumtetea jamaa lakini hili la Richmond Hosea kachemsha.........and he has to go......ili kurudisha imani ya wananchi kwa PCCB

Not only Hosea........kuwa awajibike bali hata some guys wa UWT inabidi wawajibike forthwith!!....kwa kushindwa kumshauri Rais vizuri..............again Richmond was incapble of delivering the job na hili ilionekana tangu mwanzo...then why go with it???????......
 
Hosea anamtatizo ya Ubongo nafikiri. Hauwezi ukaongea maneno kama hayo, I doubt on his capacity to serve the nation in that post.He has shown that he is unfit for the post.

HE MUST GO AND LET US RUN THE AGENCY, TECHNOLOGICALLY.Thanks for your comment.

Kiburi cha Hosea si cha bure .Anajua anacho kiongea wewe usikichukue analo lisema pale kwenye TV pekee no .Kuna maana nyuma ya Pazia .wacha tuone JK atafanya nini maana na Mwanasheria kauchuna vile vile .
 
procurement process zilionyesha kuwa Richmond is incapable..........still akapewa kazi........ later on...tunam-facilitate Letter of Credit!!!!!..............yaani tunajipiga viboko wenyewe.......guys lets be serious........

...Jemedari wa rushwa anashindwa simple reasoning...........je huyu ndio tutegemee atamshauri Rais wa nchi!!!!
 
Kasheshe,
Mkuu nadhani unachanganya hapa... Kumbuka hata Gire alipokwenda kumwona rais Ikulu ilikuwa mwaka mwanzoni mwa 2007 na nakumbuka ahadi za Karamagi ilikuwa hawa jamaa wa Richmond wameongezewa muda hadi February mara March mwaka jana vilevile...kwa hiyo Gire aliitwa baada ya kushindwa kuwakilisha within time limit ya mwisho aliyopewa. Kumbuka pia JK alitupoza akisema generator za Umeme zitawasili karibuni tuwe na subra.

Mwaka 2006 hapakuwepo na uchunguzi wowote ule unaohusiana na Richmond kwani hata Waziri mkuu alipotembelea huku ilikuwa ni swala la ahadi na mara mvua za sayansi..

Kama unakumbuka zengwe serikalini lilianza baada ya mvua kunyesha na mabwawa kujaa hali hawa jamaa wamebadilsiha mwakilishi kuwa Dowans, wakati hapa JF tulikwenda nalo sambamba toka tulipotajiwa jina la Richmond which was 2006 na JK mwaka hu alikuwa akitoa ahadi ya kurudia kutazama upya mikataba ya Madini... Madini was a deal.
Hivyo basi TAKUKURU ndio walio husika na Uchunguzi huu wa Richomnd believe me ninayo kumbukumbu hiyo!.. isipokuwa swali kubwa hapa ni kuwa Je, kuna RUSHWA ilitumika?... hilo ni Chatch 22... mkuu.........sheria haiwezi kwenda na tunavyopenda sisi ila hufuata vitabu vya sheria. Kujipatia tender kwa kutumia madaraka ni haramu lakini sio rushwa hata kidogo, ila nadhani baraza la tume ya maadili ndilo linatakiwa kuchukua jukumu hilo la hujuma za uchumi wetu....
Kwa mapana yake Uhujumu uchumi upo nje ya sheria za Rushwa, lakini nadhani rushwa ndiyoinaweza kuwa ktk Uhujumu uchumi.


Mkandara na Kasheshe, look here from PCB/PCCB files:

What is corruption?

1. Corruption is the perversion or destruction of integrity or fidelity in the discharge of public duties by bribery or favour (Oxford English Dictionary).

2. Corruption is the misuse of public power for private profit (Transparency International). Corruption involves behaviour on the part of officials in the public sector whether politicians or civil servants, in which they improperly and unlawfully enrich themselves, or those close to them, by the misuse of the public power entrusted to them.

