King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,678
- 68,652
2014
Nilikuwa nazo 5 kmr MWISHO
Jun nikapigiwa simu mdogowako ANAKUJA DAR MSAIDIE PIKPIK moja aendeshe (mtotowamamdogo)
26 Sept napigiwa simu kapata ajali hatunae Tena...(3 months only)
NILIRUDI nikazikusanya nkatangaza Sana fb na jf thx that guy wa jf aliezichukua zote nilikuwa nikiona pik NAHISI israel anakuja
#mpakaleooomamamdgo haongei na mm
Nishidaa
Kiufupi kama huna haraka panda. Basi
Wengi hawana hata leseni
Bodaboda sipandi kwenye lami hata siku moja,natumia nje ya mji tu na porini kwenye shughuli zangu za kukata mkaa,hata niwe na haraka gani sipandi bodaboda mjini,mama mdogo ana haki ya kutoongea na wewe kabisa maana wewe ndio chanzo cha mwanae kufariki ila kaa nae chini na familia mmalize tofauti ingawa ulikuwa na lengo jema.
Kuna jamaa ni fundi mwenzangu ujenzi namtumia kama kibarua(saidia fundi) ,kumbe wakati anajenga alikuwa anakusanya fedha ya kiingilio ya kuchukua bodaboda za mkopo kwa wahindi,alivyotimiza laki akenda kuchukua boxer ya mkataba kwa muhindi,jamaa hajui hata kuendesha baada ya siku moja akaanza kuchukua abiria ,siku kama hakuna mishe za ujenzi anakuwa bodaboda siku akiwa na mishe anampa deiwaka bodaboda mwengine.....Ni full "lena" hana control lakini anabeba abiria ,hana hata leseni.....Madada wanapenda sana kupanda bodaboda.