macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,227
- 56,848
Huwezi kuishi kwa kijificha bila msaada. Utakula nini? Ukiugua nani atakutibu? Halafu kuna uwezekano walijua alipo kwa sababu ya kutumia simu au kwa ku-trace watu walio karibu naye.Humphrey amezingua pakubwa sana.
Unajua upo kwenye vita kali, unaishije na mtu nyumbani? Angejitenga kabisa na walimwengu.