Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

Kwani umeshindwa kuandika kwa Kiswahili tu?
Halafu huu utaratibu wa kuchanganya lugha(kiswahili na kiingereza) naona unashamiri sana umu jukwaani hasa kwenye thread za Wanawake
Sasa wew dume zima unachanganya lugha tukuelewaje? Afu kingereza chenyewe cha Ugoko. Shwainiiiiiii zako
 
Kwani mlianzaje anzaje, alikutongoza au?
It happens one day alintembelea baada ya Mimi kwenda kumsaidia ucku aliuguliwa na watoto ghafla ucku..so I went to her house and took her to the hospital.. that night.

So after two weeks akawa amepita mtaani kwetu akaniuliza kma nipo anisalim coz since that day hatukuwa tumeonana kbsa

Alipofika nikafanya ukarimu wetu wa ki Africa wa mgeni unatumia kinywa gani.

Mgeni akaomba st Ane I served her na Mimi nikawa nakunywa alter wine.

Then tukawa tu tunapiga tu normal story until nilipomuuliza kuhusu distance relationship experience coz mi ndo ilikuwa mara ya Kwanza kukaa mbali na familia pamoja na mke wangu.
For the story nliyoskia mme wake alikuwa anafanyia kazi mkoa mwingine na huu tuliopo..so I wanted to hear the experience.

She told me her marriage ilivyosambaratika na kuwa na mgogoro mikubwa coz of distance. In the middle of the story she became so emotional and she bursted into tears aseee. kile kilio naona alikihafadhi mda mrefu kifuani kwenye..na hakikuta tena she kept crying...nilimbembeleza Sana asee it riched a stage where I went and hug her tukawa tumekaa kwa sofa amelaza kichwa chake kifuani kwangu..and she kept on crying..and I felt her.

I felt her pain I felt her argon I hugged tightly..we stayed that way for half until I kissed her to the fore head and she kissed my lips..and she told me it has been three years..hajamjua mwanaume..and the mistake started there..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jitahidi kuacha mkuu, maana itakugharimu sana baadae.

Fanya haraka utoke ndani ya hilo shimo kabla hujachelewa.
 
......Lakini it will just happen a day nitashindwa kabsaaaa then I will find myself am back on the bed....
Ukisoma hapo utagundua kuwa tayari umeshajiseti mwenyewe akilini mwako kurudia hicho kitendo. Hujaamua kuacha ndio maana unasema "lakini it will just happen...."

Anyways utajua mwenyewe kwa ujinga wako.
 
Jitahidi kukaa nae mbali,I mean to block all means of communication with her,wakati ukifanya hivyo tafuta demu mkali upunguze mawazo,
Fanya hivyo mkuu usije zaa nae itakuwa so

Sent using Jamii Forums mobile app
I have tried this before...nlikata means of communication kwa miezi Kama minne ila ilitokea tukakutana kwenye sherehe za mwisho wa mwaka nikaishia kuharibu Mambo asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It happens one day alintembelea baada ya Mimi kwenda kumsaidia ucku aliuguliwa na watoto ghafla ucku..so I went to her house and took her to the hospital.. that night.
So after two weeks akawa amepita mtaani kwetu akaniuliza kma nipo anisalim coz since that day hatukuwa tumeonana kbsa
Alipofika nikafanya ukarimu wetu wa ki Africa wa mgeni unatumia kinywa gani..
Mgeni akaomba st Ane I served her na Mimi nikawa nakunywa alter wine..
Then tukawa tu tunapiga tu normal story until nilipomuuliza kuhusu distance relationship experience coz mi ndo ilikuwa mara ya Kwanza kukaa mbali na familia pamoja na mke wangu.
For the story nliyoskia mme wake alikuwa anafanyia kazi mkoa mwingine na huu tuliopo..so I wanted to hear the experience.
She told me her marriage ilivyosambaratika na kuwa na mgogoro mikubwa coz of distance... In the middle of the story she became so emotional and she bursted into tears aseee..kile kilio naona alikihafadhi mda mrefu kifuani kwenye..na hakikuta tena she kept crying...nilimbembeleza Sana asee it riched a stage where I went and hug her tukawa tumekaa kwa sofa amelaza kichwa chake kifuani kwangu..and she kept on crying..and I felt her.. I felt her pain I felt her argon I hugged tightly..we stayed that way for half until I kissed her to the fore head and she kissed my lips..and she told me it has been three years..hajamjua mwanaume..and the mistake started there..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mr hebu andika Kibantu tu achana na hiki Kigalatia maana dah.
 
Unachokisema ndio ukweli mwenyewe.
Uzinzi ni kama sumaku yenye nguvu, ikikamata ujue umekwisha. Unaweza kufukurukuta lakini bado ukashindwa.

Kuna njia chache za kufanya na kwa uhakika utafanikiwa.

1. Endelea kuwa na dhamira ya kujutia na kuchukia hicho kilichotokea.

2. Jitahidi kuwa mbali kimazingira na huyo dada. Mfano kwepa mkoa aliopo huyo dada.

3. Tafuta sababu ya kumchukia huyo dada.

4. Jitahidi kuwa karibu na mke wako mara nyingi uwezapo.

5. Kata kabisa mawasiliano na huyo dada. Mfano, futa namba zake au mblock kabisa asikupate.
 
Siku moja nilipojaribu kuingia kwenye uzinzi nilijikuta najilaumu sana nikawa ninamgogoro wa nafsi, hii hutokana na malez uliyopewa na wazaz wako kama ulikua ni mtu wa dini sana unapofanya kitu ambacho ni dhambi tena kwakujua ni lazma kikutese tu


Sent using Gun Trigger
 
Dhambi ya uzinzi ni mbaya mno ww skia fanya ivi mkwepe uyo shemeji yako akipiga cm mblock akitaka muonane mwambie upo busy yani mfanyie visa visa tuu utaona mwenyewe atachoka atakuacha.....ww mwanaume kuwa na misimamo thabiti we vp usikubali mapenzi ya kupelekeshe ny*ge mbaya sana kuwa na misimamo piga chini..m

121.
 
Mengi yataongelewa hapa lakini ya Muhimu Ni Machache..

Mosi, Unatamaa ya Ngono na inaonekana una udhaifu Mkubwa kwenye kujizuia.. Hii Ni hatari maana most of the tragic accidents that happens to us come from people, habits or things that we love and cherish, unaeza Anza na Hilo kulishughulikia

Pili, Inawezekana Huyo Mwanamke Unampenda zaidi kuliko mkeo maana Ni simpo Sana kufanya Ngono na mtu yoyote na baada ya hapo Mkaendelea kuwa na mahusiano ya kawaida kama awali, Ila Kama mtu Unampenda na mkafanya MAPENZI unakuaga ngumu kusahau ama kumwacha. Kama kweli Unampenda hiyo Ni kesi nyingine Sasa..

Kama umeshindwa kuacha, Basi Punguza na uwe mwangalifu Sana kwenye movement zenu.. tumia Kinga kwa kila tendo na Kama mmeshapima Basi hakikisha anatumia P2 kila baada ya tendo kuepusha Ujauzito. Unaweza kuacha Kabisa maana madhara yake ni makubwa na ya kudumu kuliko huo utamu unaoshupalia.
 
Wanasema "mara nyingi ukijikuta unaangukia kwenye dhambi hasa ya uzinzi/ulevi basi wewe umejiweka mbali na dini" ukijikurubisha kwenye mambo ya kidini utakuwa mbali na uzinzi.

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
Unachokisema ndio ukweli mwenyewe.
Uzinzi ni kama sumaku yenye nguvu, ikikamata ujue umekwisha. Unaweza kufukurukuta lakini bado ukashindwa.

Kuna njia chache za kufanya na kwa uhakika utafanikiwa.

1. Endelea kuwa na dhamira ya kujutia na kuchukia hicho kilichotokea.

2. Jitahidi kuwa mbali kimazingira na huyo dada. Mfano kwepa mkoa aliopo huyo dada.

3. Tafuta sababu ya kumchukia huyo dada.

4. Jitahidi kuwa karibu na mke wako mara nyingi uwezapo.

5. Kata kabisa mawasiliano na huyo dada. Mfano, futa namba zake au mblock kabisa asikupate.
Asante Sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jichanganye uje umwambie mke wako utaharibu kila kitu!
We komaa nalo mwenyewe ulimalize kama lilivyokuwa limeanza kimyakimya limalize kwa utulivu huohuo..
Wanaume tunapambana na vitu na sio kusema vitu kama hivyo kwa mkeo utampa stress bure dada wa watu!
Kaa chini ulisolve mwenyewe tumia akili yako.
 
