Soraya
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 202
- 65
Kwa wale waliokuwa wakiishi Dar miaka ya 80 mnakumbuka mwaka 1987 kuna jamaa na kati ya Buguruni aliyegeuka kuwa chatu?
Hii stori ilibamba sana kipindi hicho.
Da inaogopesha kwa kweli,au huyo mume labda alikuwa ni pepo na sio binadamu,mkewe alidhani ameolewa na binadamu siku ya siku akajidhihirisha....Mungu apishie mbali.