Aliyewahi kuona mwanamke mfupi aliye mrembo

Aliyewahi kuona mwanamke mfupi aliye mrembo

ligera

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2014
Posts
2,646
Reaction score
1,172
Jamani wana jf naomba niwaambie kwamba sijawahi kumwona mwanamke aliye mrembo halafu mfupi,kwani hata wale wanaoshiriki mashindano ya mamisi wanawake wafupi sijawahi kuwaona,aliyewahi kumwona mwanamke mfupi halafu mrembo ajitokeze anipe ushuhuda,
 
Nakuombea uzae mbilikimo wengi wa kukutosha maana unafikiri yeyote mwenye maumbile fulani aliomba kwa Mungu awe hivyo.

Nina uhakika kwako utafurahia sana.
 
we huna akili wewe, ufupi na urefu inategmeana kwa nani? halafu uzur wako kwa mwingine ni ubaya, acha utoto nenda jkt
 
Alaf acha mambo yako ya ajabu wewe aliyekuambia wanaoshindania umiss ndo wazuri nani???
Mbona wapo wengi tu?? mi nahisi una inferiority complex unabid ujichunguze kiongozi!!!
 
Jamani wana jf naomba niwaambie kwamba sijawahi kumwona mwanamke aliye mrembo halafu mfupi,kwani hata wale wanaoshiriki mashindano ya mamisi wanawake wafupi sijawahi kuwaona,aliyewahi kumwona mwanamke mfupi halafu mrembo ajitokeze anipe ushuhuda,

Wako Brazil.

Na wale unaowaona kwenye mashindano ya Lundenga sio wazuri.
Watoto wazuri wenye maadili na waliotoka kwenye familia zenye uchaji wa Mungu huwezi waona pale wanafukunyuliwa na akina Lundenga na jopo lake.
 
Yupo anaitwa fatma mtoto wa kimanyema anakaa mtaa wa kariakoo opposite na jengo la radio uhuru.
Mzuri balaa sura sura jicho jicho guu guu ---- hilo hips juu.
 
acha zarau dogo kwa vle una kadem kako kamekosa afya kako kama fito(karefu) kanadai kanafanya diet kumbe njaa 2 unaleta unadharau kwa madem wafupi
 
Jamani wana jf naomba niwaambie kwamba sijawahi kumwona mwanamke aliye mrembo halafu mfupi,kwani hata wale wanaoshiriki mashindano ya mamisi wanawake wafupi sijawahi kuwaona,aliyewahi kumwona mwanamke mfupi halafu mrembo ajitokeze anipe ushuhuda,

Hujui utamu wa shortie wewe au umepigwa kibuti ndo maana unakuja kumalizia hasira huku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom