Hizi taa mwanzoni zilikuwa zinaruhusu sekunde angalau kuanzia sitini. Kwa sasa wameamua kuweka sekunde ishirini. Hii kwa kweli imerudisha foleni ya zamani. Sasa hivi foleni inaanzia njia ya kwenda UDSM. Huyu aliyeset hizi taa ana makusudi gani?
Mfugale iko ubungo sehemu ganiHizi taa mwanzoni zilikuwa zinaruhusu sekunde angalau kuanzia sitini. Kwa sasa wameamua kuweka sekunde ishirini. Hii kwa kweli imerudisha foleni ya zamani. Sasa hivi foleni inaanzia njia ya kwenda UDSM. Huyu aliyeset hizi taa ana makusudi gani?
Kwa anayetokea Kimara kwenda Mwenge za kushoto zinawaka kivyakevyake.Hizi taa mwanzoni zilikuwa zinaruhusu sekunde angalau kuanzia sitini. Kwa sasa wameamua kuweka sekunde ishirini. Hii kwa kweli imerudisha foleni ya zamani. Sasa hivi foleni inaanzia njia ya kwenda UDSM. Huyu aliyeset hizi taa ana makusudi gani?
Acha kumsingzia mchina ni ujinga wenu wenyrwe hii nchi imelaaniwaHuyo ni mchina aliepewa mabilioni
Acha kumsingzia mchina ni ujinga wenu wenyrwe hii nchi imelaaniwa
TumkamateMchina ndio ameweka
We Mzee kuna gari nili'iona imewekwa hio avatar yako kwenye kioo cha nyuma. ikiwa na maandishi "Father of all kids" ni wewe sio ?!
Wachina waliweka taa boss, setting mnafanya wenyewe na matrafiki wetuawa wachina wanatuchukulia sisi wabongo vilaza Hadi Taa pia Contact anachukua mchina
Tamesa ndo wanahusika pamoja na traffic kwenye taa za barabaraniawa wachina wanatuchukulia sisi wabongo vilaza Hadi Taa pia Contact anachukua mchina
Na mimi nimeshangaa, nikasema labda mwamba ni mgeni hapa mjini nini? Yeye anajua barabara zote za juu zinaitwa Mfugale!