Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Na muda mrefu sana siangaliagi hii chanel.
Tido ndio aliiwezea, Mshana na huyu wa sasa hakuna kitu.
Tujaribu kuwa wakweli wakati mwingine, Dk. Ryoba ameitendea haki TBC - jamaa ni mbunifu sana, wanao sema TBC ya leo haina mvuto hao wana lao jambo - enzi za Mshana TBC ilikuwa nyoronyoro kabisa mpaka wasikilizaji/tazamaji wa tukabaki tunajiuliza maswali Mengi - hivi huyu Tido alifanyiwa hujuma ili kumu-promote wa chini yake ambaye kusema kweli proved incompetent kabisa, aliteuliwa kisiasa tu lakini ubunifu alikuwa hana kabisa - wana siasa wengine ufikiri kuendesha vipindi vya TV vyenye tija ni lelemama - uteuzi wa Dk. Ryoba ndio ulifufua/nyanyuwa rating ya TBC to this day.
Ombi langu hizi adithi za "MAZUNGUMZO BAADA YA HABARI" kifutiliwe mbali kimekwisha pitwa na wakati, na wasikilizaji/watazamaji wengi wanakereka kuendelea kusikia vipindi vya mipasho vya enzi za Nyerere - siku hizi watanzania wengi wamekwisha elimika - walio kuwa na uwezo mkubwa wa kupangilia maneno na mvuto kwenye comments za mazungumzo baada ya habari walikuwa ni akina Paul Sozigwa na David Wakati, msemaji wa siku hizi uwezo/ubunifu huo hana kabisa analazimisha tu.