loose Nut
JF-Expert Member
- Dec 6, 2025
- 2,194
- 4,931
Fortunus Buyobe.Kwenye maswala ya upelelezi hata britanicca anakuwa suspect.
Mpka ijulikane vinginevyo.
Fortunus Buyobe.Kwenye maswala ya upelelezi hata britanicca anakuwa suspect.
Mpka ijulikane vinginevyo.
Kama sehemu ya mila wekeni msiba mle na kande za mahindi na maharage, huyo hatunaye mufa mrefu.Tupe hata za ndani basi mkuu yupo hai au ameshatangulia tulie na tuinuke tena😢
Njoo hapa urudie kusoma ulichoandikaJamaa ana akili sana.
Kijana wa Magu ambaye anajua kilichomtokea Saanane na Azory sidhani kama atakuwa mwepesi mwepesi
😥😥Awe makini mnooo
Sitafunguka sana
UPDATE
Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!!
Britanicca
No more? Oh hell No!
britanicca aweza kuwa wakala wa mfumo, yaani informer. Anakuja na thread zake kama vile ana challenge Serikali ili apate wajinga kama Polepole, kisha wakijaa kwenye 18 yake anawalengeshaKufufua huu uzi bila kusema alipo au alipozikwa Polepole ni kuumiza hisia za watu bure
Kuna huyu @Brittanica na yule aliyekuwa anajitambulisha kama Kaka yake, wote kwenye swala la Polepole wamezingua
Unabisha kwa ushaidi au unabisha kwa sababu umeamua kubisha tu?acheni kumchafua mzee wa watu na siasa zenu za kijinga jinga
nabisha kwa sababu kwetu ni MtwaraUnabisha kwa ushaidi au unabisha kwa sababu umeamua kubisha tu?