Mjusi Sharobalo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2025
- 7,442
- 12,721
Kwani hamjasikia Kinyonga ameambiwa ajipeleke Polisi...
AI background ile, na sio background harisiPolepole alianza kufanya mistake sometimes kuonyesha ile View na ile background kwenye ile nyumba yale ni makosa sana kama umeamua kupambana na watu kama Rostam CIA kabisa utakiwi kuonyesha background na view kama ya ile nyumba ni big mistake watu wanaweza kujua uko wapi ikabaki story
Ni green screen Ile.Polepole alianza kufanya mistake sometimes kuonyesha ile View na ile background kwenye ile nyumba yale ni makosa sana kama umeamua kupambana na watu kama Rostam CIA kabisa utakiwi kuonyesha background na view kama ya ile nyumba ni big mistake watu wanaweza kujua uko wapi ikabaki story
Inasikitisha sana
Unataka kusem kilicchoandikwa sio kama kilivyo???Wengi uzi nyingi za topic yoyote wanaziharibu tu humu.. sijui why hawatulii kwanza kuelewa..
hawajui sio lazima kujibu..
Bange tayari kichwani tushakukosa sasa unatype utumbo tu , walikuwa karibu na wewe wakupokonye simu na wakuchape makofi ukalale mbusi wewe..
NYAU wewe. Weka hapa matokeo yako ya siks. Eti una degree.Bange tayari kichwani tushakukosa sasa unatype utumbo tu , walikuwa karibu na wewe wakupokonye simu na wakuchape makofi ukalale mbusi wewe..
Wewe boya Mimi sikuwa advance , six nilimaliza 2021 nikakaa mwaka mmoja kitaa Kisha nikaanza chuo 2022 nimemaliza mwaka huu nasubiria graduation 🎓 na cheti .NYAU wewe. Weka hapa matokeo yako ya siks. Eti una degree.
Degree mafii yako?
Mbusii wewee!
Bange Leo zimekuzidia usishike simu tena lala .Jamani nitapata wapi chupi nivae ya kijani yenye nembo ya CCM nyuma?
Siyo boxer namaanisha chupi.
Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa.
💪🏿🤜🏿🤛🏿🫶🏿
Semenya vipi tena?Jamani nitapata wapi chupi nivae ya kijani yenye nembo ya CCM nyuma?
Siyo boxer namaanisha chupi.
Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa.
💪🏿🤜🏿🤛🏿🫶🏿
Unataka kusem kilicchoandikwa sio kama kilivyo???
Huyu hatafuti umaarufu humu, he's already famous!Bro unatafuta umaarufu ama nini? Mpaka Polepole mwenyewe anajuwa kuwa anawindwa, kuna mtu hii nchi hajui kuwa Polepole anapaswa kuwa makini?
Nilimbeza sana siku ile alivyomuonya Max. Baada ya hapo nikashtuka. Anafaham sana za jikoni.Huyu hatafuti umaarufu humu, he's already famous!
Uvivu wa kuandamana tuAwe makini mnooo
Sitafunguka sana
Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!!
Britanicca
Leo jamaa dishi limeyumba anapost za kiduwanzi sana.Semenya vipi tena?
Au maji yamezidi unga?