Ingekuwa ni mwanamke humu angenangwaa na kuitwa majina yote mabaya lakini sababu ni mkaka anapewa ushauri tu.[emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia hapo kwenye 'kenge'Ukiwa mzinzi hauna tofauti na kuku, bata, mbuzi, kenge n.k
Epuka hiyo dhambi maana malipizi yake sio ya kawaida. ACHA!
Sent using Jamii Forums mobile app
si kweli wachungaji na mashekh kila leo wanafumaniwa na wapo karibu na dini.Wanasema "mara nyingi ukijikuta unaangukia kwenye dhambi hasa ya uzinzi/ulevi basi wewe umejiweka mbali na dini" ukijikurubisha kwenye mambo ya kidini utakuwa mbali na uzinzi.
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Asante mkuu...nilishajitutumua kipindi cha nyuma...Hadi nikamtaftia mtu moja ya marafiki zangu.. lakini haikufanya kazi..[emoji23][emoji23][emoji23]uzungu umewaponza.
Nway kaeni chini na mkubaliane kwamba mnachofanya sio sawa na mkiache. Na kama yeye ndoa yake ilaharibika na akaumia sidhani kama atakuwa anataka kuharibu ndoa ya mdogo wake pia ili aumie, wanaume wapo wengi mwambie atafute mtu mwingine na si wewe shemeji yake.
NB: Kama ninyi ni waungwana mtaacha ila kama ni wazinzi endeleeni na mtakuja kuface the consequences sooner or later [emoji41]
Don't try this..hii kitu ni shida..unaanza kma utani..unakuja kustuka ushadumbukia parefu...inaumiza hii dhambi ni Kama madawa ya kulevya..unaumia ndani lakini umo tu..Leo unaapa ndio mwisho..siku isiyo na jina unarudia tenaKaa nae mbali kabisa mkuu, utaharibu familia na kushusha heshima yake..mim bado nusu tu initokee kwa mdogo wake ila nimechomoka, ana kijungu flan cha shida ila Mungu ameniokoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana!Pagumu hapo,ila usijari mkuu hata huku mkeo tunamshugurikia ipasavyo[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅Pagumu hapo,ila usijari mkuu hata huku mkeo tunamshugurikia ipasavyo[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wanao igiza imani na walio na imani ya kweli, hao wanaofanya hivyo ni wenye kuigiza, lakini wenye imani huwezi kuwakuta na hayo mambo abadan asilan.si kweli wachungaji na mashekh kila leo wanafumaniwa na wapo karibu na dini.
Acha kuendekeza libeneke, kwahiyo unataka kusema unampenda sana huyo dada mtu kuliko mkeo na upo tayar kuharibu ndoa na familia kwa ajili ya tamaa zako za kimwili😏Asante mkuu...nilishajitutumua kipindi cha nyuma...Hadi nikamtaftia mtu moja ya marafiki zangu.. lakini haikufanya kazi..
Huwa hatuwasiliani mara kwa mara...lakini nikukutana nae nashindwa kuishinda nafsi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Utanilipa shilingi ngapi kwa ushauri?
Ngoja nizengee hili dili kwanzaMkuu leo huendi eksivideo dot kom😂😂😂
Utakula tu, muda badoKaa nae mbali kabisa mkuu, utaharibu familia na kushusha heshima yake..mim bado nusu tu initokee kwa mdogo wake ila nimechomoka, ana kijungu flan cha shida ila Mungu ameniokoa
Sent using Jamii Forums mobile app