Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

Iyo looser ni ya England na iyo loser ni ya America ni kama humour na humor, kama neighbour na neighbor
Humor na humour upo sawa
Lakini
Looser na loser ni vitu viwili tofauti sana.
Tofauti yake wala haihusishi AmE or BrE

Loser noun yenye maana ya mtu aliyepoteza kitu /mtu while
Looser ni comparative form ya loose
 
Humor na humour upo sawa
Lakini
Looser na loser ni vitu viwili tofauti sana.
Tofauti yake wala haihusishi AmE or BrE

Loser noun yenye maana ya mtu aliyepoteza kitu /mtu while
Looser ni comparative form ya loose
"Itategemea nimeamkaje siku hiyo...."
 
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chadema, Joshua Nassari na mbunge wa sasa wa Karatu,
Willy Qulwi Qambalo wameondoka rasmi ndani ya chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wamepokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa pamoja na viongozi wengine wa Chama mkoa wa Arusha.

Amesema kuwa haikuwa kazi rahisi hata kidogo kufanya hayo maamuzi na akasema kuwa amekwenda Chama Cha Mapinduzi mchana kweupena si usiku kwa sababu moja tu, anachokifanya na alichokuwa anafanya ni swala lililowazi lenye mwanga na la kuelekeza.

Amesema kuwa hakwenda kuzunguza na wao kwa kuwa wamevaa kijani labda kuna kitu anataka hapana ila ni kwa sababu anaipenda nchi yake amesema angeamua kubaki huko duniani atengeneze pesa au kuitunza familia yake na afanye kazi akiwa huko duniani, wamsome kwenye magezati ya kimaaifa akiwa huko angeweza.

Nasari amekishukuru CHADEMA kwa kumlea tangia akiwa mdogo na sasa ameamua kutumikia nchi yake na sina nia ya kugombea nafasi yoyote, kilichopo mbele yake ni kumsaidia Rais John Magufuli.

Siku zote nafanya siasa za kiungwana. Nimeshawaandikia barua Chadema na kiukweli naishukuru Chadema ilinichukua nikiwa mdogo wakanisikiliza wakaona kuna potential ndani yangu. Nawashukuru kwa kunilea nitakuwa mjinga kama sitoikumbuka historia." - Joshua Nassari


View attachment 1500808
Joshua Nassari nakiwa na Willy Qulwi Qambalo​


Kumbukizi yangu ni vile alivyopoteza Ubunge wa CHADEMA kwa kuacha kuhudhuria kwa vile alimpeleka mke wake mjamzito akazae Marekani. Kwa katiba yao yeyote aliyezaliwa Marekani hata kama ni kwenye ndege akuwa safarini transit automatically ni raia w Marekani akionyesha cheti cha hospitali. Alikuwa radhi mwanae awe na baraka ya uraia hata japo imgharimu ubinge. Nasikia vopngozi wakuu wa CHADEMA tundulissu mbowe na wenje ni hivohivo watoto wao.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom