JAY THE SON
Member
- Nov 26, 2017
- 43
- 33
Maeneo ya Goba sehemu GANI na aliyefariki amejulikana kwa jina gani mlioshuhudia
R n heavenKwa jinsi Dereva ' Bodaboda ' alivyokuwa kaumia vibaya Kichwani na Kuburuzwa nilishindwa Kujizuia na Kusikitika sana tu na kujikuta nakimbia ( natoka Baru ) eneo la Tukio kwa Kiwewe.
Najua ( Huenda ) Tukio lile lilishuhudiwa na mwana JamiiForums mwingine hivyo naomba asimulie hali nzima ilivyokuwa. Ni Ajali iliyotokea Goba Saa 1 Usiku wa leo Jumanne.
Jamani Wadogo zetu na Kaka zetu mnaoendesha hizi ' Bodaboda ' hasa ' Kibiashara ' jioneeni Huruma jinsi mnavyokufa na kulemazwa hovyo kwa Ajali za Barabarani kwa Kuendesha kwa Nidhamu, kuwa Makini na kufuata sana Sheria. Taifa linawahitaji mno tu.
Umechanga amakuna dogo pia hapa mtaani leo nimeletewa daftari la michango,maskini ni mdogo sana hata 25 hajafika.amekutana na fuso ikapita nae!yaani nimesikitika kwa maelezo ya wenzie ni kwamba fuso ilimpanda kabisa miguuni hivyo mguu mmoja kuanzia kwenye paja umekatwa!!😣huo mwingine una afadhali
Pole kwa kiwewe, Mungu akupe utulivu wa nafsiKwa jinsi Dereva ' Bodaboda ' alivyokuwa kaumia vibaya Kichwani na Kuburuzwa nilishindwa Kujizuia na Kusikitika sana tu na kujikuta nakimbia ( natoka Baru ) eneo la Tukio kwa Kiwewe.
Najua ( Huenda ) Tukio lile lilishuhudiwa na mwana JamiiForums mwingine hivyo naomba asimulie hali nzima ilivyokuwa. Ni Ajali iliyotokea Goba Saa 1 Usiku wa leo Jumanne.
Jamani Wadogo zetu na Kaka zetu mnaoendesha hizi ' Bodaboda ' hasa ' Kibiashara ' jioneeni Huruma jinsi mnavyokufa na kulemazwa hovyo kwa Ajali za Barabarani kwa Kuendesha kwa Nidhamu, kuwa Makini na kufuata sana Sheria. Taifa linawahitaji mno tu.
Amwombee yeye pikipiki, mwanaye afe huenda kwa uzembe wake, kisha aliyemwombea pikipiki akuchukie uliyekubali kutoa pikipiki? This is weird.2014
Nilikuwa nazo 5 kmr MWISHO
Jun nikapigiwa simu mdogowako ANAKUJA DAR MSAIDIE PIKPIK moja aendeshe (mtotowamamdogo)
26 Sept napigiwa simu kapata ajali hatunae Tena...(3 months only)
NILIRUDI nikazikusanya nkatangaza Sana fb na jf thx that guy wa jf aliezichukua zote nilikuwa nikiona pik NAHISI israel anakuja
#mpakaleooomamamdgo haongei na mm
Nishidaa
Kiufupi kama huna haraka panda. Basi
Wengi hawana hata leseni
Ukirudi Bush watakuambia umemtoa kafara wajinga sana, Mi ndio mana ukitoa ile inner circle ya baba, Mama na biological siblings basi the rest nimeji distance nao haswa2014
Nilikuwa nazo 5 kmr MWISHO
Jun nikapigiwa simu mdogowako ANAKUJA DAR MSAIDIE PIKPIK moja aendeshe (mtotowamamdogo)
26 Sept napigiwa simu kapata ajali hatunae Tena...(3 months only)
NILIRUDI nikazikusanya nkatangaza Sana fb na jf thx that guy wa jf aliezichukua zote nilikuwa nikiona pik NAHISI israel anakuja
#mpakaleooomamamdgo haongei na mm
Nishidaa
Kiufupi kama huna haraka panda. Basi
Wengi hawana hata leseni
Siku hizi umeacha kumlilia Magufuli mkuu?? Umemuachia mdogo wako jank mmoja hv analia had mifua inamtoka!ushamsahau?Ukakimbia?
Huwa wanakuwa na wazo: kunaweza "kusiwepo kitu". Mfano wa mtu aneyeendesha gari 120kph, halafu anaovertake kwenye Kona ambayo kushoto kwake ni mlimaTatizo la boda boda huwa wanaendesha boda zao huku mawazo yakiwa wapi sijui
Achatuu na ole wasikie umeongeza mmaliUkirudi Bush watakuambia umemtoa kafara wajinga sana, Mi ndio mana ukitoa ile inner circle ya baba, Mama na biological siblings basi the rest nimeji distance nao haswa
Msiwe wepesi wa kuhukumu, kuna watu wana roho nyepesi mno hawawez kabisa kuangalia ajali hasa ya mtu aliyeumia kama hivyo mana inawaathiri kisaikolojia.Mtu unaweza kukuta mwezi mzima na zaidi hilo tukio la ajali halijamtoka kichwani na linamdisturb vibayaKwa uandishi wako huwa nadhani wewe ni mwamba,jemedari na jasiri sana. Ila kwa hilo la kutoka baru/nduki nakuvua vyeo.
Mkuu Kuangalia Maiti inataka Moyo pia.Kwa uandishi wako huwa nadhani wewe ni mwamba,jemedari na jasiri sana. Ila kwa hilo la kutoka baru/nduki nakuvua vyeo.
Siyo Siri Mkuu 'nilitoka Baru' kweli jana.Ukakimbia?
Siyo Mzoefu sana wa hilo eneo kwani nilikuwa naenda ' Kumbandua ' Demu Mmoja na baada ya Tukio hilo hata ' Nyege ' zenyewe nazo zilinikimbia Mwilini na nikageuza nilipotoka.hebu funguka kidogo gaba ipi hio?
Acha ' Ubwege ' niokoe Maiti? Una Akili?Ulikimbia kwanini wakati wewe ndie ungeokoa maisha yake
Ha ha haaaabro genta nilijua unaishi nje ya nchi asee nipate koneksheni, kumbe upo goba hapo mkuu