Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

Acha kuendekeza libeneke, kwahiyo unataka kusema unampenda sana huyo dada mtu kuliko mkeo na upo tayar kuharibu ndoa na familia kwa ajili ya tamaa zako za kimwili😏

Nakushauri Kila ukikutana nae uwe unafikiria madhara yanayoweza kutokea na uchukue hatua.
Me naona mnaangaika na mtu alienogewa na papuchi ya shemeji ake...
Yan kanogewa mpaka hajielewi...hahaha
Na hapa anaomba ushauri Ila hana maamuzi...

Mtoa mada kwani shemeji kuweka Nn umo ndani ya papuchi akupe ukaweke kwa mkeo
 
Wakuu mi nimeoa takriban mwaka wa 7 sasa plus miaka ya uchumba na mahusiano it's almost miaka kumi nipo na ndoa yangu.

Sasa mwaka juzi nilihamia mkoani kwa uhamisho wa kikazi na kuhamia mkoa X . Huku nilikutana na balaa la kujikuta nimeingia kwenye dhambi ya uzinzi na dada was mke wangu, kutokana na mazingira yalikuwepo wakati huo.

Akili zimerudi I know what am doing is wrong ila ndio hivyo I keep falling back in that sin. Nimeomba, nimeungama na nimefunga for days
but the issue nitaresist for months lakini it will just happen a day nitashindwa kabsa then I will find myself am back on the bed.

It killing me inside, I hate it but it keep on coming.
Kama kuna mtu alishatumbukia kwenye hii mess na akatoka please share with me and I will be glad.


Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Tafuta mtumishi wa Mungu unayemuamini aweze kukusaidia tofauti na hapo ni ngumu kutoka baadhi ya dhambi zinakosa nguvu mpaka uungame kwa mtu mfano uzinzi
Yakobo : Mlango 5
16 Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.
 
Kwani umeshindwa kuandika kwa Kiswahili tu?
Halafu huu utaratibu wa kuchanganya lugha(kiswahili na kiingereza) naona unashamiri sana umu jukwaani hasa kwenye thread za Wanawake
Sasa wew dume zima unachanganya lugha tukuelewaje? Afu kingereza chenyewe cha Ugoko. Shwainiiiiiii zako
We mwenyewe kiswahili chako cha ugoko. Afu ni kiswahili cha nchi ipi? Thread ni kiswahili cha wapi?
 
Unachokisema ndio ukweli mwenyewe.
Uzinzi ni kama sumaku yenye nguvu, ikikamata ujue umekwisha. Unaweza kufukurukuta lakini bado ukashindwa.

Kuna njia chache za kufanya na kwa uhakika utafanikiwa.

1. Endelea kuwa na dhamira ya kujutia na kuchukia hicho kilichotokea.

2. Jitahidi kuwa mbali kimazingira na huyo dada. Mfano kwepa mkoa aliopo huyo dada.

3. Tafuta sababu ya kumchukia huyo dada.

4. Jitahidi kuwa karibu na mke wako mara nyingi uwezapo.

5. Kata kabisa mawasiliano na huyo dada. Mfano, futa namba zake au mblock kabisa asikupate.
Namba 4 ndio silaha ya hali ya juu zaidi. Yqani unaweza kuangalia hata pua yake tu ukaifananisha na ya idd amin na ukajikuta unapoteza hisia juu yake.
 
Wakuu mi nimeoa takriban mwaka wa 7 sasa plus miaka ya uchumba na mahusiano it's almost miaka kumi nipo na ndoa yangu.

Sasa mwaka juzi nilihamia mkoani kwa uhamisho wa kikazi na kuhamia mkoa X . Huku nilikutana na balaa la kujikuta nimeingia kwenye dhambi ya uzinzi na dada was mke wangu, kutokana na mazingira yalikuwepo wakati huo.

Akili zimerudi I know what am doing is wrong ila ndio hivyo I keep falling back in that sin. Nimeomba, nimeungama na nimefunga for days
but the issue nitaresist for months lakini it will just happen a day nitashindwa kabsa then I will find myself am back on the bed.

It killing me inside, I hate it but it keep on coming.
Kama kuna mtu alishatumbukia kwenye hii mess na akatoka please share with me and I will be glad.


Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta mtumishi wa Mungu unayemuamini aweze kukusaidia tofauti na hapo ni ngumu kutoka baadhi ya dhambi zinakosa nguvu mpaka uungame kwa mtu mfano uzinzi
Yakobo : Mlango 5
16 Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.[/QUOTE]Mzee umezungumza kweli.. thanks lakini ni jambo la aibu Sana kumueleza mtu unamkula dada wa mkeo..
Plus image yangu kwa jamii na nilivyo mkuu
Unabaki tu kuugulia ndani kwa ndani..
Bt I will consider it.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me naona mnaangaika na mtu alienogewa na papuchi ya shemeji ake...
Yan kanogewa mpaka hajielewi...hahaha
Na hapa anaomba ushauri Ila hana maamuzi...

Mtoa mada kwani shemeji kuweka Nn umo ndani ya papuchi akupe ukaweke kwa mkeo
Hahahaaaa mkuu acha tu..same womb lakini vitu tofauti kbsaaa..
Maamuzi ninayo ndio maana natafta msaada..
Najua inavyopaswa kuwa..ndo maana kila leo watu wako makanisani au miskitini wakitatafta kuwa watu bora na wenye kupendeza mbele za watu na Mungu
Ko hta na Mimi najua nachotaka ila nahtaji mbinu na nguvu ya kuweza kuzid kuishinda nafsi ya udhaifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom