Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Kwa wenye roho za kichawi si rahisi kunielewa hapa. Kwa wenye mtindio wa ubongo si rahisi kunielewa hapa.
Magufuli aliua uchumi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa sana.
Kama angemaliza miaka 5 ya awamu ya pili angeua uchumi wa Tanzania kwa 90% mpa 100%.
Uchumi imara wa Taifa lolote unategemea uimara wa sekta binafsi. Kipindi cha Magufuli a.k.a kipindi cha viwanda hewa sekta binafsi zilipigwa pini kila kona.
Wazabuni wa mashirika ya umma kila walipodai pesa zao za zabuni waliambiwa tunahakiki malipo.
Kampuni zilifungwa sana, benki nazo ziliminywa vibaya mno.
Ujenzi wa makazi ya watu binafsi ulisimama kwasababu ya hali ngumu, biashara za kati na ndogo hazikuzuka mpya.
Wachuuzi almaarufu wamachinga ndio waliongezeka .
Wakati wa Magufuli ndipo biashara ya uchawa na kununua wanasiasa ndipo ilisitawi .
Haya wachawi nasubiri matusi yenu.
Wakati wa Magufuli hatukujua kuwa tupo kwenye ujamaa au ubepari, mambo yalikuwa shaghalabaghala na watu wakampigia makofi.
Kweli Afrika kazi tunayo
Magufuli aliua uchumi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa sana.
Kama angemaliza miaka 5 ya awamu ya pili angeua uchumi wa Tanzania kwa 90% mpa 100%.
Uchumi imara wa Taifa lolote unategemea uimara wa sekta binafsi. Kipindi cha Magufuli a.k.a kipindi cha viwanda hewa sekta binafsi zilipigwa pini kila kona.
Wazabuni wa mashirika ya umma kila walipodai pesa zao za zabuni waliambiwa tunahakiki malipo.
Kampuni zilifungwa sana, benki nazo ziliminywa vibaya mno.
Ujenzi wa makazi ya watu binafsi ulisimama kwasababu ya hali ngumu, biashara za kati na ndogo hazikuzuka mpya.
Wachuuzi almaarufu wamachinga ndio waliongezeka .
Wakati wa Magufuli ndipo biashara ya uchawa na kununua wanasiasa ndipo ilisitawi .
Haya wachawi nasubiri matusi yenu.
Wakati wa Magufuli hatukujua kuwa tupo kwenye ujamaa au ubepari, mambo yalikuwa shaghalabaghala na watu wakampigia makofi.
Kweli Afrika kazi tunayo