Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,651
- 5,126
Mchezo wa soka (mpira wa miguu) ni mchezo unaopendwa na watu wengi sana Duniani. Kwa hapa Bongo ni kama ndo epicenter ya soka! Soka linapendwa hapa Bongo balaa!
Kuna wakati niliwahi kumwambia rafiki yangu mmoja kwamba kwa "uwazimu" huu wa upenzi wa soka hapa Tanzania hasa katika mechi za Simba na Yanga kuna siku nyumba zao na wake zao watavamiwa kama kwenye ile movie ya Acalipto ya Jaguar iliyotengenezwa na Bingwa wa filamu za Hollywood Mel Gibson.
Maana wakati wa hizo mechi wanaume wanaobaki ndani ni wa kuhesabu.
Sasa Rais Dr. Samia kuingia kwa kununua magoli katika mechi zinazochezwa na timu zetu kimataifa ni motisha kubwa sana kwa wachezaji na wapenzi wa soka.
Kwa taarifa tu ni kwamba promotion anayopata Rais Dr. Samia kwa kujitolea kununua hayo magoli ni kubwa na yenye thamani kubwa mno.
Hongera sana Mama kwa ubunifu huo.
Kuna wakati niliwahi kumwambia rafiki yangu mmoja kwamba kwa "uwazimu" huu wa upenzi wa soka hapa Tanzania hasa katika mechi za Simba na Yanga kuna siku nyumba zao na wake zao watavamiwa kama kwenye ile movie ya Acalipto ya Jaguar iliyotengenezwa na Bingwa wa filamu za Hollywood Mel Gibson.
Maana wakati wa hizo mechi wanaume wanaobaki ndani ni wa kuhesabu.
Sasa Rais Dr. Samia kuingia kwa kununua magoli katika mechi zinazochezwa na timu zetu kimataifa ni motisha kubwa sana kwa wachezaji na wapenzi wa soka.
Kwa taarifa tu ni kwamba promotion anayopata Rais Dr. Samia kwa kujitolea kununua hayo magoli ni kubwa na yenye thamani kubwa mno.
Hongera sana Mama kwa ubunifu huo.