Rais Samia mteue Polepole kuwa waziri wa viwanda na biashara utanishukuru baadae

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
3,510
7,755
Serikali ya Rais Samia haieleweki ni serikali ya nini na inasimamia nini, hii ni shida kubwa. Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ya viwanda na matendo yake yalikuwa ya kiviwanda ndiyo maana mkoa wa Pwani vikaanzishwa kama uyoga , lakini viwanda hivi vinafungwa chini ya serikali ya awamu ya sita na kufungwa kwa kiwanda maana yake kufungwa kwa ajira!
Sasa ili serikali ya Samia ipone kwenye eneo hili inatakiwa imteue kijana mzalendo balozi Polepole ili awashughulikie hao wanaohujumu viwamda vya nchi yetu
MSD ilikabidhiwa kiwanda cha madawa Keko lakini kinaelekea kufa…
 
Serikali ya Rais Samia haieleweki ni serikali ya nini na inasimamia nini, hii ni shida kubwa. Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ya viwanda na matendo yake yalikuwa ya kiviwanda ndiyo maana mkoa wa Pwani vikaanzishwa kama uyoga , lakini viwanda hivi vinafungwa chini ya serikali ya awamu ya sita na kufungwa kwa kiwanda maana yake kufungwa kwa ajira!
Sasa ili serikali ya Samia ipone kwenye eneo hili inatakiwa imteue kijana mzalendo balozi Polepole ili awashughulikie hao wanaohujumu viwamda vya nchi yetu
MSD ilikabidhiwa kiwanda cha madawa Keko lakini kinaelekea kufa…
Huko pako vizuri kabisa, huyo apelekwe kwa ustawi wa jamii kwenye maadili ya Mtanzania panapwaya sana.

Maadili yanazidi kuporomoka kwa kasi ya ajabu, ssa hivi vigodoro wanacheza uchi wa mnyama na video clips zinasambazwa na upuuzi huo unachekelewa tu.

Ushoga nao unaoongezeka kila kukicha kwa kasi tsunami.
 
Serikali ya Rais Samia haieleweki ni serikali ya nini na inasimamia nini, hii ni shida kubwa. Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ya viwanda na matendo yake yalikuwa ya kiviwanda ndiyo maana mkoa wa Pwani vikaanzishwa kama uyoga , lakini viwanda hivi vinafungwa chini ya serikali ya awamu ya sita na kufungwa kwa kiwanda maana yake kufungwa kwa ajira!
Sasa ili serikali ya Samia ipone kwenye eneo hili inatakiwa imteue kijana mzalendo balozi Polepole ili awashughulikie hao wanaohujumu viwamda vya nchi yetu
MSD ilikabidhiwa kiwanda cha madawa Keko lakini kinaelekea kufa…
Usupoelewa wewe Serikali inasimamia nini usilazimishe wote wawe wajinga Kama wewe.

Mwisho yaani mjamaa ndio awe Waziri wa Viwanda na Biashara? Una akili timamu?
 
Serikali ya Rais Samia haieleweki ni serikali ya nini na inasimamia nini, hii ni shida kubwa. Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ya viwanda na matendo yake yalikuwa ya kiviwanda ndiyo maana mkoa wa Pwani vikaanzishwa kama uyoga , lakini viwanda hivi vinafungwa chini ya serikali ya awamu ya sita na kufungwa kwa kiwanda maana yake kufungwa kwa ajira!
Sasa ili serikali ya Samia ipone kwenye eneo hili inatakiwa imteue kijana mzalendo balozi Polepole ili awashughulikie hao wanaohujumu viwamda vya nchi yetu
MSD ilikabidhiwa kiwanda cha madawa Keko lakini kinaelekea kufa…
Kundi la wasiojulikana bado mnatafuta nafasi.
 
Mr kataa wahuni
Hatakiwi kuwa na ushawishi wowote nchi hii ile nafasi aliyopewa ni ili kumnyamazisha tu
Hatakiwi kuwa na ushawishi nchi hii
Alipelekwa malawi akaja na ubunifu bado akageuka kuwa msaada kwa watanzania wengi sana ni kama tu bado alikuwa Tanzania umaarufu wake uliendelea kuongezeka kwa kusaidia watu wengi zaidi
Waliompa nafasi wakaona bado wamefeli lengo halijatimia wakaamua kumpeleka huko porini alipo sasa lakini bado anapambana kuwa prove wrong
Hawawezi kumrudisha bongo labda baada ya uchaguzi
 
Serikali ya Rais Samia haieleweki ni serikali ya nini na inasimamia nini, hii ni shida kubwa. Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ya viwanda na matendo yake yalikuwa ya kiviwanda ndiyo maana mkoa wa Pwani vikaanzishwa kama uyoga , lakini viwanda hivi vinafungwa chini ya serikali ya awamu ya sita na kufungwa kwa kiwanda maana yake kufungwa kwa ajira!
Sasa ili serikali ya Samia ipone kwenye eneo hili inatakiwa imteue kijana mzalendo balozi Polepole ili awashughulikie hao wanaohujumu viwamda vya nchi yetu
MSD ilikabidhiwa kiwanda cha madawa Keko lakini kinaelekea kufa…
Umeandika vizuri lakini ukweli ni kwamba Tanzania kwa awamu hii haina Rais kabisa. Tuombe mungu tu kama tutafika salama 2025 . Watanzania tambueni kwamba tunajiendea tu kwasasa msipofikiri na kuamua vizuri 2025 mwafa. Narudia hakuna Rais kwasasa. Amkeni
 
Serikali ya Rais Samia haieleweki ni serikali ya nini na inasimamia nini, hii ni shida kubwa. Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ya viwanda na matendo yake yalikuwa ya kiviwanda ndiyo maana mkoa wa Pwani vikaanzishwa kama uyoga , lakini viwanda hivi vinafungwa chini ya serikali ya awamu ya sita na kufungwa kwa kiwanda maana yake kufungwa kwa ajira!
Sasa ili serikali ya Samia ipone kwenye eneo hili inatakiwa imteue kijana mzalendo balozi Polepole ili awashughulikie hao wanaohujumu viwamda vya nchi yetu
MSD ilikabidhiwa kiwanda cha madawa Keko lakini kinaelekea kufa…
Maisha yanakwenda kasi sana!
 
Serikali ya Rais Samia haieleweki ni serikali ya nini na inasimamia nini, hii ni shida kubwa. Serikali ya awamu ya tano ilikuwa ya viwanda na matendo yake yalikuwa ya kiviwanda ndiyo maana mkoa wa Pwani vikaanzishwa kama uyoga , lakini viwanda hivi vinafungwa chini ya serikali ya awamu ya sita na kufungwa kwa kiwanda maana yake kufungwa kwa ajira!
Sasa ili serikali ya Samia ipone kwenye eneo hili inatakiwa imteue kijana mzalendo balozi Polepole ili awashughulikie hao wanaohujumu viwamda vya nchi yetu
MSD ilikabidhiwa kiwanda cha madawa Keko lakini kinaelekea kufa…
Unapoteza muda wako bure kushauri wapumbavu
 
Back
Top Bottom