Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Kwani TBC bado ipo?
Serekali ya CCM,hasa ya sasa haiwezi kuwapa nafasi ya kutekeleza hilo.Kamanda, hivi chama chetu kina mpango kweli wa kuanzisha angalau karedio ili iwe rahisi kuwasiliana na wananchi ambao ndo wapiga kura? Nauliza swali tu!
TCRAKamanda, hivi chama chetu kina mpango kweli wa kuanzisha angalau karedio ili iwe rahisi kuwasiliana na wananchi ambao ndo wapiga kura? Nauliza swali tu!
Dunia ipo Kasi TV chanel za mitandaoni uzioniEbu tuanzishe ili waifungie then ulimwengu wote uwajue kuwa ni makatili!
Aibu kubwa kwa Ayoub RiobaHili ni jambo la muhimu sana kufanyika kwa sasa hasa baada ya TBC kupoteza mvuto kwa wananchi kwa kiwango cha kutisha mno .
Bila shaka aliyefanya jambo lile alilipwa ili kuhujumu TV ya Taifa , si bure ! TBC leo imekuwa ya kuangaliwa na walioishiwa bando kweli ? tena kipindi cha Mama Ndege ! Hii ni aibu sana !
Alishinda Wenye Fitina waliaibikaYusuph Makamba and some CCM members,walifanya fitina sana kwa huyu mzee hadi kufutwa kazi TBC,pia walimpa kesi ya matumizi mabaya ya ofisi,sijui kesi hii iliisha vipi!
Ebu tuanzishe ili waifungie then ulimwengu wote uwajue kuwa ni makatili!
Huyu kafeli kabisa,angejitathmini aone kinachopaswa kufanyika.Aibu kubwa kwa Ayoub Rioba
Hahahaha dish 100 aisee kweli umeichoka TBC yetu pendwa..embu sema tatizo nini?
Leo Azam bila elf 20 huoni soka na bado wananchi wanalipa , TBC bure kabisa lakini wananchi hawataki kuitazama ! Azam inaheshimika na ina network dunia nzima , inaweza kufanya kazi na shirika lolote duniani , lakini hakuna anayeijua TBC hata hapo Zanzibar tu !Nakumbuka Mchakato majimboni 2010
CCM inapendwa na wajinga (TAWEZA). Wajinga wengi wana chuki dhidi ya wenye uelewaCCM hawapendi watu wenye weledi