Aliyeko karibu na Polepole

Aliyeko karibu na Polepole

Awe makini mnooo
Sitafunguka sana
UPDATE
Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!!

Britanicca
Mkuu Burita, sasa funguka!. Mimi naendelea kushauri. Post in thread 'Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe' Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe
P
 
Kama ukiwaza hivyo huumii basi huna utu na ubinaadamu ndani yako.
Mkuu ninao utu na ubinadam kwa wale waliotekwa na hawajulikani walipo mpaka sasa, na hawakua na kosa lolote linalotambulika kwenye jamii.

Siwezi kupoteza muda wangu kumsikitikia mtu ambae nae alihusika katika laana hiyo ya utekaji na kudhalilisha demokras, mtu ambae alikua anafanya mambo ambayo alikua anajua hatima yake ni kumpata hicho kilichompata na alikua na nafasi ya kuchukua tahadhari.

Apambane na hali yake, kama hiyo itakua ndio sababu ya kifo chake ni sawa tu kama ilivyotokea kwa wengine waliokua hawana hatia na wameacha familia zao na majonzi makubwa.
 
Wewe tena kwa kujifanya kalumanzila 😀😀,usimtishe mwenzio hamna mtu anaepoteza nae mida ni kajitu kadogo sana hako kakiroboto

Hov
Hebu soma tena comment yako hii, uone ni nani alikuwa sahihi: wewe au mleta uzi?
 
Mkuu Britannica jitahidini pia kuwalinda watu aina ya HHP kwenye idara maana ni wachache sana angalia wazee wote wamehanya kukemea uozo uliofanyika kumpata mgombea lakini jamaa akaachia mshahara, posho, na marupurupu ya kibalozi ilikupigania nchi na usalama wa rasilimali zake, mtapoteza sana uzalendo kama watu wenye nia ya dhati taifa lisonge mbele kama mtawaacha waingie kwenye 18 za wezi. Naamini mtaweza kumlinda HP na pia muungeni mkono kwenye mambo anayoyapambania.
Mkuu Britannica jitahidini pia kuwalinda watu aina ya HHP kwenye idara maana ni wachache sana angalia wazee wote wamehanya kukemea uozo uliofanyika kumpata mgombea lakini jamaa akaachia mshahara, posho, na marupurupu ya kibalozi ilikupigania nchi na usalama wa rasilimali zake, mtapoteza sana uzalendo kama watu wenye nia ya dhati taifa lisonge mbele kama mtawaacha waingie kwenye 18 za wezi. Naamini mtaweza kumlinda HP na pia muun
Jamaa ana akili sana.
Kijana wa Magu ambaye anajua kilichomtokea Saanane na Azory sidhani kama atakuwa mwepesi mwepesi

geni mkono kwenye mambo anayoyapambania.
Muda ni mwalimu mzuri sana,muda una uwezo wa kufungua ukweli,..........Polepolekama kawaida ya sukuma gang ni mshamba mmoja hivi asiyejielewa
 
1. Je mwezi ujao watamwachia au?

2. Kwa nini ndugu yake ameshindwa kuomba msaada huko aliko wa makomandoo kadhaa kwa ajili ya kumwokoa miongoni mwa wazalendo wa taifa letu?
3. Upande wa wazalendo hamna wenye utaalam wa Drones?
 
Pamoja na kupewa ujumbe na britanicca bado wahuni walimuwahi. Sasa nyie mlipaswa kuweka hata sungusungu tu waonekane wapo hayo maeneo 24/7
 
Back
Top Bottom