Sugarsukari
JF-Expert Member
- Mar 17, 2015
- 744
- 837
Lakini ulidate na baba yake kweli?sikuzaa
Lakini ulidate na baba yake kweli?sikuzaa
Hawaridhiki kwa kuwa wanaume wasioridhika wanahangaika usiku kucha kuwasumbua.
E.g. mimi nina jamaa anataka kumnyang'anya mke wake Rav 4 anipe mimi. Mimi na yeye nani hajaridhika?
yesLakini ulidate na baba yake kweli?
Kwwani we unavyosaliti kwakuma ipiWw usiombe kusalitiwa na mwanamke mana hujui jamaa hata anadushee la aina gani kampa styles gan Acha usiombe
Hili nalo tatizo huoni kama unahukumu watu kwa makosa yaso yao. Usifanye hivo mkuuI don't hit and run(atleast not anymore)
Nipo kwenye relationship(s) lakini nakua muwazi tangia mwanzo kua sihitaji a serious relationship
Mwenzio hakupenda, kumbuka jamaa kasema ameomba kufanya vile kwa siku mbili, ili alipe kisasi.Aisee.
Wanawake na sisi tunapenda sana kuliwa Tigo.
Yaani mwezi mzima unamdukua tu.
Ila nasikia mwanaume ukianza huachi....
Likikupata haya uyasemayo yanayeyuka, omba Mungu akuepusheMhh kweli kuishi kwingi kuona mengi!!
Ukiwa mwepesi kusamehe pia Mungu naye anakusamehe vivyo hivyo!maisha ni mafupi mno tujifunze kutokua na visasi lol