It happens one day alintembelea baada ya Mimi kwenda kumsaidia ucku aliuguliwa na watoto ghafla ucku..so I went to her house and took her to the hospital.. that night.
So after two weeks akawa amepita mtaani kwetu akaniuliza kma nipo anisalim coz since that day hatukuwa tumeonana kbsa
Alipofika nikafanya ukarimu wetu wa ki Africa wa mgeni unatumia kinywa gani.
Mgeni akaomba st Ane I served her na Mimi nikawa nakunywa alter wine.
Then tukawa tu tunapiga tu normal story until nilipomuuliza kuhusu distance relationship experience coz mi ndo ilikuwa mara ya Kwanza kukaa mbali na familia pamoja na mke wangu.
For the story nliyoskia mme wake alikuwa anafanyia kazi mkoa mwingine na huu tuliopo..so I wanted to hear the experience.
She told me her marriage ilivyosambaratika na kuwa na mgogoro mikubwa coz of distance. In the middle of the story she became so emotional and she bursted into tears aseee. kile kilio naona alikihafadhi mda mrefu kifuani kwenye..na hakikuta tena she kept crying...nilimbembeleza Sana asee it riched a stage where I went and hug her tukawa tumekaa kwa sofa amelaza kichwa chake kifuani kwangu..and she kept on crying..and I felt her.
I felt her pain I felt her argon I hugged tightly..we stayed that way for half until I kissed her to the fore head and she kissed my lips..and she told me it has been three years..hajamjua mwanaume..and the mistake started there..
Sent using
Jamii Forums mobile app