It happens one day alintembelea baada ya Mimi kwenda kumsaidia ucku aliuguliwa na watoto ghafla ucku..so I went to her house and took her to the hospital.. that night.
So after two weeks akawa amepita mtaani kwetu akaniuliza kma nipo anisalim coz since that day hatukuwa tumeonana kbsa
Alipofika nikafanya ukarimu wetu wa ki Africa wa mgeni unatumia kinywa gani..
Mgeni akaomba st Ane I served her na Mimi nikawa nakunywa alter wine..
Then tukawa tu tunapiga tu normal story until nilipomuuliza kuhusu distance relationship experience coz mi ndo ilikuwa mara ya Kwanza kukaa mbali na familia pamoja na mke wangu.
For the story nliyoskia mme wake alikuwa anafanyia kazi mkoa mwingine na huu tuliopo..so I wanted to hear the experience.
She told me her marriage ilivyosambaratika na kuwa na mgogoro mikubwa coz of distance... In the middle of the story she became so emotional and she bursted into tears aseee..kile kilio naona alikihafadhi mda mrefu kifuani kwenye..na hakikuta tena she kept crying...nilimbembeleza Sana asee it riched a stage where I went and hug her tukawa tumekaa kwa sofa amelaza kichwa chake kifuani kwangu..and she kept on crying..and I felt her.. I felt her pain I felt her argon I hugged tightly..we stayed that way for half until I kissed her to the fore head and she kissed my lips..and she told me it has been three years..hajamjua mwanaume..and the mistake started there..

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂uzungu umewaponza.

Nway kaeni chini na mkubaliane kwamba mnachofanya sio sawa na mkiache. Na kama yeye ndoa yake ilaharibika na akaumia sidhani kama atakuwa anataka kuharibu ndoa ya mdogo wake pia ili aumie, wanaume wapo wengi mwambie atafute mtu mwingine na si wewe shemeji yake.

NB: Kama ninyi ni waungwana mtaacha ila kama ni wazinzi endeleeni na mtakuja kuface the consequences sooner or later 😎
 
It happens one day alintembelea baada ya Mimi kwenda kumsaidia ucku aliuguliwa na watoto ghafla ucku..so I went to her house and took her to the hospital.. that night.
So after two weeks akawa amepita mtaani kwetu akaniuliza kma nipo anisalim coz since that day hatukuwa tumeonana kbsa
Alipofika nikafanya ukarimu wetu wa ki Africa wa mgeni unatumia kinywa gani..
Mgeni akaomba st Ane I served her na Mimi nikawa nakunywa alter wine..
Then tukawa tu tunapiga tu normal story until nilipomuuliza kuhusu distance relationship experience coz mi ndo ilikuwa mara ya Kwanza kukaa mbali na familia pamoja na mke wangu.
For the story nliyoskia mme wake alikuwa anafanyia kazi mkoa mwingine na huu tuliopo..so I wanted to hear the experience.
She told me her marriage ilivyosambaratika na kuwa na mgogoro mikubwa coz of distance... In the middle of the story she became so emotional and she bursted into tears aseee..kile kilio naona alikihafadhi mda mrefu kifuani kwenye..na hakikuta tena she kept crying...nilimbembeleza Sana asee it riched a stage where I went and hug her tukawa tumekaa kwa sofa amelaza kichwa chake kifuani kwangu..and she kept on crying..and I felt her.. I felt her pain I felt her argon I hugged tightly..we stayed that way for half until I kissed her to the fore head and she kissed my lips..and she told me it has been three years..hajamjua mwanaume..and the mistake started there..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikudhani kama ningecheka namna hii siku ya leo, nimecheka halafu nikacheka halafu nikacheeeeka,

Huu uandishi huu.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 
Back
Top Bottom