Impact of Corruption:

  • Failure to achieve Government objectives
  • Rise in administration costs
  • Diminished revenue collection
  • Erosion of the courage and resolve to adhere to high standard of probity
  • Diminishes respect for authority
  • Loss in productivity as time and energy are devoted to ripping off the system rather than to enhancing its objectives
  • Reduced foreign investment
  • Corruption as it represents institutionalized unfairness, inevitably leads to litigation and calumnious charges with which even the honest official may be black mailed, hence lack of justice situation emerge.

FUNCTIONS AND RESPONSIBILITIES OF THE DIRECTOR GENERAL

a) Chief executive of the Prevention of Corruption Bureau accountable to the President of the United Republic of Tanzania on all matters of the Bureau.

(b) He/She will be accountable to the permanent secretary state House on Administrative and Finance matters.

(c) Authorize investigation against top leaders from government, political parties, public institution and private sector involving in corrupt practices.

(d) Advise the president of the United Republic on the action taken after completing investigation on corruption allegations.

Hivi, hata kama makosa ya zogo la Richmond yangeangukia kwenye uhujumu uchumi, (na basi tuamini kuwa PCCB haikuweza kisheria kushughulikia hilo) je, hata kumshauri rais nako sheria ilimzuia?
 
the boy wants to play smart.
amebip tutamfikia bila shaka.

Ila jeuri anayoionesha inakitu ndani yake. kiburi chake kinaweza kumsababishia elimination maana nchi hii bwana kila kitu possible....

Lets waits in three months kuona what will happen halafu mtaona uchaguzi mkuu utanukia 2009.
 
Ogah,
Nakubaliana na wewe kuwa kachemsha in a sense kwa Uzalendo lakini sio kisheria. Kulingana na taarifa zote tulizokwisha zipata ama kusanywa nakuomba nionyeshe kipengele hata kimoja kinachodhihirisha RUSHWA ilitumika...

Isipokuwa tukizungumzia baraza ama kamati ya maadili kwa kutumia sheria za maadili ya viongozi nadhani hapo nitakubaliana nayi zaidi. Je, hawa walikuwa wapi? na iweje swala la maadili ya viongozi lipelekwe ktk taasisi ya kuzuia Rushwa!...
Mgonjwa wa Ukimwi unampeleka kwa daktari wa vidonda..
 
Ogah,
Nakubaliana na wewe kuwa kachemsha in a sense kwa Uzalendo lakini sio kisheria. Kulingana na taarifa zote tulizokwisha zipata ama kusanywa nakuomba nionyeshe kipengele hata kimoja kinachodhihirisha RUSHWA ilitumika...

Isipokuwa tukizungumzia baraza ama kamati ya maadili kwa kutumia sheria za maadili ya viongozi nadhani hapo nitakubaliana nayi zaidi. Je, hawa walikuwa wapi? na iweje swala la maadili ya viongozi lipelekwe ktk taasisi ya kuzuia Rushwa!...
Mgonjwa wa Ukimwi unampeleka kwa daktari wa vidonda..

Wakuu,

nadhani kisheria, na kama wajibu wake, Hosea alitakiwa aeleze yafuatayo kwenye ripoti yake juu ya uchunguzi wa Richmond, kwa mujibu wa kazi yake:

1.Kumweleza rais kuwa kuwa kumbe Richmond is non existent

2. Kumwambia rais kuwa kuna implications za hujuma ya uchumi,na ukiukwaji wa maadili ya uongozi, maana ni wazi taratibu za manunuzi za PPRA zimekiukwa.

3. Kumfahamisha rais na umma kuwa kuna hasara ya kiasi fulani imepatikana

4. Angeshauri pia kuwa mkataba hauisaidii nchi kama ilivyokusudiwa, na angependekeza mamlaka zinazohusika ziuangalie upya.

Hii ina maana kuwa hata kama hakukuta kosa linaloshughulikiwa na idara yake, basi angewaarifu wengine wafanye kazi hiyo, badala ya kuilaumu sheria.
 
