Aliyeko karibu na Polepole

Aliyeko karibu na Polepole

Kiukweli sijuani na Polepole na hanijui,mimejikuta nimeumia mnoo kwa ajili yake,sijapata mood ya kazi kabisa leo..na kwa mara ya kwanza nimeliombea Taifa la Tanzania.
Mkuu mimi nimelia na machozi kabisa, nipo safarini lakini fikra zangu zinatawaliwa na mateso makali anayopata mtu yule huko alipo.
 
Alishauriwa Lakin si kila jambo lazima liwe tunavyotaka
Mkuu kwahiyo mmeshindwa kumlinda? kumsaidia? Why lakini? Mlimshauri aache tape ya mambo yote aliyotaka kusema? Mlijua kama yupo Tanzania? Unataka kuniambia hii ilikuwa ni suicide mission? kwamba hakuwa na mpango mkubwa wowote? britanicca wewe leo umekuwa kama wengine tu kulia?
 
Back
Top Bottom