MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,546
- 11,657
Ndugu yetu bila shaka tutamuona tenaAwe makini mnooo
Sitafunguka sana
UPDATE
Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!!
Britanicca
Ndugu yetu bila shaka tutamuona tenaAwe makini mnooo
Sitafunguka sana
UPDATE
Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!!
Britanicca
Kwa akili yako una uhakika gani hawa kupuuza?Una uhakika gani kuwa walipuuza?
We acha tuu, kuna mambo mengi yanashangaza sana Tanganyika.1. Je mwezi ujao watamwachia au?
2. Kwa nini ndugu yake ameshindwa kuomba msaada huko aliko wa makomandoo kadhaa kwa ajili ya kumwokoa miongoni mwa wazalendo wa taifa letu?
3. Upande wa wazalendo hamna wenye utaalam wa Drones?
NTumpe ujumbe gani, naweza kumfikishia
Basi Polepole alikuwa mjinga kama alikuwa ana share mipango yake na Butiku.Butiku alimuuza Polepole
Akili zake nyingi ziko wapi? Mwenye akili asingekaa Kunduchi/ Ununio ma kuanza kuinanga Serikali. Hii teknolojia ya simu inakuonyesha ulipo, lazima udakweJamaa ana akili sana.
Kijana wa Magu ambaye anajua kilichomtokea Saanane na Azory sidhani kama atakuwa mwepesi mwepesi