Ogah,
Nakubaliana na wewe kuwa kachemsha in a sense kwa Uzalendo lakini sio kisheria. Kulingana na taarifa zote tulizokwisha zipata ama kusanywa nakuomba nionyeshe kipengele hata kimoja kinachodhihirisha RUSHWA ilitumika...

Isipokuwa tukizungumzia baraza ama kamati ya maadili kwa kutumia sheria za maadili ya viongozi nadhani hapo nitakubaliana nayi zaidi. Je, hawa walikuwa wapi? na iweje swala la maadili ya viongozi lipelekwe ktk taasisi ya kuzuia Rushwa!...
Mgonjwa wa Ukimwi unampeleka kwa daktari wa vidonda..

Bob

Hosea kashindwa kufanikisha yafuatayo katika UCHUNGUZI wa rushwa kwenye Richmond:

WHEN, WHERE, WHAT, WHO, WHY and HOW

...then kamanilivyosema awali kuwa initial establishment ya kuanzia procurement ya Richmond na hata kuja kupewa zabuni yenyewe.....Hosea haikumpasa kusema wazi kuwa hakuna mnuko wa Rushwa...............hii statement inam-mislead the guy above him ambaye ndio President

uchunguzi wa rushwa ni PROCESS............in the process kama unakumbana na abnomalities you put them open.........Hosea didn't.......hakuna asiyejua kuwa ni ngumu kuona waziwazi rushwa ilitoka wapi na ilienda kwa nani....evrybody knows how difficult to establish that........but again....if that is the case then nilitegemea/tulitegemea mtu kusema

......hakuna rushwa iliyokuwa proven kutokea au kuonekana.........however the process of procuring the company is in question.....period

Bob
katika miradi mikubwa..........PROCUREMENT process ni lazima iwe makini sana na ya uwazi, rishwa zake huwa ni kubwa sana na ni ngumu sana kuwa proven.......especially kama kuna safe heavens huko Uswis and Carribean..............Public Procurement Act yetu ni nzuri tu, procurement process ilivyofanywa na tanesco ilikuwa nzuri tu..........kama angefanya uchunguzi wa maana................wala asingesimama mbele ya waandishi wa habari na kusema aliyoyasema..........ingekuwa vizuri kwake kusema pia kwamba ripoti nimemkabidhi my Boss (President) yeye ndio atafanyia uamuzii..........lakini Hosea alienda on the air kui-CLEAR Richmond.........................just imagine PICHA tuliyokuwa nayo baada ya kupata statement ya Hosea hapo awali.....................na baada ya kutoka ripoti ya Tume ya Dr Mwakyembe.........what do you expect.....in simple terms

hatuhitaji lugha za mbwembwe kutoka kwa Hosea sasa hivi eti corruption law......muulize hiyo corruption law jee haihitaji yeye kufanya uchunguzi??
 
................Hivi, hata kama makosa ya zogo la Richmond yangeangukia kwenye uhujumu uchumi, (na basi tuamini kuwa PCCB haikuweza kisheria kushughulikia hilo) je, hata kumshauri rais nako sheria ilimzuia?

well said Mbalamwezi.............na Rais keshasema anasubiri uamuzi/majumuisho ya Bunge na ameahidi kufanyia kazi.........simple Hosea MUST GO
 
Kutumia madaraka yako kupata Tender ya serikali sio kosa wala Rushwa hata kidogo na sheria za Azimio zinawa protect zaidi...

Ni mawazo yangu mnaweza nielemisha zaidi kama nimekosea.

Kwa definition ya rushwa, kutumia madaraka yako kwa ajili ya kujinufaisha mwenyewe (yaani kutumia vibaya madaraka/ofisi ya umma) ni rushwa. Hosea hajui afanyalo!
 
hata mimi napendekeza apimwe akili. yawezekana chizi au riport ya richmond na kujiuzulu kwa lowasa vimemtia uchizi. sasa inabidi tumfate hukohuko takukuru tummalizie kimya kimya!
hatutaki mchezo sisi
 
Back
Top Bottom