Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,659
- 32,964
Mzuqa wanajamvi!
Huyu dogo si ndie alikuwa anawaita CCM ukoo wa panya. Sasa naye amekuwa panya. Umetuangusha aiseee.
Sasa hivi na focus future sitaki kabisa IQ yangu iwe na mushkel.
Kuna comment moja iliniacha hoi siku ya harusi yake
Msafara wake Dongo janja ulipata sekeseke la Polisi
Comment ikawa:
"Hao polisi hata wahangaike vipi leo lazima dogo alale bila chupi taka wasitake"