Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

Alinisaliti, nilichomfanyia hatokaa anisahau daima

. Brother pole sana nimesima huu uzi machoz yamenitoka mana nimfanano wa yakiyonikuta 1/1/2017 kila nikifikiria kuuleta uzi nahis bado Na hasira sana lkn any way ipo siku nitauleta Na evidence kibao wanaume tujifunze


Kuna jamaa alisema "ALL women are dogs expect my mamaa" that's true aiseee
 
welllll. damage is done but kimfir* wasnt an option maybe you did out of anger.. but dooh hadi huyo dem kakubali kuingiliwa hvyo,(mimi sikubali hata kama umeniaahid mbingu, kama ndoa na iishe tuu) alijutia kitendo chake sana and now she feels so badly used and played jaman...
kitu nilishajifunzaga kwa wanaume kama nikiona kweli ananipenda..huwaga namwacha tuu in the name of love kama simpendi kiivyo, kuliko kum`mix up, najua siku akinikamata naeza tolewa koromeo. bora tuachanae kwa amani tuu... lol
 
It ain't about being Beyonce or anything, but rather taking a leaf out of your book. Sir, you noticed her first, so i'll say between the two of you , you're "prolly" the one who is still............hurting......................
(just thot i cud fill in the blank.lol)
 
Pole sana sanaa, lkn pia wapaswa kutubu dhambi ya kuruka ukuta ndugu yetu, pia usamehe na usonge mbele, tayari una watoto wadogo na ww ni binadamu je haja zako unazitolea wapi? km ni eat and run unajiweka kwenye hatari zaidi dunia imekuwa si nzuri sana, samehe ili maisha yaendelee, wengi sana tumetendwa lkn tumesahau na maisha yanasonga, kila kinachotokea duniani kimepangwa na Mungu japo shetani pia hutenda kazi yake,ukiona hivyo ujue yule hakuwa ubavu wako
Mshukuru Mungu kwa kila kitu
 
Pole sana sanaa, lkn pia wapaswa kutubu dhambi ya kuruka ukuta ndugu yetu, pia usamehe na usonge mbele, tayari una watoto wadogo na ww ni binadamu je haja zako unazitolea wapi? km ni eat and run unajiweka kwenye hatari zaidi dunia imekuwa si nzuri sana, samehe ili maisha yaendelee, wengi sana tumetendwa lkn tumesahau na maisha yanasonga, kila kinachotokea duniani kimepangwa na Mungu japo shetani pia hutenda kazi yake,ukiona hivyo ujue yule hakuwa ubavu wako
Mshukuru Mungu kwa kila kitu
very true, coz at the end of the day asiposamehe ni watoto wake watapata malezi kama hatawataftia step mom (or wakakue na bibi yao, idk.), asamehe tuu maisha yaendelee... kama hakuwa ridhiki yako hata ungepinduka kumpa nini isingekuwa tuu.
 
very true, coz at the end of the day asiposamehe ni watoto wake watapata malezi kama hatawataftia step mom (or wakakue na bibi yao, idk.), asamehe tuu maisha yaendelee... kama hakuwa ridhiki yako hata ungepinduka kumpa nini isingekuwa tuu.
Kabisaaa dear
 
Hii ni siri ya jeshi
aisee hii siri ya jeshi imenichekesha.

Anyway hakuna kitu kizuri kusamehe ''kwa ajili yako'' sio kwa ajili ya aliyekukosea.
 
Ooooh so walirudiana sio wangu...jambo jema ausee
Chezea ajila siyo love wangu. Mchana kweupeee dogo kaludi tukamtwisha wifi azae naye.[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
I can forgive and stay with you or forgive and let you go. Huwa sina options zaidi ya hizo. Sijawahi kuacha kusamehe tangu nizaliwe na nasamehe kabla hata yakuombwa msamaha.
 
Pole sana kaka kwa yaliyokukuta. Natumaini nafsi yako itaweza kumsamehe huyo dada kwa 100% vile ulimpenda na kumuamini sana.

Hongera kwa watoto, furahia kuwa mzazi wao na malezi mema. Maisha yanaendelea kwakweli!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom