atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,545
- 9,775
Bac huyo atakuwa na roho ya kikatili mkuu,pole Sana,jitahid siku ulete hio story labda tutajifunzningekuwa nimemfanyia ubaya ingeniuma nini mkuu?
Bac huyo atakuwa na roho ya kikatili mkuu,pole Sana,jitahid siku ulete hio story labda tutajifunzningekuwa nimemfanyia ubaya ingeniuma nini mkuu?
Bac huyo atakuwa na roho ya kikatili mkuu,pole Sana,jitahid siku ulete hio story labda tutajifunza kitu,from no where mtu anaamua tuu kumpa mwenzake jeraha la moyo,Dah!![]()
Let's agree to disagree miss nemo, maybe am lucky she ain't you(not that I'd tattle about any reaction she'd have gave me)Uswahili nuh huh!!? Ndio maana nikasema huyo demu boya...............IMO acknowledging your existence was beyond dumb! Let alone kukupa namba 😱!!!Like really, how desperate can one be? After unyama wote uliomfanyia history or not I would've given you zero air time.
Sawa mkuu................samahani kama nimekukwaza,................merry xmass 🙂Let's agree to disagree miss nemo, maybe am lucky she ain't you
Kua na amani naheshimu sana mawazo yako mkuuSawa mkuu................samahani kama nimekukwaza,................merry xmass 🙂
Wewe ungefanya nini?Kwahio revenge yako ni kumla tigo tu na kumwacha?! Wewe una huruma sana.



Nmekupenda bure.Mmmh nikiona mwanamke anapendwa na kupewa care ya hali ya juu lkn hajali hua naumia sana.... wengine ata kumi hatupewi, unaumizwa lkn bado hufikirii fanya huo ujinga but all in all maisha ndivyo yalivyo
Ikitokea unakua kwenye a pool of emotions,sometime ni bora kufanya kile kitakachokupa amani kwa muda huoYou did what I could do. Wakati mwingine revenge is the best thing, kuna watu wasipotiwa adabu hawakomi kwa usaliti.
AminaNmekupenda bure.
Mungu abariki mahusiano yako mkuu
Tafadhari usielezee maana tusije kufa wote, mi sipendi kufa asee
jiandae kufaMkuu maisha ni uvumilivu,cha msingi heshima. Huyo ambaye hakupi hata kumi ndo kesho atakupa ghorofaMmmh nikiona mwanamke anapendwa na kupewa care ya hali ya juu lkn hajali hua naumia sana.... wengine ata kumi hatupewi, unaumizwa lkn bado hufikirii fanya huo ujinga but all in all maisha ndivyo yalivyo
Hii ni siri ya jeshiNatamani kujua I'd yako ya zamani
Solution ni kujitahidi kukaa nae mbali zaidi,ungeanza kwa kutafuta kanisa lingineWanasema usipende kupitiliza i.e. 40% zingine jiachie mwenyewe. (Sawa Sikatai)
Ila kumbukeni unavyozidi kuishi na mwanamke ndio unavyozidi kufunguka moyo wako kwake, siku mki break up most likely from betrayal issues, wandugu the pain is unbearable (nimeshapitia hii najua, naelewa nina experience, it pains a lot. Nimeshawahi jihisi nina matatizo ya moyo (heart attacks) sababu ya mapenzi haya haya)
Nilikua nasali na huyo mwanamke kanisa moja huwez amini kila nikimuona kanisani ibada yangu inavurugika kabisa nakua na hasira sana, majonzi na maumivu sana moyoni zikipigwa nyimbo za kuabudu kanisani nakosa nguvu mpaka nakaa kwenye kiti jicho limeiva chozi hilo....ilibdi niwe na attend ibada ya pili (alikua akija misa ya kwanza)
Acheni tu.