gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Kumbe ni stori milidhani ni kitu kilichotokda kweli
Ni kweli ilitokea..
Jamaa alienda bafuni kuoga,alipojimwagia tu maji akageuka chatu!
Inasemekana ni mambo ya dawa za mapenzi,sasa ukiziendekeza ndiyo kipindi hicho kuna waganga walikuwa wakiwapa wadada vitu watie kwenye maji ya kuoga mume.
Kwa huyo bidada ikamtokea hayo...! Tena ilikuwa nyumba ya kupanga...