TANZIA Aliyewahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara katika serikali ya awamu ya tatu, Iddi Mohamed Simba afariki dunia

Yes.
Iddi Simba was a good speaker.
Always enjoyed listening to him.
Nilimuuliza unasemekana wewe ni tajiri, akasema " Sisi hapa Tanzania hakuna tajiri kwa maana halisi ya matajiri, sisi sote ni masikini tu bali tumepishana viwango vya umasikini, mtu akiwa na tunyumba tuwili tutatu na tugari tuwili tutatu, na tuhela ya kubadili mboga kwa Tanzania anaonekana tajiri.

Lakini Tanzania hakuna tajiri ila mimi natamani kuwa tajiri kweli", that was 1996 by then kwenye list of Forbes on top 100 world billionaires, hakuna African na kwenye top 100 African Millionaires, kulikuwa hakuna Mtanzania!.
P
 
Hivi Pride Tanzania ambayo nayo ilianza kufa taratibu kabla ya mzee Simba mna historia nayo? Nisiseme mengi kwa hapa. Zip my mouth.
 
Kila roho itaonja mauti.
Ila nimekumbuka yafuatayo:
1. Uganda Wakati wa Utawala wa Idd Amin
2. Mikataba ya UDA
3. N.K
3. Pride Tz ilikuwa awali ya serikali. Ilivyoangukia mikono yake sijajua. Miaka ya hivi karibuni pesa ya mtaji wanajua ilipoenda billions. Nahisi serikali ilianza kufuatiilia mifuko ya kuwezesha wananchi. Wenye smartness kichwani wakaona mhhhhhh bora ifilisike. Wala pesa wanazo mbinu sana.
 
Simba akiwa waziri wa biashara na viwanda ndie aliua NASACO
Hahaha. Watu mna historia hatari. Huyu kuna wakati alionekana si raia bali mvamizi. Hili sakata lilikuwa balaa sana. Hapo ndiyo alianza kukaa kimya hakusikika tena kwa sauti bali kichinichini akifanya yake.
 
Huyu nakumbuka Ilisemekana etiii, aliingilia Kati swala la DECI baada ya kuona PRIDE wateja wanapungua. Ndiyo chanzo Cha DECI Kufungiwa. Roho yake ipumzike kwa Amani.
 
Back
Top Bottom